Ulitumia masaa mangapi Mkoa hadi Mkoa kwa gari/bus

Ulitumia masaa mangapi Mkoa hadi Mkoa kwa gari/bus

Wehu hao, hyo gari Princess Shabaha nini?nilipandaga nilifika mwanza saa nane na nusu sina hamu!
Cha kushangaza sasa, halikuharibika hata mara moja (wakati tumefika Shinyanga tulisimama kama nusu saa), walikua speed kiasi ambacho tulisimamishwa na traffic kama mara 6.

Sielewi kwanini tulifika late.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dar -Mwanza saa 9 usiku kufika saa 12 jion
21hr

Japo kidogo nika usalimie mtalo mala 2

Dark Side
 
Alhamis au Ijumaa natoka zangu taratibu na Vitz yangu mpaka Singida .. ntatoka Dar asubuhi .. kwenye 50 nanyata .. sina haraka


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Tatizo hawa mbwiga wakishajua kukanyaga mafuta na breki wanajikuta ndo mapro wenyewe mpe manual sasa uone kama hajazima gari
Hahahah manual mziki mnene wewe, gari ambayo inataka full concetration yako. Ukizengua you are fucked!
 
Dar Iringa na Mark X, nilitoka saa 12 asubuhi nilifika saa 5:18 asubuhi.
Wakuu, kuna kisa nimekikumbuka kwamwe sitokisahau nikaone niweke hapa jukwaani ili tuweze kushare safari kutoka mkoa kwa mkoa ambayo huwezi isahau. Nakumbuka kipindi nipo chuo mwaka wa pili nilikua natoka Dar naenda Iringa (mara nyingi natumiaga IT) gari zinazotoka bandarini kwenda nchi zisizo na Bandari k.v Zambia, Congo, Rwanda. Nimefika pale Kibo napopandiaga gari sa 3 usiku nasubiri IT nianze safari. Hadi saa4 na nusu sikupata gari njia ya Iringa. Kwenye saa5 usiku ikaingia Toyota Brevis nyeupe pale Kibo. Nikanegotiate na dereva(Anaitwa Janaary ana asili ya kiarabu) mpaka Iringa akahitaji 20k nikampatia.

Saa 5 na dakika zake tukaanza safari wawili tu kuitafuta MK yeye akielekea Tunduma border ya Zambia. Ebana e sijawahi ona chuma inatembea kama ile siku wallah. Jamaa alitoka na mwendo wa kawaida tu mpaka Misugusugu akapiga kibali tayari kwa safari. Akaniambia Hapa Iringa nitaingia kwenye saa 10 nikaona haiwezekani akasema subiri uone.

Mimi nakakaa siti ya nyuma ili niweze kuona speed bar inavyoyoma. Jamaa katoka Misugusugu saa 5 na Nusu nachek katoka na speed 180kph nakumbuka ameshuka sana 140kph yani Moro tumeingia saa 6 kama na nusu hivi.

Gari zote za IT zilizokua njiani aliziovertake kwa speed ya ajabu. Saa 10 na robo Brevis imeingia Iringa pale sheli, nilipigwa na butwaa na sikuamini kama tulifika salama, na kila dereva aliyekuja pale sheli anamshangaa jamaa wewe ndiye ulinipita sehemu fulani aisee sikuwezi.

Tulitumia almost masaa ma5 Dar-Iringa, Je!ulitumia masaa mangapi kwa safari Mkoa mmoja hadi mwingine ambayo hutokuja kusahau?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usinikumbushe jinsi nilivyoendesha trekta kutoka DSM mpaka Sumbawanga, ili tu nipate hela ya kupandishia kwenye lori.
Nilidundadunda njia nzima, sijawahi kupata hela kwa taabu Kama nilivyoipata hiyo hela.
Shikamoo Swaraj trekta ya Muhindi
Wiki ngapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Juzi mzee wangu katumia masaa 11 Dar - Songea na Land Cruiser Mkonge Mpya
 
Back
Top Bottom