Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

sasa si mdau anakuleta kwenye reli alafu inakuwa one night stand kwan hao wanao chukuliw hapo wanaenda kupewa nini
Weee masikhara n ghafla n bin vuu, kityuuh imoooh it's yeeaah, sasa mtu mnachat sku 2 af mnakutan then whaaaat? Ts big noooh.
 
Hahah najua huwez kusema. Hiyo siku kuna jamaa yangu mmoja mambo ya disc za usiku pale vimbweta vya karibu na geti la ktokea kama unaenda shato point au conas.

Jamaa alikuwa amekaa amempakata bint huku taratib anajilia mema kisirisir yani.

Mwanga ulikuwa hafifu.
labda huyo jamaa yako ndo inaweza kuwa masikhara, unless km ndo alkutan nae papo hapo, ila km walishakuwa wanachat sio joke tena n maamuz ya muhusika tyuuih.
 
Kwani masihara si pamoja na mhusika kuridhia....

Masikhra means kula

Kirahisi

With jokes

Unplanned

Un expected

Though sio lazima vyote viwepo....wajuvi wataleta definition zaidi
Visa vyote ukisoma sio masikhara, m maamuzi ya wahusika tyuuh. But hapa wana act ni joke joke
 
Kwani masihara si pamoja na mhusika kuridhia....

Masikhra means kula

Kirahisi

With jokes

Unplanned

Un expected

Though sio lazima vyote viwepo....wajuvi wataleta definition zaidi
Wee hakuna hicho kityuuh, mie naamini masikhara ile bila kuresons kwa muda, it means mmekutan ghafla bin huyu hapa mnaanza kuset mitambo na bomu linalipuka muda huo huo,
sasa eti mnachat sku 2 afu mnakutan mnapean viepe broiler na maji mazito then mnapean vente vente na kumalizia mvobo ndo useme joke joke
 
Ni kweli ila mazingira ya kimasikhara ni mapana saana.

Mi naenjoy tuu kusoma watu wakibanduana...

Hebu shusha kimoja basi ulivyo mla kimasihara one boy
Wee hakuna hicho kityuuh, mie naamini masikhara ile bila kuresons kwa muda, it means mmekutan ghafla bin huyu hapa mnaanza kuset mitambo na bomu linalipuka muda huo huo,
sasa eti mnachat sku 2 afu mnakutan mnapean viepe broiler na maji mazito then mnapean vente vente na kumalizia mvobo ndo useme joke joke
 
Back
Top Bottom