Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,913
- 10,727
dom arusha 1hour (FUGA)350 na apo nilipak sehemu kuywa supu
Kwa njia ya Dar-Mbeya unatembea mbona sema inataka mtu jasiri.
Dar to Arusha masaa 4. Niilikuwa na Subaru. Sitosahau hii Siku. Nafika getini mama ananiuliza umesalimika kweli. Nikamwambia "imeisha hiyo"
Huyo mzee ni wale madereva wazoefu sana basi. Akipewa VX V8 lile la 260kph ubaoni itakuwa balaa.Hiyo siku niliyopanda LX yule Mzee hakua na roho maana alaikua akiniambia mwanangu hapa natakiwa kabla ya saa 6 niwe Lindi Alfajiri nirudi saa 2 asubuhi inikutie Dar kisha jioni tunaenda kigoma.
Sikufahamu alikua akiwafuata wakina nani maana gari ni ya shirika DFP
Sent using Jamii Forums mobile app
Miles 230
Nimemsahau kidogo mkuu
Unazeeka kama le mutuz. Kama hujuwi kitu si mbaya kuuliza kuliko ujifanye unajuwa kila kitu.Swali lako halijakaa sawa.
Kutoka mkoa hadi mkoa ni sekunde moja tu. Labda ungeuliza kutoka mji hadi mji.
Halafu unasifia mtu kukiuka sheria na kanuni za barabarani? Huo ni ujinga si uhodari wala sifa njema, ni sifa za kijinga.
Kamba to Kamba Mexicana La Cavela!🤣🤣🤣dom arusha 1hour (FUGA)350 na apo nilipak sehemu kuywa supu
Uongo mtakatifu, Iringa to Dar kms ngapi?na verrosa yangu, Dar to iringa 4 hrs niliondoka iringa saa 12. jioni nikafika dar around saa 4.30 hivi usiku.
usikatae mkuu...Uongo mtakatifu, Iringa to Dar kms ngapi?
Dar to mby inaweza kukuchukuwa masaa 7, kwa wale wazee wa minimum speed 160, usiku 50,50 vibao, unaenda 120 sema bams zitakutesa!polipoli 170+ Kama unaijua barabara!Uongo mtakatifu, Iringa to Dar kms ngapi?
Huenda ikawa hivyo.Dar to mby inaweza kukuchukuwa masaa 7, kwa wale wazee wa minimum speed 160, usiku 50,50 vibao, unaenda 120 sema bams zitakutesa!polipoli 170+ Kama unaijua barabara!
nnn iyoKamba to Kamba Mexicana La Cavela!🤣🤣🤣
Muongo huyo. Sehem ya Masaa sita ye atembee lisaa limojaKamba to Kamba Mexicana La Cavela!![]()
hahahahah hatari jamaniMuongo huyo. Sehem ya Masaa sita ye atembee lisaa limoja
Uongo huonnn iyo
dom arusha mapema sanaa saa moja tuUongo huo
Kwa ndege au?dom arusha mapema sanaa saa moja tu