hapa hukula tunda kimasihara

uliokota tunda kiutani utani
Ilikuwa mida ya usiku nimetoka kitaa flani ivi kuzuga napita kwa street nakutana na demu ambaye namfatiliaga mda mrefu ila hananizungusha . Nikamwita tupige stori ataki na kuniambia kuna mtu namwahi hapo chini, nikawaza uyu demu anamuwahi Yule masanii anaekunywa bia nje pao. Du nikamaindi nikasema uyu demu ananizingua sababu ya Yule mwanamziki maarufu kuzidi mimi.

Kukakucha asubuhi.
Ilikuwa mida ya saa saba kasoro nimetoroka job narudi home nikapita nje ya nyumba anapoishi Yule mwanamziki. Namkuta Yule demu anaziguka nje kwao. Nikamwita na kumuuliza we vipi hapa akawa Hana jibu. Unaelekea wapi . Akajibu me nipo nipo tu hapa. Nikamwambia basi naomba nikuzungushe kidogo, akakubali na kuniambia Mana sina hata mpango was kuenda home saizi.
Moyoni nikacheka na kusema Leo nimeokota dodo.
Nikamwambia unaonaje tukaenda kupiga stori gheto akakubali . Stori mbili tatu nikampiga mashine . Baada ya hapo kila mtu kala 50 zake.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na ukikamia utakuja kuangukia kama yule jamaa aliparamia, akidhani kila demu n kumla kimasihara ailigwa bonge la kofi na urafiki na demu ukaishia palepale.

Kula kimasihara huwa inakuja tu automatically kama huyo jamaa wa hapo juu, yan ametoka tu mpiran kupumzika halftime akakuta manz kakaa pale katoa msaada na akala mzigo siku tatu!

Sent using Jamii Forums mobile app
hii story nilikuwa naitafuta jamaa aliniacha hoi mno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna dada mmoja ni best yangu sana tangu 2011 tulikutana kazini kwenye taasisi moja ya afya Mkoa mmoja.Huyu manzi hajawahi kuzaa wala kuolewa na umri ni kama 45 hivi.
Sasa toka 2011 sikuwahi kuwa na hisia naye kimapenzi kwani hata hivyo kanizidi umri mbali.Mwaka huu mwezi july nilienda kwake kumtembelea,imefika saa mbili usiku nikaaga akanitoa kunisindikiza,njia tuliyopita ni giza nene,aisee ile tunaagana nikamkumbatia nikaanza kumtia moyo ipo siku atazaa tu huku nashika kiunk chake katulia tu.Basi nikapeleka mkono kalioni mala huku nikavuta sketi kwa juu nikainamisha pale nikagonga kamoja,kelele tu ooh ulikuwa wapi siku zote hizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna stori hapa zinafurahisha wakati mwingine inabidi tu ucheke, nina ombi kwa wana masiahala ili iwe motisha kwa wasimliaji wetu na waongezeke maana hatuwezi wapa pesa basi like ziwe nyingi kwa kila msimuliaji haijalishi kaandika poda au sembe ili nyuzi lisonge mbele,

Basi nyuzi limeanza niko zangu mwanza pale nyege asubuhiiiii nianze safari kurudi zangu dar hivo lazima nipitie moro nilale kwenye banda langu .

Nimeingia kwenye basi kampuni ya nyehunge siti ya kwanza kabisa kwa dereva maana siti ya kwanza nayo siku hizi ni michongo kuipata nilikuwa na maana yangu kuitaka iyo seat, nimekaaa kama nusu saa niliwahi kidogo . Ghafla kaja dada mmoja na mshikaji wote wakazama ndani mtu wa kwanza kuingia ni jamaa nashangaa tu kaishiwa pozi kuniona ile siti kumbe demu wake naye kakata seat ile ile.Ilikuwa wanakuja kuagana kwa kukaa pale sasa ndo kakuta nishaingia mapema nimepiga miwani myeusi tii na pensi fulani hivi inshort nilivaa kiblzamen kichizi alafu nimependeza balaa nazingatia kuvaa vizuri nikiwa nasafiri au kitaa maana ndo utajiri nilio nao wa kubebea totozi kali.

