Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Practice practice make it perfect.

Jana nmetoka zangu viwanja , nipo road si nakutana na manzi ya mtaa mmoja afu hua namzimia sana.

Nkamchukua kwenye kausafiri kangu. kwasababu tunaanza kufika kwangu kwake ni mbele ila kwa mguu ni mbali kwssababu ilikua mda ushaenda mtoto kagoma kuondoka visingizio vya kuogopa.

Nami skutaka kujifanya nataka nimpeleke, mana wema huo sina, nkasema tu asalale leo mbuzi kafia kwa muuza SUPU nmelala saa 8 leo , hivi nnavo ongea mtoto yupo nje anafua jeans zangu daah wanawake.

Anyway ngoja nipumzike saa 7 nistue tena then nimpeleke kwake. 🤪

KIMASIHARA IDUMU MILELE 👑
Nikwambie tu alikulia mingo huyo kitambo kusubiri hapo, umeingia kwenye hesabu zake
 
Nilivyomla muuguzi mmoja wa kitete Hospitali Tabora Kimasihara.

Picha linaanza 2011.

Sikukulia nyumbani kwetu kwa asilimia. Nikiwa mtandaoni huko FB nakutana na group la whatsapp la mkoa/wilaya/tarafa yetu.

Nikajiunga na kujitambulisha ni mzaliwa wa kijiji gani na kata gani kwemye tarafa hiyo mashuhuli pia ni mtoto na mjukuu wa wa nani.

Muuguzi akasema anamjua Babu yangu na baba yangu kwani wanatoka kijiji kimoja. Akasema anapofanya kazi wakati huo. Likaisha hilo.

Nikapata safari ya kwenda Tabora. Nikamtaarifu nakuja Tabora ila nitafikia kwa kaka yangu Cheyo B. akasema haija shida. Nikifika nimtafute.

Kamanda nikaingia Tabora saa 1:00 usiku na KISBO. Nikamtaarifu nimefika, akasema nimpe boda aongee naye. Safari ya kwenda kwake ikawadia. Nikakuta nimepikiwa wali na samaki. Nikaoneshwa bafuni, nikaenda kuoga. Nikamkuta amevaa kimini, mapaja yapo wazi huku taight inaonekana ndani na amekaa mbele yangu akiniandalia chakula.

Nikajiongeza, nikamla kimoja cha fasta then nikala wali wangu ndio kazi ikaendelea. Yule Muuguzi anajua sana kuchezea mshedede na alikuwa na K taight sana.

Asubuhi nikaenda kwenye shughuli iliyonipeleka. Nikamuomba msamaha bro na kumdanganya nimefikia kwa rafiki yangu. Jioni nikarudi kwake, ilikuwa ni mwendo wa mizagamuano tu. Asubuhi tunatoka wote, yeye anaenda kazini mi naenda kwenye shughuli zilizonipeleka. Jioni narudi kwake kwani funguo moja aliniachia. Nilikaa siku 5 zilikuwa za moto.

Nilitaka kumuoa yule binti ila tulikuja shindwana baadaye. Nakumbuka Abuja pale Bar nje ya Kitete Hospitali.
Umenikumbusha Abuja na ugali mkubwa kwa mama aposto hapo hapo opposite na hosp.
 
Back
Top Bottom