Vampiree
JF-Expert Member
- Jun 29, 2020
- 530
- 1,362
Hiyo story jamaa alitupiga kamba kama unakumbuka alisema alishuka adi Chumvini [emoji23][emoji23][emoji23]Huhuhuhuh ile story yule mdada inavoonesha hakuwa kichaa in real, maan alikuwa anamsubir eneo la kazi anapofany jamaa, hadi Bank alikuwa anamfuata,
Aliniacha hoi et pale barabaran jamaa akiwa anatoka club kalewa haelew et kakutan na yule chizi akamuongoza had home kwake na ndo sku hyo waliokulana kimasikhara, [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] khaaaa