Ulishawahi kula tunda kimasihara?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]waganga wa kibongo nuksi
Yani mganga anakuuliza umelalaje wakati alitakiwa ajue? Tena mmeshaunganisha spirits alitakiwa kama mganga kweli awe anaona kila kinachoendelea kwako.

Alafu huyo mganga huenda ni mbibi ama jini ila kajigeuza mmama mzuuuri ili akupate tuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Unforgetable
 
Umesha nasa wewe

kutoka kwenye huo mtego si kazi rahisi,umefunga ndoa na shetani,hivi unafkiri shetani anaachika? jipange mzee kama ulikua unataka kuonja tu ujue majini hayaonjeshwi.

pole tena pole sana
mh mbona mi naona yupo simple tu kawaida mkuu?
 
Yani mganga anakuuliza umelalaje wakati alitakiwa ajue? Tena mmeshaunganisha spirits alitakiwa kama mganga kweli awe anaona kila kinachoendelea kwako.

Alafu huyo mganga huenda ni mbibi ama jini ila kajigeuza mmama mzuuuri ili akupate tuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Unforgetable
kwisha habari yake asubir kupiga ramli

cc Kingsmann

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom