Uliza swali lolote kuhusu umeme

Uliza swali lolote kuhusu umeme

Asante Dan Marcon...VP kuhusu mkaa ambao huwekwa pamoja na huo waya Kama nilivyouliza post ya juu
Ule mkaa huchanganywa na chumvi pia na kazi ya mkaa na chumvi ni kumaintain unyevu pale kinapoishia kile chuma cha shaba(earthrod) ambacho ndicho huunganishwa na huo waya uliousema.
 
Mkuu ningependa kujua kama nyumba inapokea umeme kama kawaida. Ila mita ndio imezima haisomi chochote kwenye display yake.tatizo n nini??
Uliza vizur swali lako ntakusaidia
 
Je naweza kuzalisha umeme wa matumizi binafsi bila gharama za kujirudia mfano Petrol na Diesel.

Kama ndio umeme huo ntaweza kupiga pasi, washing mashine, friji ,tv , taa na matumizi mengine mengine ya nyumbani.

Kwa makadirio setup nzima inaweza kunigharimu kiasi gani?

Shukran
 
Kwa mwenye swali lolote kuhusu umeme uliza hapa.

Wakuu haya ni baadhi ya majina ambayo hutumika kama SI unit (people's names used for SI unit)

- Michael Faraday
SI unit of capacitance farad(f)

- Andre Marie Ampare
SI unit of electric current(a)

- Alessando Volt
SI unit of voltage(v)

- George Simon Ohm
SI unit of electric resistance

- James Watt
SI unit of power(w)

- Joseph Henry
SI unit of inductance(h)

- Heinrich hertz
SI unit of frequency(Hz)

- Nikole Tesla
SI unit of magnetic field strength (T)

- Charles Augustin de Coulumb
SI unit of electric charge(C)

- Werner von Siemens
SI unit of conductance(s)

Love electrical, i love current.
Nyumba yangu inatumia umeme mwingi sana. Nina fridge moja na taa energy saver kama 4 tu! Natumia units 8/24 hrs! This is too much, what could be the problem
 
Eti umeme unaflow kama maji?
Sio exactly kama maji lakin ni rahis kuimagine flow ya umeme ukiwa unaimagine flow kama ya maji.

Ni mbinu nzur kuuelewa umeme hasa kwa beginners
 
Nyumba yangu inatumia umeme mwingi sana. Nina fridge moja na taa energy saver kama 4 tu! Natumia units 8/24 hrs! This is too much, what could be the problem
Mkuu upo mkoa gani ni pm
 
Je naweza kuzalisha umeme wa matumizi binafsi bila gharama za kujirudia mfano Petrol na Diesel.

Kama ndio umeme huo ntaweza kupiga pasi, washing mashine, friji ,tv , taa na matumizi mengine mengine ya nyumbani.

Kwa makadirio setup nzima inaweza kunigharimu kiasi gani?

Shukran
Watu wa ewura mpita njia atalipua nchi aise
 
Watu wa ewura mpita njia atalipua nchi aise
e10c6fe9a3eec628dfbafd6dd3fb4544.jpg
 
Mimi nauliza nina motor ya 50hp iliungua nataka kuisuka upya je inataka wire gauge ngapi na kiasi gani rpm 1450
 
  • Thanks
Reactions: me1
1. Kwanini umeme wa DC unaposafirisha toka sehemu moja kwenda nyinyinge voltage hupungua tofauti na AC?
2. Kwanini tunasafirisha umeme wa AC lakini vyombo vingi vya nyumbani vinaubadilisha kwenda kwenye DC ili uweze kutumika kwenye vyombo hivyo?
1. Kwanza kabisa sio kweli kwamba DC hupungua na AC haipungui.Aina zote hupungua voltage (voltage drop)
Pili, umeme wa dc una faida nyingi zaid hasa unaposafirishwa kwa umbali mrefu zaidi (beyond break even distance)

2.Shida moja ya dc ni kuubadili kutoka level moja had nyingine.Kwa vile kwa AC ni rahis ndio mana AC inatumika.
 
Ac ya HP 1 na HP2 zinatumia umeme unit ngapi kwa masaa 12
Dah.....swali gumu sana hili.....
Lazima ujue..
...ujazo wa chumbani aka volume..
...vizalisha joto aka heat generating bodies..
....joto linalopotea kutoka nje kuja ndani
.....joto la nje...
Etc etc..
Btw kama kwa mazingira sawa zote zitatumia unit approximately the same[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Hivi waya uleunaotoka na kuchimbiwa ardhini nje ya nyumba Kama sijakosea unaitwa waya wa earth kazi yake haswa ni nn? Pia huwa naona ukichimbiwa ardhini huwa wana weka mkaa hii husaidia nn?
Dah... Huu nasikia unamsifia TV ishike channel nyingi zaidi.....nimesikia tu[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Nataka kufunga umeme wa solar,je kuna uhusiano wa inverter watts,battery N value na solar pannel watts ? Je kama upo relationship yake ipo vipi? Mfano Inverter ya watts xx inahitaji Battery ya Nxx na Solar pannel ya watts xx nataka jibu kama hivyo.
Mkuu,
Solar, battery na Inverter (sometimes na charger controller) ni vitu nyeti sana unapoamua kutumia umeme wa jua.

Sio kila panel inafaa kwa matumiz ya mahali ulipo, na pia namna ya kufunga panel ni kitu muhimu ili kupata umeme wa kutosha.

Namna ya kuunga battery na size zake zinamata mno kwenye mambo ya Solar.

Aina ya inverter unayotumia pia itapelekea system yako kuwa maintenance free. (Hasa kama unatumia Hybrid ya solar na Tanesco)

Anyway unaweza kunicheki PM nikusaidie baadhi ya vitu zaidi. (Ushauri tu) lakin kama utataka consultation itabid ulipie kidogo.

NB: Usikubali kushauriwa na muuzaji wa solar, jua kwanza nin unahitaj ndo ukatafute madukani.
 
kuna k2 knaitwa power distortation upoteaji wa nguvu toka point one to another, gharama ya ku2mia wifi itakuwa kubwa yani vfufuaj vnatakiwa viwe vng kama minara ya simu, khngne vfo vtakuwa vng kwa waokota vyuma
Haha, waokota vyuma chakavu.
Sidhan kama ingekuwa yakitoto ivo.Zingeweza kuwekwa transmitter na receiver zinazoendana ambapo kitu kingine chochote kisingeupokea umeme.

Hata ivo nadhani economic yake haina tija ndio maana
 
Back
Top Bottom