Ulitumia masaa mangapi Mkoa hadi Mkoa kwa gari/bus

Ulitumia masaa mangapi Mkoa hadi Mkoa kwa gari/bus

Hiyo siku niliyopanda LX yule Mzee hakua na roho maana alaikua akiniambia mwanangu hapa natakiwa kabla ya saa 6 niwe Lindi Alfajiri nirudi saa 2 asubuhi inikutie Dar kisha jioni tunaenda kigoma.

Sikufahamu alikua akiwafuata wakina nani maana gari ni ya shirika DFP
Suka alikuwa anaipiga gea kichizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sitosahau safari ya Mbeya-Arusha mwaka 2015 tulianza safari saa 12 asubuhi tukafika Arusha mjini saa 11 alfajiri. Ilikuwa Sumry hiyo yenye chata ya Mbeya Express. Niliboeka sana maana gari halikupata hitilafu wala hatukupata kikwazo chochote barabarani ila mwendo tu ukatufanya tusafiri kutwa kucha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dereva hakua mzoefu wa hiyo route

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bkb to Dar na Princess Mulo mpyaa! Kuanzia saa 12 kamili hadi saa sita kesho yake. Na nilishukia Mbezi wala si Ubungo.
Hii route inakera kwa urefu.

Arusha to Bkb na Arusha Express limezeeka. Gari linatoa moshi kama linaungua vile. Saa 12 na dakika mpaka kufika saa 6 usiku.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii hadi inakera

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo siku niliyopanda LX yule Mzee hakua na roho maana alaikua akiniambia mwanangu hapa natakiwa kabla ya saa 6 niwe Lindi Alfajiri nirudi saa inikutie Dar kisha jioni tunaenda kigoma.

Sikufahamu alikua akiwafuata wakina nani maana gari ni ya shirika DFP

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee madereva wa serikali hawafai

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zinakimbia mnoo aunt yangu alitoka Dom saa NNE akafika Kinyerezi saa nane alikua anakuja kuzika na aliwahi alikuta tunaaga na yeye akaaga
Hiyo siku niliyopanda LX yule Mzee hakua na roho maana alaikua akiniambia mwanangu hapa natakiwa kabla ya saa 6 niwe Lindi Alfajiri nirudi saa 2 asubuhi inikutie Dar kisha jioni tunaenda kigoma.

Sikufahamu alikua akiwafuata wakina nani maana gari ni ya shirika DFP

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom