corasco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 3,665
- 3,385
Unaogopa nini kutamka uwe wazi tu.me nilianza kupunguza mawasialiano na yeye kidogo kidogo hadi saiv ishapita wiki ya 3 hatujawasiliana..sijamtamkia kwamba tuachane
Unaogopa nini kutamka uwe wazi tu.me nilianza kupunguza mawasialiano na yeye kidogo kidogo hadi saiv ishapita wiki ya 3 hatujawasiliana..sijamtamkia kwamba tuachane
Sasa una mtu mwengine, au naweza pata fulsa ya kuondoa upweke
Napenda kuachwa zaid kuliko kuacha,,maana muachaji hufeli zaid kuliko alieachwa
ulipotoa mahari ulikuwa unakimbizwa?Sasa Mimi nilishatoa na mahari nifanyeje kumuacha?
Ataibuka tu soon, utatamani ubadili namba ya simume nilianza kupunguza mawasialiano na yeye kidogo kidogo hadi saiv ishapita wiki ya 3 hatujawasiliana..sijamtamkia kwamba tuachane
Miezi mitatu yote hyo anakutafuta MTU mzima aisee siwezi Fanya hivyo mi nakupigia siku moja usipopokea then nakufuatilia kwingine je upo online kwa namna nyingine nikipata majibu aisee nakufungia vioo na mm kwetu tuna sema si mga sida nda beeh.Nilimuacha kmyakmya alipga simu miez zaid ya mitat had numb ya baba akampgia mim nimekula tu mute
hahahaMiezi mitatu yote hyo anakutafuta MTU mzima aisee siwezi Fanya hivyo mi nakupigia siku moja usipopokea then nakufuatilia kwingine je upo online kwa namna nyingine nikipata majibu aisee nakufungia vioo na mm kwetu tuna sema si mga sida nda beeh.
Mkuu huyu demu ni kiburi hatariAtaibuka tu soon, utatamani ubadili namba ya simu
Hapana naogopa kuumiza hisia zakeUnaogopa nini kutamka uwe wazi tu.
Alinipenda mm na hela ndio manaMiezi mitatu yote hyo anakutafuta MTU mzima aisee siwezi Fanya hivyo mi nakupigia siku moja usipopokea then nakufuatilia kwingine je upo online kwa namna nyingine nikipata majibu aisee nakufungia vioo na mm kwetu tuna sema si mga sida nda beeh.
Mkuu kukata mawasiliano zaid ya wiki 3 bado unasema hatujaachana kwel!?nyie bado hamjaachana
..usijitie ugumu pesa haimreplace mtu,..Wala sihitaj kubwa na MTU kwa sasa,nawaza pesa tu
...Mimi siyo mtu ila nakuhitaji,..Hapan sina uhitaj wa MTU
Bado anashikilia past,..Hata wa kuchati naye tu hunitaki,kama niivyo msimsumbue mungu kumsaka Mme mwema tu nakuja mnatufukuza mnataka malaika?
Dah pole sana aiseeBora wako hata alikupanda kichwani,labda upole Wang ulizid na akawa ameshafaidi laptop na Kabati LA nguo na vitu vingine akaona ajisepeshe,
lipia tangazo aiseeJamani natoa ushauri nasaha kwa vijana,wanaotafuta wachumba,walioko kwenye mahusiano wanataka kufanya malengo ya ndoa....nimejikita kwenye counseling with youth,pia kama una matatizo ya kifamilia,una stress,au matatizo mbali mbali...yanayokuumiza kichwa yanakunyima raha,,unatamani kuacha kutumia pombe au vilevi vngine kama dawa za kulevya,bangi nitafute kwenye namba hyo,
Hiyo kweli mimi Kuna Binti aliniacha akaingia kwenye mahusiano na mtu mwingine, jamaa kamzalisha nae kumuacha sasa ananitafuta tena na mimi niliisha funga vioo.Napenda kuachwa zaid kuliko kuacha,,maana muachaji hufeli zaid kuliko alieachwa