Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Yaani uliloweka kavu kavu kwa barmaid, kuna lijamaa langu nalo fara kweli limekula barmaid kavu kavu sasa hivi lipo kwenye dozi ya kutibu gono
Pombe jumlisha genye, unapiga tu...ila wakuu tujihadhari tu asee

Mimi nimewahi kupiga Barmaid kavukavu kisa pombe miezi mitano iliyopita .

Natamani kupima...lakini tatizo moyo...hahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I
Kikwetu hii unajimaliza mwenyewe kwa mana unaimaliza familia yako .
Ndugu wa mkeo tena tumbo moja ni mwiko mkubwa sana na laana itakuandamana
According to who?
Kwahiyo jambo likiwa mwiko kwenu unahisi ni mwiko kwa kila mtu?! Unaabudu mizimu 😂

Haya wewe ambaye hujaandamwa na laana maisha yanaendaje 🤣🤣🤣🤣
 
Verifier,
Dah,sijajua wewe upo upande gani,kama utakuwa ni muislamu mathna inakuhusu,
 
Nakumbuka katika miaka ya utoto, nilitokea kupendana mno na binti ambaye alikuwa ni jirani yetu, baba yake alikuwa ni askari jeshi, Mkuu wa Mgambo wa Mkoa. Hakika tulipendana sana na fa familia zetu zililijua hilo. Tulisoma na pamoja na mara nyingi tulicheza michezo ya kitoto pamoja. Yalitokea maneno toka kwa vijana wengine kudai sisi ni wapenzi lakini haikuwa kweli. Mambo ya kujamiana hayakuwa kichwani mwetu japo kuna hisia za mapenzi zilikuwa zikichemka. Kaka zake huyu binti walikuwa ni marafiki zangu kweli!

Baada ya kumaliza masomo ya shule ya msingi, huyu binti yeye hakufanikiwa kuendelea na sekondari ila mimi nilichaguliwa kujiunga na sekondari moja mkoa wa Kilimanjaro. Binti yeye alienda kuishi Tabora kwa dada yake ambaye alikuwa kaolewa na askari jeshi. Baada ya kumaliza kidato cha nne, nilipangiwa kujiunga na kidato cha tano katika shule moja mkoani Tabora. Hivyo ikawa bahati tena ya kuungana na huyo binti. Kila Jpili nilikuwa nikienda kula mchana kwa dada ya huyu binti. Akiwa Tabora, huyu binti alianza mafunzo ya Uuguzi katika hospitali (Nurse Assistant). Mimi baada ya ya kumaliza masomo yangu ya kidato cha sita, nilipangiwa kwenda katika kambi ya JKT, Mafinga kwa mwaka mmoja kwa mujibu wa sheria hata hivyo sikwenda Mafinga bali nilibadilisha nikaenda Msange JKT hapo hapo Tabora. Hivyo tuliendelea kuwa karibu.

Mara baada ya kumaliza mafunzo ya JKT nilipata bahati ya kuchaguliwa kwenda kuendelea na masomo ya juu nje ya nchi ambako nilikaa kwa muda wa miaka sita. Kwa muda wote huo tulikuwa tukiwasiliana na huyu binti kwa barua (ikumbukwe enzi hizo simu za mikononi zilikuwa bado). Na kipindi hicho, tayari Baba yake alistaafu na kurejea kwao Tanga. Huyu binti baada ya mafunzo yake, alirudi mkoani kwetu kuishi na dada yake mwingine ambaye alikuwa kaolewa huko. Alifanikiwa kupata kazi kama Muuguzi Msaidizi katika hospitali ya Mkoa.

Akiwa huko alifanikiwa kupata mchumba na kuolewa. Ndoa yake mwanzo ilikuwa nzuri lakini kadiri muda ulivyokuwa ukienda hali ilibadilika na upendo kukosekana katika ndoa hiyo. Tatizo kubwa lilikuwa ni kukosekana kwa mtoto katika ndoa. Pamoja na jitihada nyingi za kitabibu kufanyika lakini binti huyu hakushika mimba. Hapo yakanza manyanyaso, masimango na vipigo juu! Alikuwa akiniandikia na kuniomba ushauri.

Baada ya kurudi nyumbani kwa, nilimkuta akiwa kwa Dada yake, kakimbia kwake baada ya vipigo kuzidi. Nilimtembelea jioni moja hapo kwa dada yake na baada ya kupata chakula cha jioni tulikaa sebuleni na kaanza kunisimulia yanayomsibu. Alikuwa kakaa pembeni yangu akiegemeza kichwa chake katika bega langu huku akilia. Nilijisikia vibaya na nikakosa mbinu ya kumfariji ili asilie, maskini mimi! Nilianza kumpiga piga mgongoni kumbembeleza na kumvutia kwangu. Nilisimama kisha naye akasimama akakiweka kichwa chake kifuani kwangu. Nikayashika mashavu yake yote kwa viganja vyangu na kumtazama usoni.....bila kutarajia nikajikuta nimepewa ulimi nami bila kujijua nikatoa ushirikiano. Kilichofuata nilijikuta niko chumbani kwake na tumeshiriki tendo la ndoa bila ya kutarajia tena bila condom! Anyway, tulipima baada ya muda na majibu yalikuwa safi. Tulijikuta tunatoka katika urafiki na kuwa wapenzi....... Hata hivyo nilimjulisha kuwa nina mchumba na nikamtambulisha kwake. Alshiriki kikamilifu katika ndoa yangu na hadi kesho yeye ni mshauri wangu namba moja katika maisha.

Nilihis ndio atakuwa mkeo mna historia nzur sana ya kuvutia ila ndio hivyo
 
Umetaja wambulu nimekumbuka kisa kimoja kilitokea maeneo ya karatu ila sio kula tunda kimasihara, nichomekea stori tuu.

Mwaka 2008 Tulienda kikazi karatu mimi na jamaa yangu, tukapata chumba kwenye gesti flani local. Hicho chumba kina vitanda viwili.

Mida flani ya jioni jamaa yangu akaniambia twende bar tukatafute malaya wa kulala nao. Nikamjibu mimi nimechoka nasikia usingizi wacha nipumzike. Jamaa akasepa zake.

Mida ya usiku jamaa akarudi na malaya hao wakajibwaga kitandani. Basi jamaa akaanza kumchezea demu akaanza kumla, mimi usingizi umekata nasikilizia tuu jamaa anavyokamua.

Jamaa akamaliza bao la kwanza. Basi nikashuka kitandani kwangu nikaenda mpaka kwenye kitanda kwake. Nikamgusa jamaa yangu taratibu huku namnon'goneza niachie basi demu nipige kimoja.

Dah jamaa akaropoka kwa nguvu NIKUACHE NINI, WEWE SI NILIKWAMBIA TWENDE TUKATAFUTE MADEMU UKAJIBU UNASIKIA USINGIZI, HAYA NENDA KAUTOMBE USINGIZI WAKO MBWA WEWE.

Sent using Jamii Forums mobile app
ikawaje mwisho wake?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pombe jumlisha genye, unapiga tu...ila wakuu tujihadhari tu asee

Mimi nimewahi kupiga Barmaid kavukavu kisa pombe miezi mitano iliyopita .

Natamani kupima...lakini tatizo moyo...hahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
Nguo zakoo ni Nani atavaaa we
Watoto wako ni nani atalea we
Ogopa ukimwi, ukimwi hauna dawaa
Hicho ni kiitikio cha wimbo fulani miaka hiyo
 
Back
Top Bottom