Ulitumia masaa mangapi Mkoa hadi Mkoa kwa gari/bus

Ulitumia masaa mangapi Mkoa hadi Mkoa kwa gari/bus

Mwaka jana 2019 December Nilitoka mafinga na Tank saa 12 jioni saa 11 alfajir nashuka uhasibu.

2018 nimetoka Dodoma na Landcruiser LX saa 10 jioni saa 2 usiku nashuka Kinyerezi na Land cruiser inaenda Lindi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zile, Allys Zilkuwa zinavioo ukikaa ndani wa nje anakuona Hadi miguuni hivi sijui zilikuwa NISSAN sijui SCANIA tulitoka Mwanza sa12 asubuhi sa1:38 tupo Dar tena hapa njia ya Singida ilikuwa vumbi ndio wanajenga jenga Hadi Manyoni pale Chuma ilikuwa inapigwa Hadi unafurahi!!!

Typed Using KIDOLE

Bkw zile zilikuwa za moto hakuna wa kufata


It is never too late to begin. Start now
 
Bkb to Dar na Princess Mulo mpyaa! Kuanzia saa 12 kamili hadi saa sita kesho yake. Na nilishukia Mbezi wala si Ubungo.
Hii route inakera kwa urefu.

Arusha to Bkb na Arusha Express limezeeka. Gari linatoa moshi kama linaungua vile. Saa 12 na dakika mpaka kufika saa 6 usiku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dar to Arusha masaa 4. Niilikuwa na Subaru. Sitosahau hii Siku. Nafika getini mama ananiuliza umesalimika kweli. Nikamwambia "imeisha hiyo"
 
Tabora- Mbeya, kuanzia saa 3 asubuhi mpaka saa 6 usiku...hakuna kukaa nimeshikilia bomba kwa sababu nilikosa siti,kwa uchovu nilioupata,sitausahau.
 
Back
Top Bottom