Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Aiseeeee.

Gen Z kanogewa na dingi. Sasa ni mchepuko wangu rasmi. Wiki ijayo naenda Mbeya, nimeshamset nikamle tena.
Anogewe na nguvu za kuku? 😹

Sema hivi kapata pa kutatua shida zake za kifedha, hakuna binti anayeacha watu wa rika akamchukua babu yake kwa mapenzi..!!

Hapo unajilsha upepo tu..!!
 
Nilivyomla muuguzi mmoja wa kitete Hospitali Tabora Kimasihara.

Picha linaanza 2011.

Sikukulia nyumbani kwetu kwa asilimia. Nikiwa mtandaoni huko FB nakutana na group la whatsapp la mkoa/wilaya/tarafa yetu.

Nikajiunga na kujitambulisha ni mzaliwa wa kijiji gani na kata gani kwemye tarafa hiyo mashuhuli pia ni mtoto na mjukuu wa wa nani.

Muuguzi akasema anamjua Babu yangu na baba yangu kwani wanatoka kijiji kimoja. Akasema anapofanya kazi wakati huo. Likaisha hilo.

Nikapata safari ya kwenda Tabora. Nikamtaarifu nakuja Tabora ila nitafikia kwa kaka yangu Cheyo B. akasema haija shida. Nikifika nimtafute.

Kamanda nikaingia Tabora saa 1:00 usiku na KISBO. Nikamtaarifu nimefika, akasema nimpe boda aongee naye. Safari ya kwenda kwake ikawadia. Nikakuta nimepikiwa wali na samaki. Nikaoneshwa bafuni, nikaenda kuoga. Nikamkuta amevaa kimini, mapaja yapo wazi huku taight inaonekana ndani na amekaa mbele yangu akiniandalia chakula.

Nikajiongeza, nikamla kimoja cha fasta then nikala wali wangu ndio kazi ikaendelea. Yule Muuguzi anajua sana kuchezea mshedede na alikuwa na K taight sana.

Asubuhi nikaenda kwenye shughuli iliyonipeleka. Nikamuomba msamaha bro na kumdanganya nimefikia kwa rafiki yangu. Jioni nikarudi kwake, ilikuwa ni mwendo wa mizagamuano tu. Asubuhi tunatoka wote, yeye anaenda kazini mi naenda kwenye shughuli zilizonipeleka. Jioni narudi kwake kwani funguo moja aliniachia. Nilikaa siku 5 zilikuwa za moto.

Nilitaka kumuoa yule binti ila tulikuja shindwana baadaye. Nakumbuka Abuja pale Bar nje ya Kitete Hospitali.
Hii sio kula kimasihara. Mlishatongozana
 
Back
Top Bottom