BAKIIF Islamic
JF-Expert Member
- Jul 11, 2021
- 594
- 1,827
Katika nyumba kama mnaishi na Mkristo hakikisheni mnampatia chakula kama ilivyo desturi, Kama kuna Mkristo ambaye anafunga mwezi wa Ramadhani, jambo la kwanza ni yeye kuukubali na kuingia kwenye Uislamu, kwa sababu kufunga bila kuingia Uislamu hakutamnufaisha.
Kwa hiyo ni muhimu kwake, kwanza kabisa, Kuamini MUNGU mmoja na kumwamini Mtume Muhammad (rehema na amani za Allah ziwe juu yake) na kuingia katika Uislamu.
Iwapo atamwamini Muhammad (rehema na amani za Allah ziwe juu yake) na akaingia katika Uislamu, katika hali hiyo atatakiwa kuswali, kufunga, kutoa zakaah, kuhiji na kadhalika. Kuhusiana na kufunga kwake au kusali wakati angali Mkristo, hilo si sahihi; Swalah yake ni batili, Saumu yake ni batili, na haitamnufaisha, kwa sababu mojawapo ya masharti ya ibada hizi ni kuwa Mwislamu. Iwapo ataswali wakati yeye si Muislamu na akafunga akiwa si Muislamu, basi ibada yake ni batili.
Uliza swali lolote kuhusu Ramadhan: Nitakujibu kwa Comment
Kwa hiyo ni muhimu kwake, kwanza kabisa, Kuamini MUNGU mmoja na kumwamini Mtume Muhammad (rehema na amani za Allah ziwe juu yake) na kuingia katika Uislamu.
Iwapo atamwamini Muhammad (rehema na amani za Allah ziwe juu yake) na akaingia katika Uislamu, katika hali hiyo atatakiwa kuswali, kufunga, kutoa zakaah, kuhiji na kadhalika. Kuhusiana na kufunga kwake au kusali wakati angali Mkristo, hilo si sahihi; Swalah yake ni batili, Saumu yake ni batili, na haitamnufaisha, kwa sababu mojawapo ya masharti ya ibada hizi ni kuwa Mwislamu. Iwapo ataswali wakati yeye si Muislamu na akafunga akiwa si Muislamu, basi ibada yake ni batili.
Uliza swali lolote kuhusu Ramadhan: Nitakujibu kwa Comment