sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 21,039
- 48,152
Huyo ndio miongoni mwa watu walio upaisha huu uzi.. plus kiga kyoto. Na yule mzee wa demu wake wa mtwara aliyepanda meli...
Akaja acronomy...akanyambakile. lugumya...just few to mention
Hakika majina hayo yameandikwa kwa wino wa dhahabu
Akaja acronomy...akanyambakile. lugumya...just few to mention
Hakika majina hayo yameandikwa kwa wino wa dhahabu
Kuna member huyo nadhani alipewa Ban anaitwa Juma..aliwahi hadi kupita na kichaa.. Nadhani baadhi ya visa vyake vilifutwa..
Ni alikuwa na matukio huyo nadhani ndiyo alikuwa anaongoza akifuatiwa na kiga..