Ulishawahi kula tunda kimasihara?
8. Makondakta wa kike wa mabasi ya masafa marefu

9. Wamama wa nyumbani

10. Wanawake walevi

11. Wanaoshinda salon za kike

12. Wa kausha damu

13. Wauza matunda na vyakula hasa wanaoenda site na gereji

14. Wahudumu wa bar, lounges na clubs

15. Matrafiki wa kike
WEWE umemla nani kati ya hao?! Kujifanya expert kumbe bikira la kiume!!!!!
 
Kaka kama mtu ana hizo shida anaonekana. Sio mpaka utembee na lundo la vipimo. Mbona wewe unapima HIV tu halafu unapiga kavu.
Hayo magonjwa mengine unayapima wapi? Tokea nmekua na uzinzi wote nliofanya sijawahi kutana na hayo madude.
Ina matter sana wanawake wako unawatoa wapi kaka.
Mkuu shukuru Mungu kakunusuru ila maradhi hayapimwi kwa macho yani umkadirie mtu kwa muonekano wake mimi nilishalala na mwanamke pisi kali balaaa na kimuonekano tu swala la maradhi huwezi kumuwazia kabisaa ila nilikuja kuambiwa kaungua na kashawaambukiza wengi tu ila yhanks God nilitoka salama, na nilichogundua ukiingia kwa hisia sana huwezi kuwaza habari ya maradhi so tujitahidi kudhibiti hisia na akili iwe mbele 🙏
 
Back
Top Bottom