Ulitumia masaa mangapi Mkoa hadi Mkoa kwa gari/bus

Ulitumia masaa mangapi Mkoa hadi Mkoa kwa gari/bus

Zile, Allys Zilkuwa zinavioo ukikaa ndani wa nje anakuona Hadi miguuni hivi sijui zilikuwa NISSAN sijui SCANIA tulitoka Mwanza sa12 asubuhi sa1:38 tupo Dar tena hapa njia ya Singida ilikuwa vumbi ndio wanajenga jenga Hadi Manyoni pale Chuma ilikuwa inapigwa Hadi unafurahi!!!

Typed Using KIDOLE
Gari ikitembea sana kuna raha yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi hilo hapo
images.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dar to Dom na matei ya Singida (ilikuwa mpya) tulifika saa 7 na dk 13 sijasahau hadi leo na Dar tulitoka 12 na nusu

Shabiby Dar to Dom saa 11 hii siku nilichukia na tulitoka Dar 12 na nusu..dereva alikuwa na kitambi mpaka nikatamani nikamfundishe jinsi ya kukanyaga mafuta

Dar to Arusha na premio masaa 4 na dk kadhaa

Dar to Musoma, nilitumia ungo wa bibi kwa dk 20 tu 😀
Ungo wa bibi ako mbovu...20 mins khaa😂😂😂😂
 
Sitosahau safari ya Mbeya-Arusha mwaka 2015 tulianza safari saa 12 asubuhi tukafika Arusha mjini saa 11 alfajiri. Ilikuwa Sumry hiyo yenye chata ya Mbeya Express. Niliboeka sana maana gari halikupata hitilafu wala hatukupata kikwazo chochote barabarani ila mwendo tu ukatufanya tusafiri kutwa kucha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom