Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Miezi kadhaa nyuma, msibani maeneo ya Mikocheni. Aliyefariki alikuwa ni rafiki wa baba yangu hivyo niliwakilisha familia.
Kama mjuavyo misiba ya watu wa bara hasa watu Mara, mara nyingi hupenda kuongea kilugha hivyo kama wewe ni mgeni utajikuta huna mtu wa kuongea naye.
Muda wa saa mbili nikaamua kutoka ili kwenda kununua vocha maduka ya jirani. Nikiwa natoka dada mmoja naye akawa anatoka na tukawa tunaelekea dukani.
Binti alikuwa mnene kiasi, macho makubwa na kasura fulani hivi cha kitoto. Akanisalimu na kuniambia kwa kicheko huu msiba wenye msiba wao wanaongea kilugha tu. Tulicheka na stori nyingine zikaanzia hapo.
Tuliporudi, muda wa chakula cha usiku akaja akakaa karibu kabisa na kona niliyokuwa nimekaa. Baada ya mazungumzo machache nikagundua huyu dada anafanya kazi ofisi moja na mmoja wa mtoto wa marehemu.
Nilipanga kuondoka msibani saa sita usiku ili nikalale nyumbani. Huyu binti inaonekana alijipanga kuja kulala msibani ila akakosa kampani maana watu wengi walikuwa ni wanafamilia na walikuwa wakiongea sana kilugha na mfiwa alikuwa ndani mahali ambapo walikuwa wamekaa wanafamilia tu.
Nikamtania tu, twende ukalale kwangu kesho urudi hapa kwa shughuli za kuaga mwili wa marehemu. Alijichekesha kisha akaniambia anaogopa kupigwa, baada ya kumhakikishia usalama wake, akawa amekubali.
Majira ya saa tano na nusu nikamwambia tuondoke, wala hakusita, aliingia ndani na kwenda kuchukua mkoba wake.
Tukaingia kwenye Vitz(niliyomuazima jirani yangu) tukaanza safari kuelekea ninapoishi.
Dada akawa comfortable kabisa na utani wa hapa na pale.
Tulipofika, kila mtu alioga na safari ya bedroom ilianza bila kuulizana maswali mengi.
Alitangulia kupanda kitandani nami nikafuatia. Nilipofika alijisogeza na kuweka kicha kifuani kwangu. Sikuwa na muda wa kupoteza nikajilia mate huku nikimpapasa.
Binti alilegea kiwango cha kutosha, kisha kwa uchovu akaniuliza kama nina kondom.
Nilivaa kondom nikajilia tunda bila kuliomba.
Asubuhi kuamka, tunasalimiana binti anatabasamu huku akiniambia "kweli kufa kufaana" nikabaki nacheka tu.
Nikamsogelea nikapata cha asubuhi wakati huu hata hakuulizia kama nina kondom.
Majira ya saa nne tukirudi msibani kwa shughuli za kuaga mwili.
Huyu niliendelea kula mpaka alipoolewa na huyo aliyekuwa mchumba wake.
Hii ndio masikhara 100% nice nice mdau
 
Siku nilivyolala na mke wa mtu kiutani utani tu
Mwezi uliopita nilikuwa nasafiri kutoka Iringa kuelekea Jijini Dar Es salaam, kwa usafiri wa basi moja maarufu (jina kapuni).

Niliiingia ndani ya basi na kwenda kuketi kwenye siti yangu, baada ya dakika kadhaa akaja Mwanadada mmoja mwenye urembo wa wastani, na umbo moja maridhawa, huku nikiwa nimemkazia macho, alifika pale nilipo huku akiangalia tiketi yake mkononi, baada ya kunisalimu akaketi pembeni yangu na kutulia tuli.
Baada ya mwendo fulani safarini tukajikuta tumetumbukia kwenye stori za hapa na pale, stori zilienda kwa muda na mara kila mmoja akaanza kusinzia kwa wakati wake, nilipokuja kushtuka baadae nikamkuta bi Dada ameuchapa usingizi na wala hajitambui, baadae kidogo nami nilisinzia tena na kupotelea usingizini. kabla ya sote kushtuliwa na tangazo la Muhudumu wa Basi kwamba tunaingia hotelini kwa mapumziko ya dakika kumi pamoja na kupata chakula.

Baada ya msosi na kurudi kwenye basi mastori yalianza tena upya huku wote wawili tukiwa tumechangamka tofauti na pale awali, ndipo kwenye maongezi nilipogundua yeye ni mke wa Mtu mwenye Watoto wawili, na tena akanionyesha picha za wanafamilia wake alizokuwa nazo kwenye simu yake.

Ndipo la haula nilipogundua kuwa muda wote wa safari nilikuwa nimelala na Mke wa Mtu. Hakika tulifurahiana sana kwenye safari ile, huku stori zikinoga kadri tulipokuwa tunakaribia eneo la ubungo ambako ndio kituoni na mwisho wa safari yetu, tuliagana kwa bashasha huku tukitakiana kila la kheri kule tuendako.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji850]
 
Kuna member huyo nadhani alipewa Ban anaitwa Juma..aliwahi hadi kupita na kichaa.. Nadhani baadhi ya visa vyake vilifutwa..
Ni alikuwa na matukio huyo nadhani ndiyo alikuwa anaongoza akifuatiwa na kiga..
Na wewe unakujaga huku? [emoji15][emoji15][emoji15]

(Natania [emoji2099][emoji2099][emoji2099])
 
Ndiyo..
Sasa hivi naona anatumia ID nyingine.. aliitaja hapa..
Huhuhuhuh ile story yule mdada inavoonesha hakuwa kichaa in real, maan alikuwa anamsubir eneo la kazi anapofany jamaa, hadi Bank alikuwa anamfuata,
Aliniacha hoi et pale barabaran jamaa akiwa anatoka club kalewa haelew et kakutan na yule chizi akamuongoza had home kwake na ndo sku hyo waliokulana kimasikhara, [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] khaaaa
 
Back
Top Bottom