feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 8,549
- 17,247
Hiyo siku niliyopanda LX yule Mzee hakua na roho maana alaikua akiniambia mwanangu hapa natakiwa kabla ya saa 6 niwe Lindi Alfajiri nirudi saa 2 asubuhi inikutie Dar kisha jioni tunaenda kigoma.
Sikufahamu alikua akiwafuata wakina nani maana gari ni ya shirika DFP
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikufahamu alikua akiwafuata wakina nani maana gari ni ya shirika DFP
Suka alikuwa anaipiga gea kichizi
Sent using Jamii Forums mobile app