Ile nawachora tu kwenye kioo cha miwani jamaa alivoishiwa pozi nikasikia karudi nyuma kamwambia demu wake siti yako iyo hapo then kaweka kibegi chake akaomba waagane nje uko,muda wa kuondoka ukawadia nikaona jamaa kaingia tena kupunga mkono wakaagana safari ikaanza nami sina habar kabisa na yule sistaa duu mwenye kalio kubwaaa alafu (shortchasis)fulani mzigooo umeeendaaaa weeeeeeh vile gari zinatoka nduki pale kila mtu ana habari zake sikutaka kumshobokea maana nisije kuta kituko badae au demu akalet nyodo sisizo.katikati ya safari bwana wake anampiga tu simu kumwambia awe makini na asinizoee kabisaaa hizo aliniambia demu baada ya mazoea na kuna muda nilisikia demu anamwambia kuwa na Amani bhana yeye mwenyewe hana hata ilo unafikiria,kipindi wanaongea mie nimekaza tu nazuga nimesinzia huku nachora maeneo yote yaliyo karibu yangu inshort namwangalia demu kuanzia juu nashuka naye ila kiwizi wizi maana kushapambazuka nikaona pisi kali kindwazi.

Akili ikasema hapana nitakula naye tu yule mpuuzi safari imeendelea weeeh baridi linapuliza hatari mara pyuuuu kapitiwa usingizi wote tukasinzia badae kidogo nashituka tuko mbele uko vijijini sipajui foleni na trafiki wanafanya yao, pale ndo tukaanza kuongeleshana sasa nikaanza mbona unajifunika sana vipi baridi? Kanijibu eeeh c unajua hii ni asubuh tena ananiangalia kwa kuibia hivi.nikamwambia naomba basi tujifunike wote nami nasikia baridi kweli samahani lakini dada.kakaza fulani hivi sitaki nataka nikakausha then nikaendelea na stor za hapa na pale kudadisi yule nani na anaenda wapi .

Pale pale nikatoa miwani yangu sasa kumekucha demu kaniambia yule ni rafiki yangu ni bodaboda alinisindikiza,nikakaza rafiki yako mpka anakutafutia seat vile kuwa tu mkweli bana siyo poa kumkataa baharia.Demu alicheka kidogo kisha akasema achana naye ila moyoni kichwa kinajua ni basha ake yule maana nilimkazia maswali ili nimuone ni mwanamke gani ikitokea nipate pa kuwekea akiba badae usiku nitashuka naye tu ilo lazima nishaliweka kichwani.

Safari iyo ngona inapuliza sasa badae nikaachana naye nikatoa miwani yangu nikapiga usingizi heavy sana ila siyo wa kukoloma maana nilitoka kukesha na nesi mmoja hapo Mwanza hospital moja kubwa tu private. Kumbe nimelala yeye ndo kapata muda wa kuniangalia na kunisaminisha yawezekana naye kunila kimasihara kulianza kumwijia kichwani nami nikimuwazia mbeleni uko mpka kufika moro analiwa lazima mwisho wa safari,badae nimeshtuka nikakuta ananicheki kichizi katoa jicho chap stori zikaendelea weeeeh nikahakikisha namfahamu vizuri wenyeji wake moro na yeye...kumbe alikuwa kamaliza chuo cha ualimu seco mkoani moro hivo alienda mwanza kutalii kwa maelezo yake ila si kwa bwana.......sasa njiani zikawa ni stori tu kumbe wale makondakta wanamuonaga sana mchizi anamsindikiza mara kibao anaendaga mwanza kwa kupitia huo usafiri jamaa nikaona kama wanaona wivu fulank nilivomuweka mtoto kitanzi ananiingelesha kama tunafahamiana muda.

Tumefika sehem sijui shinganya nikashuka kuchimba dawa yeye kabaki kumbe ananichora nilivokuwa smart dadeq na nilivokuwa tu mwonekano demu kuchomoa siyo rahisi nahisi hata jamaa ake aliliona lile ndo maana kajamba,nimerudi kwenye gari mtoto ananichangamkia ti safar ikaanza stor zinaisha tunalala tunaamka muda wa msosi nikanunua plate mbli za nyama kuku,naingia nakuta kanunua matunda sahani mbili naye na bite bite hivi nilivofika nikamkaribisha maana tushazoeana sana akaniambia anaumwa jino hivo kula nyama itakuwa shida kwa kuwa na nishanunua basi atajitahidi kidogo tumekula stori zinaendelea hatari huku na huku jamaa yake anapiga simu mida wote waongeee mara amuulize huyo jamaa vp mnaongea naye ,mara vp mko wapi,kashuka demu kamwambia ameshuka singidani uko ndo jamaa kuelewa akamuuliza vp ulimpa namba demu akakataa....muda huo mie nina habari na simu yangi nakula mziki badae kwnye stori ndo demu kuniambia aseeeh yule mchizi anaulizia kila muda...nikamwambia wewee siyo ulisema yule ni boda kumbe jamaa yako? Kakubali kishingo upande ila nikajiongeza huyu kawaka kwangu na yule jamaaa alikuwa na hela sana trip zote yeye ndo anashika na pesa za ziada kampa mpaka kadi ya bank kampa cuz mshikaji alikuwa kampuni fulani ya watu weupe yeye kama mhasibu hivo alikiwa anamake sana pesa ila ndo hivo tunatofautiana mwonekano na kujiweka.

Stori zote hizo alikuja kufunguka mwanadada stori ni ndefu mpka kufika nitamalizia ngoja nitoe huduma kwanza.





Sent using Jamii Forums mobile app
Inaonekana huyo mchizi ameshauona huu Uzi wa watu wanavyoliwa kimasihara ndo maana kila mda alikuwa anaulizia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilivyokuka tunda la kuruti .. naada ya jamaa hapo juu kutoa story alivyomla kuruti wakati wa kuzima moto na mimi nikaoma ni-share story yangu na kuruti wangu bustanini.

Enzi niko JKT 834 MAKUTUPOLA mujibu wa sheria.
Ilikua ni baada ya 6weeks mimi nilikua nanga (sijui kwata) kwahio wakatupanga kumwagilia bustani..
Tulikua tunaenda asubuhi sana bado kuna ki giza giza..
Sasa mimi sikuwa nimekusanya simu yangu ilikua ni ki tecno 340 cha batani.. nilikua nakitumia kusikilizia redio vipindi vya michezo na miziki tu kwa uficho uficho..

Sasa siku hio nimeamka asubuhi nikachukua ndoo yangu nikatangulia bustani mapema kabisa ili nitafute chimbo la kujificha nisikilize radio yangu..
Nikapata eneo moja la mwisho wa shamba ambalo kuna mashimo ya matank wameyachimbia kwa chini ili kuwekea maji ya kumwagilia(waliofika makutupola wanaelewa)..
Lile tank la kujengea chini halikua na maji kwahio nikaingia ndani nikaanza kula mziki kutoka AFM.

Baada muda kama dk 7 nikaanza kusikia vishindo vya miguu vinakuja upande wangu.. nikajibana kwenye angle ya tank hilo .. vile vishindo vikakaribia kuelekea nilipo.. mimi hapo ndo nazidi kujibana maana nilihisi ni afande..

Vile vishindo vikakaribia lile tank mimi hapo nusu kujikojolea.. ghafra nikasikia kicheko cha kike..
Kumbe alikua ni manzi na yeye kuruti aliniona wakati naingia kwenye lile tank akanifuata..

Nikamtukana tusi moja zito sana kwa kunishtua na kunipa presha.. aka-mind kidogo akaingia ndani ya lile tank kwa hasira.. ile amefika ndani nikampoza kwa kumpa sikio moja la earphone asikilize..

AFM walikua wanapiga ngoma ya Bruno mars ya just the way you are.. huyu manzi tulikua kombania moja alikua ni type flani ya mamanzi wa kishua , alikua anajiona kinoma , alikua ana vi-swag vya mbele na amesoma shule za kupelekwa na magari ya njano kuanzia chekechea..
Kwahio alikuaga anajiona kama beyonce vile wakati kwa sura ni mbovu kweli kweli sema alikua amejaliwa umbo kiasi chake..

Basi aliposikia ile nyimbo akaanza kuimba kwa hisia na mimi nikaanza kumfuatisha kama vile namuimbia yeye namsifia ( kama umewahi kusikiliza hii ngoma ) kiukweli nilikua nampaka mafuta kwa mgongo wa chupa maana yule manzi alikua ni mbovu ukijumlisha na maisha ya kikuruti ilikua ni balaa...

