Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Usikute kuna Baharia ameisha shusha jinsi alivyo kula kimasihara [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa nan mie au? Ni huku tyuuh JF ila real life mie n innocent sanaaah, wala huwezi amini hata ukiniona uwiiiiiiiiiiih
 
Huhuuuuh nisiwafiche nyie watu, hawa dents wa chuo wanapenda pesa na mali zenu tyuuh, ila mapenzi ya kweli yapo kwa mates waoooh. Tatzo hawa boez wa chuo hawawez gharama ndo maan dents wanatoka nje, ila sio kwamba hawawaelewi mates zao noooh.

sa apo mwenye tatizo ni mwanafunz manake hata yeye anachezewa akija kustuka ashazeeka hana option inambid aolewe na zombie tu, tatizo la wanawake wengi hawajui kuwajua the real guys mpaka wachezeeeewe waachwe ndio wanajua kumbe huyu alikuwa real na nlikosea too bad inakuwaga very late
 
sa apo mwenye tatizo ni mwanafunz manake hata yeye anachezewa akija kustuka ashazeeka hana option inambid aolewe na zombie tu, tatizo la wanawake wengi hawajui kuwajua the real guys mpaka wachezeeeewe waachwe ndio wanajua kumbe huyu alikuwa real na nlikosea too bad inakuwaga very late
Si nyie wazee wazima mnakuja na ndinga zenu kalii, pesa km zoteee, club ya maan, sasa hapo watachomokaje? Aaaaah acheni hizo bhanaaaah. ,Mungu hapendi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwanamke ndo anakula kimasikhara....Issue ni kwamba ndo Namna yake ya kutongoza na kumaliza mchezo. Hawawezi kutamka Kama wanaume!!! My thinking.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa nan mie au? Ni huku tyuuh JF ila real life mie n innocent sanaaah, wala huwezi amini hata ukiniona uwiiiiiiiiiiih
Kwa nini unatisha sana . ??
 
Npo serious yaan kauzu na mpole mkimya, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We ujakutna na baharia kazni .
naamini ukikutana na baharia alie Itimu mafunzo .

Lazma uliwe tu .
Na utakuja kutoa ushuhuda umu we mwenyewe
 
We ujakutna na baharia kazni .
naamini ukikutana na baharia alie Itimu mafunzo .

Lazma uliwe tu .
Na utakuja kutoa ushuhuda umu we mwenyewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haiwezekani sasa kamweeeeh
 
Usikute ata ivyo vigezo vywa kuliwa kimasihala una .!!

Ukute Sura ya Baba miguu ya mjomba [emoji23][emoji23][emoji23]
Umejuaje sasa kwahyo km najifariji vile uwiiiiiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah weeee ni nyokooooooh sanaaah
 
Umejuaje sasa kwahyo km najifariji vile uwiiiiiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah weeee ni nyokooooooh sanaaah
Unajipa moyo kwamba Aiwezekani

Ukute Hii wiki ya pili ata Ujapigiwa mruzii na men yoyot[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unajipa moyo kwamba Aiwezekani

Ukute Hii wiki ya pili ata Ujapigiwa mruzii na men yoyot[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jomoneeeeh nlkuja chuo kusoma sio kupigiwa miluzi aaaaah weee nae khaaaah
 
Back
Top Bottom