Umetaja wambulu nimekumbuka kisa kimoja kilitokea maeneo ya karatu ila sio kula tunda kimasihara, nichomekea stori tuu.
Mwaka 2008 Tulienda kikazi karatu mimi na jamaa yangu, tukapata chumba kwenye gesti flani local. Hicho chumba kina vitanda viwili.
Mida flani ya jioni jamaa yangu akaniambia twende bar tukatafute malaya wa kulala nao. Nikamjibu mimi nimechoka nasikia usingizi wacha nipumzike. Jamaa akasepa zake.
Mida ya usiku jamaa akarudi na malaya hao wakajibwaga kitandani. Basi jamaa akaanza kumchezea demu akaanza kumla, mimi usingizi umekata nasikilizia tuu jamaa anavyokamua.
Jamaa akamaliza bao la kwanza. Basi nikashuka kitandani kwangu nikaenda mpaka kwenye kitanda kwake. Nikamgusa jamaa yangu taratibu huku namnon'goneza niachie basi demu nipige kimoja.
Dah jamaa akaropoka kwa nguvu NIKUACHE NINI, WEWE SI NILIKWAMBIA TWENDE TUKATAFUTE MADEMU UKAJIBU UNASIKIA USINGIZI, HAYA NENDA KAUTOMBE USINGIZI WAKO MBWA WEWE.



Sent using
Jamii Forums mobile app