Complicator
JF-Expert Member
- Aug 23, 2013
- 2,198
- 3,566
hapa hukula tunda kimasihara
uliokota tunda kiutani utani
Sent using Jamii Forums mobile app
uliokota tunda kiutani utani
Ilikuwa mida ya usiku nimetoka kitaa flani ivi kuzuga napita kwa street nakutana na demu ambaye namfatiliaga mda mrefu ila hananizungusha . Nikamwita tupige stori ataki na kuniambia kuna mtu namwahi hapo chini, nikawaza uyu demu anamuwahi Yule masanii anaekunywa bia nje pao. Du nikamaindi nikasema uyu demu ananizingua sababu ya Yule mwanamziki maarufu kuzidi mimi.
Kukakucha asubuhi.
Ilikuwa mida ya saa saba kasoro nimetoroka job narudi home nikapita nje ya nyumba anapoishi Yule mwanamziki. Namkuta Yule demu anaziguka nje kwao. Nikamwita na kumuuliza we vipi hapa akawa Hana jibu. Unaelekea wapi . Akajibu me nipo nipo tu hapa. Nikamwambia basi naomba nikuzungushe kidogo, akakubali na kuniambia Mana sina hata mpango was kuenda home saizi.
Moyoni nikacheka na kusema Leo nimeokota dodo.
Nikamwambia unaonaje tukaenda kupiga stori gheto akakubali . Stori mbili tatu nikampiga mashine . Baada ya hapo kila mtu kala 50 zake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app