Basi kama uwajuavyo mamanzi wanapenda kusifiwa kweli kweli na yeye akaanza kutabasamu akasahau hasira zote za kutukanwa.. baada ya hio ngoma zikapigwa ngoma nyingine .
Nilikua nimempa earphone moja na mimi natumia nyingine kwahio tulikua very close ..
Baadae akaniegemea kwenye bega ..ukijumlisha na kibaridi cha dodoma asubuhi mwezi wa 7 mashine ikasimama ndani ya pitshot... nikasahau ubovu wa sura nikaanza kupanga mikakati ya kumtafuna pale pale..
Nilipitisha mkono mmoja kiunoni akainua kichwa pale alipokua ameniinamia begani kuniangalia usoni.. kwa jinsi tulivyokuwa close uso wake ukawa unaangaliana na mimi... nikamkiss kwenye paji la uso .. naona ananiangalia tu nikamla denda naona anarespond vizuri tu.. basi nikamgeukia kula sana denda (hapo hata mswaki asubuhi nilikua sijapiga)..
Nikapandisha kitisheti kile cha jkt shika sana chuchu.. alikua na maziwa makubwa kiasi ...
Nikapiga touch huku na huku kama dk 1 nikaona huyu nikimchelewesha tutakuja kukutwa humu shimoni iwe msala..

Basi nikashusha pitshot yake nikaitoa yote nikamuwekea chini aikalie.. mimi nikashusha pitshot hadi magotini..
Ile kupima oil kitu bado kavu kavu kimtindo...
Nikaona hapa kuanza kuchezeana hadi aloe ni kupoteza muda ambao sikuwanao muda huo... nikiingiza mashine atalowa mbele kwa mbele....
Basi nikapaka mate kwenye kichwa.. ingiza mashine ikaingia.. piga mashine kama dk 10 wazungua hao..
Akaanza kunipa pole pale na kunipet pet... aiseeh mamanzi wanaojifanya wana swaga za mbele wanajua kupeti peti ... nikaanza kupewa pole ya kupiga bao.. nikapata mzuka tena... nikainamisha doggie nikapiga sana mashine wazungu hawatoki..

Hapo mwanga ulikua ulishaanza kutokea palikua pamekucha.. sasa ukijumlisha na uoga wa kukutwa maana ilikua ni bustanini ndio maana wazungu walikua hawataki kuja.. nilipiga mashine mtoto wa kikurya analia pale nikahisi maafande watasikia... ikabidi niache tu njiani nikamwambia tutakamatwa hapa.. basi yule mazi akavaa akaanza kutoka yeye na mimi baada ya dk 5 nikatoka..

Mida ya mchana nilipomuona kwa mbali ndio nika-realize kwamba nimeingia choo cha kike.. maana yule manzi wadau wangejua ninemkula wangeniua kwa majungu.. ilibidi nitafute kitengo kingine kwa hali na mali ili tusiwe tunaonana hadi nikapata kitengo cha kulinda zabibu zisiliwe na ngedere..

Nilipopata kitengo kingine tukawa hatuonani tena au tunakutana usiku tu mida ya kuhisabiwa... ndio nikampotezea mazima... mpaka leo sijui yuko wapi
Six weeks nasikia siku hizi hamkeshi mpaka chwee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna dada mmoja ni best yangu sana tangu 2011 tulikutana kazini kwenye taasisi moja ya afya Mkoa mmoja.Huyu manzi hajawahi kuzaa wala kuolewa na umri ni kama 45 hivi.
Sasa toka 2011 sikuwahi kuwa na hisia naye kimapenzi kwani hata hivyo kanizidi umri mbali.Mwaka huu mwezi july nilienda kwake kumtembelea,imefika saa mbili usiku nikaaga akanitoa kunisindikiza,njia tuliyopita ni giza nene,aisee ile tunaagana nikamkumbatia nikaanza kumtia moyo ipo siku atazaa tu huku nashika kiunk chake katulia tu.Basi nikapeleka mkono kalioni mala huku nikavuta sketi kwa juu nikainamisha pale nikagonga kamoja,kelele tu ooh ulikuwa wapi siku zote hizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
We jaamaaa ndomu??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikiwa ni mtu wangu miaka hiyo huko tabora, weeknd tupo mahali tunakula alipita askari polisi bongee , heee nikaona chapu jamaa yangu kazunguka, I was young akili ikanicheza.

Nilifuata yaani, dada z keshavua unifom wamelala wanakulana. Yaani wamelala mbwa kachoka na mwili ulee mmmh, acha maisha tumepitia mengi.

Was the nearest guest house.

Hata mlango hawakufunga. Nilingia na kuwakuta.

I didn't panic, that man akasema nimemla z kimasihara.

