Shem
Seran pole sana aisee.
Ni dalili za Depression.
Inabid ujitahidi kuicontrol.
Kitu ambacho kiko nje ya uwezo wako au ambacho kwa muda huo huwez kukibadili kisikupe stress kubwa hizo. Maana hata ukizipata Haziwez kukiondoa. Sanasana kitakudhuru ww.
Kuwa na mawazo ni sawa. Ila yasizidi. Ukashindwa kufanya mambo mengne ya msingi.
Kabla ya kwenda therapy na kutumia dawa.
Hebu jaribu kupambana nayo mwenyewe. kwa kujifanyisha ubusy. Kuongea na sim nying za ndugu jamaa marafiki.
Mm sijawah kufikia hiyo state.
Ingawa disappointment . Masononeko na maswaiba mengne yananipata kama binadamu. Ila nimechagua upande.
Wa kuwa Kama siwez kukicontrol kitu. Siwez jipa stress nacho.
Ntawaza napambanacho aje. Kama naona sitoboi. Na acha fate ichukue mkondo wake. I cant change it anyway. Why nisononeke kupitiliza?.