Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

imekula kwako

kwa taarifa yako hapo lazima ufanywe ndondocha a.k.a msukule

hata hapo umefanyishwa mapenzi na msukule,na ukitaka kuelewa jioni ukienda tena..

uingie hapo ukiwa umefumba jicho moja hadi huko kilingeni na kwenye puchi

utakayoyaona usipige kelele;vinginevyo utachizishwaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nikifumba jicho moja naona kila kitu?
Mh
Ntajaribu kufanya hivyo
 
Nendapo na Ulaleko... Ha hah kiswahili bwana.

Ila sio mbaya wewe endelea kulaTunda la Mganga.
 
Mkuu huo ndiyo mwisho wako wa kula papuchi nyingine, atakutengeneza ukitoka nje machine haifanyi kazi, acheni kukimbilia walozi
Hatari au atamtengeneza akitaka kula mzigo panya anakuja anachukua mashine anaondoka nayo, hiyoooooo, akiacha baadaye anarudisha.
 
Mganga kategesha mtego ukanasa huko wewe ukiona umemla kimasihara! Ni kama umepewa limbwata watu wa nje wakikuambia huwezi kubali
 
hatari sana siku huyo mganga ajigeuze kuwa njemba sijui itakuwaje
 
Umeshapotea wewe, daah sasa jaribu kufanya fyoo uone atakavyokugeuza fyiii....yeye kwa sasa ndiye mwanaume. Kila la kheri.

Kama bibi mganga hajawahi kuwa na mwanaume basi wewe ndio mume, lakini vinginevyo ameshakudaka.

Nasubiria post zako zitakazokuja; 'jamani wana jamvi, hospitali hawaoni ugonjwa' au 'naamka kila siku nimechoka sana' au 'sielewi hatima yangu katika ndoto hizi' au 'nimeambiwa nisiulize chochote nisichokifahamu' au 'kwa yanayotokea haya, nahisi tupo wengi tunaishi kwenye nyumba moja,ila mimi naona tupo wawili tu'
 
Back
Top Bottom