jay-millions
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 3,472
- 8,174
Hahahaha hata wangu nilimwacha kimya kimya, kapiga simu mwaka mzima naweka black list kisa cha kumwacha alinipanda kichwani na mateso yalipozidi nikaamua kumtelekeza kimya kimyaDah ningejua nisingeifungua hii Uzi,niliachwa kimya kimya, nilipiga simu mwezi mzima lakn haikupokelewa ,enginer wa kipare go to hell