Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Mwanamke ndo anakula kimasikhara....Issue ni kwamba ndo Namna yake ya kutongoza na kumaliza mchezo. Hawawezi kutamka Kama wanaume!!! My thinking.
 
Si nyie wazee wazima mnakuja na ndinga zenu kalii, pesa km zoteee, club ya maan, sasa hapo watachomokaje? Aaaaah acheni hizo bhanaaaah. ,Mungu hapendi

Yan tuwe wanyonge na hivyo vistobe vyenu tunavitaka ahahaha hatuwez kuvumilia sasa
 
sio vizuri hivyooh mjue lakini aaaaah, boez wa chuo wanaumia sana sometyme hamjuagi tyuuuuh. Khaaaaah

Waambie boys wa shule ni zamu zamu ahahahaha wao pia wakipata michongo inakuwa zamu yao hata me wakati nasoma chuo kuna pisi moja nlikuwa naipiga na ilikuwa na bwana mkurugenz tbl nlivumilia tu kibaharia sababu aliniambia wakati namtongoza...anapanda gari anaenda kupigwa kipara namwangalia tu
 
Back
Top Bottom