T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,937
- 30,099
Hii chuma imetumia masaa 19 Dar To Simiyu ikiwa na mzigo wa mafuta lita elfu 35
Duh hatari,mkuu wewe ndio suka wa hiyo chuma?Hii chuma imetumia masaa 19 Dar To Simiyu ikiwa na mzigo wa mafuta lita elfu 35View attachment 1515674
Hapana mkuuDuh hatari,mkuu wewe ndio suka wa hiyo chuma?
Akafariki?Iringa kwenda Dar,
Ilikua muhim sana nifike dar siku inayofuata baada ya kupokea simu mida ya Sa9 hivi, wakat huo hakuna mabasi yanayotoka sumbawanga.
Bas nikashuka zangu ipogolo pale mida ya sa12 napata gari, ilikua ni Lori (Scania R420) linatoka Congo na Mzigo wa Coper Kama tan30.
Yule jamaa alitembea na gari Kama halina mzigo sa6:30 nilkua nashuka kiamara mwisho.
Tulibadilshana namba nikawa nachati nae Mara chache, baada ya miezi Kama 6 hivi baadae nikuja sikia kapata ajari maeneo ya igawa akiwa safarin kwenda Congo
Hapana alivunjika miguu yote na mkono mmojaAkafariki?
Duh 🙌 umemwaga moto mkuu.Hii chuma imetumia masaa 19 Dar To Simiyu ikiwa na mzigo wa mafuta lita elfu 35View attachment 1515674
Halafu hata mimi huwa najiulizaga kwanini kipande cha Nangurukuru -Lindi wakati wa kwenda unawahi kufika ila ukiwa unakuja Dar hua kinakua mbali na kina chosha kinoma.Dar - mtwara siku zote natumia masaa matano ila wakati wa kurudi nachemsha natumia six hours sijajua sababu hadi leo ( mnyama voltz-manual)
Sent from my iPhone using JamiiForums
NI ngamuo mkuuNgumuo hiyo kahama dsm dereva sijui alikuwa kichaa alafu gari nyepesi nimeingia ubungo saa 3:45
Sent using Jamii Forums mobile app