Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 19,095
- 49,895
Salam wakuu.
Hii special kwa wakazi wa Dar na Pwani.
Najua mnakuaga busy sana, sana na kuna muda mnakosa ata muda wa kupumzisha akili na mwili, sababu ya muda na kipato kwa wengine.
Kuna hii Hiking Day trip ya kwenda Morogoro na kurudi, unaweza have some fun na uka relax sana mwili na akili.
Maandazi.
Kwakua muda mwingi itakua ni kupanda milima, vaa tu nguo utakazo kua comfortable mfano raba, Tshirt, buti. Mfano my outfit ilikua hivi:
ila kama utakua na earpods kama unapenda podcast & music, na mfuko wa rambo kwaajili ya kuweka cm incase mvua ikikuchapa. Vingine labda maji au kopo la maji na hela ya emergency ata buku 5.
Mwanzo.
Unatoka Dar au Pwani na kwenda Moro kwa Bus, na ukifika Moro Msamvu unachukua bajaji hadi town then boda hadi kwa Mkuu wa Mkoa hapo ndio hiking itapoanzia.
Kama utakua na private car, unaweza enda hadi pale kwa mkuu wa mkoa kuna walinzi wanaweza kukuangalizia gari hadi utakaposhuka.
Safari
Utaanza mdogo mdogo kupanda milima ya Uluguru utapishana na vijiji mbalimbali ambapo utaona na kujifunza shughuli mbalimbali wanazofanya sana sana za kilimo.
Vitu utakavyofanya.
1. Kwanza hiking.
2. Pili, Forest walking.
3. Tatu, utaona water falls mbalimbali maarufu zaidi ikiwa Choma waterfalls ila sikwenda kwasababu ya usalama kipindi cha mvua. Hii ni ndogo.
4. Nne, kama utataka camping kuna mahala Wanafanya camping unaweza lala msituni lakini tuassume hii ni day trip kwahiyo hii hatutaidiscuss sana.
5, Tano utakaa mbali na makelele ya mji.
6, Sita, utakutana na wakazi wa uko wengi ni wakulima na wako friendly sana.
Mfano wa mashamba zaidi:
7. Saba, unaweza kuogelea. Maji ya baridi sana.
8. Nane, utajifunza jinsi wanavyo sambaza maji (kama DAWASA) ila kwa gravity. Aisee.
9, Tisa uta enjoy sana kama mtu wa nature.
Gharama.
Safari ya Dar to Moro ni Elfu 10 kwenda na 10 kurudi jumla 20.
Bodaboda na bajaji kutoka Msamvu to Town haizidi elfu 5 jumla.
Kula na snacks itategemea na tumbo lako tuassume elfu 10.
Jumla kuu 35 elfu.
Muda:
Ukifika kwa mkuu wa Mkoa saa 4 Tegemea kuspend kama masaa 6-8 kuanzia kupanda hadi kushuka. Kutegemea speed yako na jinsi utakavopenda kuzunguka.
Vitu vya kunote:
Chukua kopo la maji, yakiisha utayakuta uko juu ya mtoni.
Mkiwa wawili poa zaidi kupeana company ila ata solo unaweza.
Mtandao sio wa kuutegemea sana.
Msimu wa mvua hautabiriki dakika yoyote inamwagika.
Njia zinateleza sana, kuanguka muda wowote.
Hitimisho.
Hiking na nature sio ya kila mtu ila siku ukitaka kujaribu, jaribu.
Wakazi wa Moro wanaweza ongezea baadhi ya vitu nilivyosahau.
Pamoja.
Hii special kwa wakazi wa Dar na Pwani.
Najua mnakuaga busy sana, sana na kuna muda mnakosa ata muda wa kupumzisha akili na mwili, sababu ya muda na kipato kwa wengine.
Kuna hii Hiking Day trip ya kwenda Morogoro na kurudi, unaweza have some fun na uka relax sana mwili na akili.
Maandazi.
Kwakua muda mwingi itakua ni kupanda milima, vaa tu nguo utakazo kua comfortable mfano raba, Tshirt, buti. Mfano my outfit ilikua hivi:
ila kama utakua na earpods kama unapenda podcast & music, na mfuko wa rambo kwaajili ya kuweka cm incase mvua ikikuchapa. Vingine labda maji au kopo la maji na hela ya emergency ata buku 5.
Mwanzo.
Unatoka Dar au Pwani na kwenda Moro kwa Bus, na ukifika Moro Msamvu unachukua bajaji hadi town then boda hadi kwa Mkuu wa Mkoa hapo ndio hiking itapoanzia.
Kama utakua na private car, unaweza enda hadi pale kwa mkuu wa mkoa kuna walinzi wanaweza kukuangalizia gari hadi utakaposhuka.
Safari
Utaanza mdogo mdogo kupanda milima ya Uluguru utapishana na vijiji mbalimbali ambapo utaona na kujifunza shughuli mbalimbali wanazofanya sana sana za kilimo.
Vitu utakavyofanya.
1. Kwanza hiking.
2. Pili, Forest walking.
3. Tatu, utaona water falls mbalimbali maarufu zaidi ikiwa Choma waterfalls ila sikwenda kwasababu ya usalama kipindi cha mvua. Hii ni ndogo.
4. Nne, kama utataka camping kuna mahala Wanafanya camping unaweza lala msituni lakini tuassume hii ni day trip kwahiyo hii hatutaidiscuss sana.
5, Tano utakaa mbali na makelele ya mji.
6, Sita, utakutana na wakazi wa uko wengi ni wakulima na wako friendly sana.
Mfano wa mashamba zaidi:
7. Saba, unaweza kuogelea. Maji ya baridi sana.
8. Nane, utajifunza jinsi wanavyo sambaza maji (kama DAWASA) ila kwa gravity. Aisee.
9, Tisa uta enjoy sana kama mtu wa nature.
Gharama.
Safari ya Dar to Moro ni Elfu 10 kwenda na 10 kurudi jumla 20.
Bodaboda na bajaji kutoka Msamvu to Town haizidi elfu 5 jumla.
Kula na snacks itategemea na tumbo lako tuassume elfu 10.
Jumla kuu 35 elfu.
Muda:
Ukifika kwa mkuu wa Mkoa saa 4 Tegemea kuspend kama masaa 6-8 kuanzia kupanda hadi kushuka. Kutegemea speed yako na jinsi utakavopenda kuzunguka.
Vitu vya kunote:
Chukua kopo la maji, yakiisha utayakuta uko juu ya mtoni.
Mkiwa wawili poa zaidi kupeana company ila ata solo unaweza.
Mtandao sio wa kuutegemea sana.
Msimu wa mvua hautabiriki dakika yoyote inamwagika.
Njia zinateleza sana, kuanguka muda wowote.
Hitimisho.
Hiking na nature sio ya kila mtu ila siku ukitaka kujaribu, jaribu.
Wakazi wa Moro wanaweza ongezea baadhi ya vitu nilivyosahau.
Pamoja.