Hii siyo ya kuvunjika kitanda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikiwa ni mtu wangu miaka hiyo huko tabora, weeknd tupo mahali tunakula alipita askari polisi bongee , heee nikaona chapu jamaa yangu kazunguka, I was young akili ikanicheza.

Nilifuata yaani, dada z keshavua unifom wamelala wanakulana. Yaani wamelala mbwa kachoka na mwili ulee mmmh, acha maisha tumepitia mengi.

Was the nearest guest house.

Hata mlango hawakufunga. Nilingia na kuwakuta.

I didn't panic, that man akasema nimemla z kimasihara.

Hii siyo ya kuvunjika kitanda.

Sent using Jamii Forums mobile app
Askar wa kike wanaiba sana wanaume za watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikiwa ni mtu wangu miaka hiyo huko tabora, weeknd tupo mahali tunakula alipita askari polisi bongee , heee nikaona chapu jamaa yangu kazunguka, I was young akili ikanicheza.

Nilifuata yaani, dada z keshavua unifom wamelala wanakulana. Yaani wamelala mbwa kachoka na mwili ulee mmmh, acha maisha tumepitia mengi.

Was the nearest guest house.

Hata mlango hawakufunga. Nilingia na kuwakuta.

I didn't panic, that man akasema nimemla z kimasihara.

Hii siyo ya kuvunjika kitanda.

Sent using Jamii Forums mobile app
Habar ya miaka tele Mzee mwenzangu Mamndenyi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkasa unaanza hivi kuna kituo kimoja cha daladala dsm ni kikubwa siku moja nipo apo kituoni maana ni karibu na maeneo nayo ishi af iyo siku nilienda kuangalia UEFA night pemben ya kituo kuna bar sasa kipindi cha mapumziko nikatoka nikaenda kituoni na earphone zangu maskioni nikaenda kukaa kwny vimbweta vya abiria nikisubir mda wa second half uanze nikaendelee na mpira ilikuwa mida kama ya saa 5 na nusu usiku sas alikuwepo dada mmoja kwa pemben inaonekana wakuja kavaa ushungi kama mtu wa kanda ya kati ya singida au dodoma mrefu mweupe naona hatulii anamawenge mara ananiangalia mara anaacha mimi sina mawazo yoyote mda huo ikabidi nikamuuliza mdogo wng vp mbona km haupo sawa. Akaniambia nimefika apa tokea saa2 mimi ni mgeni wa dsm ninaewasiliana nae kwenda kwake aliniambia anakuja yupo njiani kunifuata ila mpaka sahivi hajafika na simu hajanipigia nijue kafika wapi..kwa sas salio la kupiga limeniishia nina sms tuu na nikituma hajibu kwahyo naomba nimpigie kupitia sim yko. Me nikampa kampigia kama mara 3 hajapokea. Demu anazidi kuchanganyikiwa me nkamwambia skia me naenda kuangalia mpira apo dk 45 nipe namba yako akinipigia ntakwambia atachosema asiponipigia me nkitoka ntakuja tujue nakusaidiaje yan nilimkataa kiivyo. Akasema saw akachkua no yng akatuma sms me nikaendelea na mpira. Dk km ya 80 na ya mpira jamaa hola hajapiga apo ni kama majira saa6 na 2 dk iv usk. Demu kaaanza kunitumia sms kibao plz kaka yng naomba uje unisaidie maana apa kidogo niibiwe na boda boda na ninaekuamini kwa sas ni ww tuu. Nikamfuata sina mawazo yoyote apo ya kibaaria nkamuuliza sas ww mdg wng me nakusaidiaje mm nataka kuondoka nikapumzike kesho niwahi kazn me nimepanga single room unaweza kulala kwny sofa sababu kuwagongea wapangaj wenzangu wakusaidie me skujui nkikudhamini utanichia msala..demu kasema we nisaidie tuu ata kwny kochi mimi nitalala. Nikamchukua mtot yule mpaka getto ila nafsi yng inahofu kikitokea kitu apa sjui itakuwaje. Kufika geto me nkamwambia mimi nalala sofa ilo apo. Nimelala km dk40 kushtuka namwona yeye bado yupo macho kwenye sofa nkamwambia skia mdg wng we kulia haikusaidii chochote maana alikuwa anafuta machoz niliingiwa na kahuruma nkamwambia wewe njoo lala kitandani mm nitalala kwny sofa. Baada km dk 5 taa kuzimwa mm na yule manz yalitokea mazungumzo km ya nusu saa ivi kujuana na kilichomsibu. Ni hivi Yule manz alimfuata bwana ake kituoni alitokea singida kuja dsm kufikia kwa ndugu kwahyo alidangany kwa ndugu atakuja siku mbili baada ya ile siku ili tuu afkie kwa mshkj auchezee siku mbili then aondoke. Baada ya stori mbili tatu tukajikuta tumezoeana mnoo. Nakumbuka kauli moja ya demu aliitoa ya kishujaa alisema ivi "piereeliquid sahiv ni usiku unaongea taratibu skuskii njoo uku karibu yng uko mbali" baaria nkasogea uwanjan ya kitandani demu akaniambia nilihofia labda we si mwm ungenibaka labda ila nimegundua wew ni mwanaume wa utofauti huendeshwi na tamaa unamoyo wa kusaidia na sitojuta kufanya iki kitendo na ww. Kilichofuata mnakijua. Huyu manz alikaa kwangu siku tatu na kuondoka na alikuwa anakuja mara kwa mara baadae na mpaka leo hii anakazi ila ameolewa na mtu mwingine sio mm ila nilibahatika kupata nae mtot mmoja mcute mno kama mama yake. Nadhan wadau mnajua product za singida. Aliolewa ndoa ya kiislamu na dini ndio sababu kubwa ya utengano wa mm na yey. Ila leo hii nikipiga simu naweza kula tena mzigo 80% . Ila nazingatia mke wa mtu apewe heshima na ndoa iheshimiwe mda mwingine ananitafuta ila huwa nampotezeaga. Nawasilisha!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ungemwambia abadil mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee malizia basi story yako ilikuwa imefikia patamu
Kuna stori hapa zinafurahisha wakati mwingine inabidi tu ucheke, nina ombi kwa wana masiahala ili iwe motisha kwa wasimliaji wetu na waongezeke maana hatuwezi wapa pesa basi like ziwe nyingi kwa kila msimuliaji haijalishi kaandika poda au sembe ili nyuzi lisonge mbele,

