Profesa wa Maliasili
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 632
- 1,921
Utaonana nae tena next mwaka huu kwenye uchaguzi mkuuNa mimi ngoja nifungue mwaka nilivyokula tunda kimasihara siku ya uchaguzi mkuu mwaka 2015
Ebanaa ee siku hiyo kama unavyojua ilikuwa tarehe 25 October ambapo kwa sisi wafanyakazi NMB inakuwa ishatema hivyo inakuwa ni siku mwafaka na una jeuri ya mfuko
Kisa chenyewe kipo hivi...
Wakati natoka kupiga kura maeneo ya mwenge pale, alitokea dada mmoja kajaza balaaa...tako lake lilikuwa linatikisika mithili ya kimbuga cha Tsunami..hata yeye alikuwa ametoka kupiga kura ilikuwa mida ya mchana kama saa 8 hivi,kila mwanaume rijali alisitisha maongezi yake kwa muda akawa anacheki mzigo huo wenye amana mkubwa kama Sanchoka
Mimi nikasema ngoja nijitoe muhanga maana ukizingatia hata mfukoni nilikuwa nimejaaa...nikamsimamisha nikamwambia dada unaweza ukanipa company kidogo twende japo hapo Calabash tupate maana nilikuwa na uchovu wa kusimama muda mrefu foleni
Dada huyo akanichomolea mazima akasema kwa sasa hana muda,labda badaye..mimi sikukata tamaa..basi nikamwambia mimi nipo around hapo Calabash nitakuwa nakula mchemsho wa kuku so akipata muda asijali anifuate..kikubwa nilichofanya fasta nilimwomba number yake ya simu na yangu nikampa
Basi bwana..nikachukua zangu bia zangu mbili baada ya kunywa mchemsho nikaanza kunywa mdogo mdogo huku nasubiria kuwa kuna any phone can ring any time..basi Mungu si athumani..mida kama ya saa 10:30 jioni nikaona anapiga simu..akaniambia alipotaka kwende kaahirisha so anaweza akaja nilipo..nikamwambia njoo maana hapa nilikuwa nakusubiria ww tu ndio maana sijaenda mbali
Basi bwana akaja nilipo..nikamununulia dompo nzima..nikamuuita muhudumu nikamwambia uliza unachotaka wakuhudumie hasa chakula maana nilijua atakuwa hajala kwa foleni ile
Basi bwana tukaanza kupiga stori za hapa na pale..nikamuingizia hitaji langu kimatani nikamwambia bana leo najisikia saana ila sorry kama nitakukwaza nataka nichukue room angalau tuwe na faragha yetu ya kimaongezi maana hapa kuna mtu atakuja sitaki anikute hapa..dada akijfanya anatafakari mwisho wa siku akakubali
Nilitafuta lodgi fasta ...tukaenda hadi ndani...zikaanza story mara tukasogeleana na kinywaji kama unavyojua ukinywa huwa zinashuka chini...akasema ngoja aoge kwanza maana anasikia jasho sababu ya kukaa saana foleni...duh nikasema mambo ndio haya...kasema kikubwa nisimchungulie..demu alikuwa na tako kama la Sanchi..ilivyovua na kibikini kile..mnara ulisoma palepale 4G,nikasema mama umeumbika siamini kama tupo wote hapa and its our first day kuonana
Mtoto akaanza kujichekesha..nikaanza kumtomasa ila nikasema ngoja aoge kwanza..mara anatoka bafuni kajifunga kitaulo kifupi tu chupi hana...mzee udende ulinitoka pale nilimrukia mithili ya simba mwenye njaaa kama Simba..romance saana,touch za kutosha mpaka akawa wet basi tena nikapiga kazi saana siku hiyo...by saa 4 usiku nikamwachia kila mtu akasepa kwake
Huwezi amini since dat day ya uchaguzi sijawahi onana naye tena..now its 4 years sidhani hata nikikutana naye kama nitamjua ila kikubwa nilitumia ndom but nili enjoy saana maana tako lake lilikuwa sio la nchi hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
