Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Kuna yule jamaa alisimulia story ya HAMIDA yule anastahili tuzo la uzi wetu pendwa . Sijui alipotelea wap
story ya HAMIDA nmependa mchizi analia yupo mbupu tupu anagalagala, jiran zake wakaja na kumuuliza kulikon, anajibu "hamida yaan kanipa utamu kidogo tyuuh kaloweka mti wangu kisiman, nkamuambia hebu tutoe tupumzke sasa nikalala mazima naamka sumuoni, yoyoyo weee hamida wangu rudi basi" majirani walicheka hadi kuzimia. JF bhana khaaaaaah
 
alfu ile story ya Hamida sikuwai kuimalizia mana mshikaji alisimulia nusu tu
story ya HAMIDA nmependa mchizi analia yupo mbupu tupu anagalagala, jiran zake wakaja na kumuuliza kulikon, anajibu "hamida yaan kanipa utamu kidogo tyuuh kaloweka mti wangu kisiman, nkamuambia hebu tutoe tupumzke sasa nikalala mazima naamka sumuoni, yoyoyo weee hamida wangu rudi basi" majirani walicheka hadi kuzimia. JF bhana khaaaaaah
 
Kuna mwana nafanya nae kazi anasema huu uzi kiboko afu ubaya hajui alieanzisha uzi ndo yupo naee. kila siku anausomaa
kuna mtu naheshimiana nae sana nasoma nae, sasa siku hyo anatoa habari za huu uzi, afu akataja hii ID angu kuwa nazurura sana kila siku lazima niupitie, yaan nlimuangalia kucheka nikawa nataman nkaishia kufinyia moyoni. Ila wee umeimaliza JF kwa huu uzi.
 
Back
Top Bottom