Basi nyuzi limeanza niko zangu mwanza pale nyege asubuhiiiii nianze safari kurudi zangu dar hivo lazima nipitie moro nilale kwenye banda langu .

Nimeingia kwenye basi kampuni ya nyehunge siti ya kwanza kabisa kwa dereva maana siti ya kwanza nayo siku hizi ni michongo kuipata nilikuwa na maana yangu kuitaka iyo seat, nimekaaa kama nusu saa niliwahi kidogo . Ghafla kaja dada mmoja na mshikaji wote wakazama ndani mtu wa kwanza kuingia ni jamaa nashangaa tu kaishiwa pozi kuniona ile siti kumbe demu wake naye kakata seat ile ile.Ilikuwa wanakuja kuagana kwa kukaa pale sasa ndo kakuta nishaingia mapema nimepiga miwani myeusi tii na pensi fulani hivi inshort nilivaa kiblzamen kichizi alafu nimependeza balaa nazingatia kuvaa vizuri nikiwa nasafiri au kitaa maana ndo utajiri nilio nao wa kubebea totozi kali.

Ile nawachora tu kwenye kioo cha miwani jamaa alivoishiwa pozi nikasikia karudi nyuma kamwambia demu wake siti yako iyo hapo then kaweka kibegi chake akaomba waagane nje uko,muda wa kuondoka ukawadia nikaona jamaa kaingia tena kupunga mkono wakaagana safari ikaanza nami sina habar kabisa na yule sistaa duu mwenye kalio kubwaaa alafu (shortchasis)fulani mzigooo umeeendaaaa weeeeeeh vile gari zinatoka nduki pale kila mtu ana habari zake sikutaka kumshobokea maana nisije kuta kituko badae au demu akalet nyodo sisizo.katikati ya safari bwana wake anampiga tu simu kumwambia awe makini na asinizoee kabisaaa hizo aliniambia demu baada ya mazoea na kuna muda nilisikia demu anamwambia kuwa na Amani bhana yeye mwenyewe hana hata ilo unafikiria,kipindi wanaongea mie nimekaza tu nazuga nimesinzia huku nachora maeneo yote yaliyo karibu yangu inshort namwangalia demu kuanzia juu nashuka naye ila kiwizi wizi maana kushapambazuka nikaona pisi kali kindwazi.

