Mlionana pande zipi mwa TZ? Kusini Mashariki au magharibi, mkigombana unamsemaa haombi msamaha halafu a nakwambia mwanaume kwangu kitu kidogo BAADA ya akija kumi anakulilia kwamba hajawahi kumlilia mwanaume na kwa tabia zake hakuna mwanaume atakayekuja kumpenda km mm napata huruma yakaisha lakini kwa sasa namsubiria likizo tuu tumalize biashara ipo siku ataniuwaaaMkuuu huyu dem tumeshera 95%
Kama huyo dem co ndugu na
Aliekua ex wang
Maana tabia hapo znafanana kabsaaa