Akili ikasema hapana nitakula naye tu yule mpuuzi safari imeendelea weeeh baridi linapuliza hatari mara pyuuuu kapitiwa usingizi wote tukasinzia badae kidogo nashituka tuko mbele uko vijijini sipajui foleni na trafiki wanafanya yao, pale ndo tukaanza kuongeleshana sasa nikaanza mbona unajifunika sana vipi baridi? Kanijibu eeeh c unajua hii ni asubuh tena ananiangalia kwa kuibia hivi.nikamwambia naomba basi tujifunike wote nami nasikia baridi kweli samahani lakini dada.kakaza fulani hivi sitaki nataka nikakausha then nikaendelea na stor za hapa na pale kudadisi yule nani na anaenda wapi .

Pale pale nikatoa miwani yangu sasa kumekucha demu kaniambia yule ni rafiki yangu ni bodaboda alinisindikiza,nikakaza rafiki yako mpka anakutafutia seat vile kuwa tu mkweli bana siyo poa kumkataa baharia.Demu alicheka kidogo kisha akasema achana naye ila moyoni kichwa kinajua ni basha ake yule maana nilimkazia maswali ili nimuone ni mwanamke gani ikitokea nipate pa kuwekea akiba badae usiku nitashuka naye tu ilo lazima nishaliweka kichwani.

Safari iyo ngona inapuliza sasa badae nikaachana naye nikatoa miwani yangu nikapiga usingizi heavy sana ila siyo wa kukoloma maana nilitoka kukesha na nesi mmoja hapo Mwanza hospital moja kubwa tu private. Kumbe nimelala yeye ndo kapata muda wa kuniangalia na kunisaminisha yawezekana naye kunila kimasihara kulianza kumwijia kichwani nami nikimuwazia mbeleni uko mpka kufika moro analiwa lazima mwisho wa safari,badae nimeshtuka nikakuta ananicheki kichizi katoa jicho chap stori zikaendelea weeeeh nikahakikisha namfahamu vizuri wenyeji wake moro na yeye...kumbe alikuwa kamaliza chuo cha ualimu seco mkoani moro hivo alienda mwanza kutalii kwa maelezo yake ila si kwa bwana.......sasa njiani zikawa ni stori tu kumbe wale makondakta wanamuonaga sana mchizi anamsindikiza mara kibao anaendaga mwanza kwa kupitia huo usafiri jamaa nikaona kama wanaona wivu fulank nilivomuweka mtoto kitanzi ananiingelesha kama tunafahamiana muda.

Tumefika sehem sijui shinganya nikashuka kuchimba dawa yeye kabaki kumbe ananichora nilivokuwa smart dadeq na nilivokuwa tu mwonekano demu kuchomoa siyo rahisi nahisi hata jamaa ake aliliona lile ndo maana kajamba,nimerudi kwenye gari mtoto ananichangamkia ti safar ikaanza stor zinaisha tunalala tunaamka muda wa msosi nikanunua plate mbli za nyama kuku,naingia nakuta kanunua matunda sahani mbili naye na bite bite hivi nilivofika nikamkaribisha maana tushazoeana sana akaniambia anaumwa jino hivo kula nyama itakuwa shida kwa kuwa na nishanunua basi atajitahidi kidogo tumekula stori zinaendelea hatari huku na huku jamaa yake anapiga simu mida wote waongeee mara amuulize huyo jamaa vp mnaongea naye ,mara vp mko wapi,kashuka demu kamwambia ameshuka singidani uko ndo jamaa kuelewa akamuuliza vp ulimpa namba demu akakataa....muda huo mie nina habari na simu yangi nakula mziki badae kwnye stori ndo demu kuniambia aseeeh yule mchizi anaulizia kila muda...nikamwambia wewee siyo ulisema yule ni boda kumbe jamaa yako? Kakubali kishingo upande ila nikajiongeza huyu kawaka kwangu na yule jamaaa alikuwa na hela sana trip zote yeye ndo anashika na pesa za ziada kampa mpaka kadi ya bank kampa cuz mshikaji alikuwa kampuni fulani ya watu weupe yeye kama mhasibu hivo alikiwa anamake sana pesa ila ndo hivo tunatofautiana mwonekano na kujiweka.

Stori zote hizo alikuja kufunguka mwanadada stori ni ndefu mpka kufika nitamalizia ngoja nitoe huduma kwanza.





Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom