Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Na me ngoja nichangie nilivyokula kimasihara enzi nasoma advance mkoa mmoja wa usukumani huko:
Nikiwa kidato cha sita nlkua na rafiki yangu tuliekua tunasoma naye,alkua ana demu wake shule jirani ya wasichana, kuna kipindi kilifika wakaachana sababu wanazifahamu wao, sasa mimi nikaendelea na mawasiliano na "shem" wa shule jirani ya wasichana, nakumbuka ilkua ni mwezi wa tisa,kulikua na likizo fupi takribani wiki mbili, sisi kidato cha sita tulibaki shule, wanafunzi wa ile shule jirani pia walifunga lakini yule ex wa rafiki angu akaendelea kubaki shule coz home palikua mbali kutoka pale shuleni, wakati wa likizo hiyo tukiwa katika chattings za kawaida na huyo ex wa rafiki yangu,nikamtania tu sikuwa ata serious, nikamwambia nimemiss natamani nimuone, akaniuliza "tuonane wapi"? Na me nikamjibu popote tu ambapo patafaa, cha kushangaza yule binti akaniuliza tena "hata tukionana guest itafaa?", Sikutegemea swali kama lile na me nikaona kaingia kwenye kumi na nane nishindwe mwenyewe tu, Basi tukakubaliana badae mida ya usiku niende shuleni kwao nikamchukue, shule yao ilkua porini, umbali kidogo shule yetu ilipokua, Basi ilipofika mida hio nikapita zangu pori hadi nikatokea karibu na lilipokua bweni lao nikamchukua tukaenda lodge town,nikaichakata mbususu ipasavyo na kesho yake asubuhi nikamrejesha skuli kwao
 
Mwaka fulani toka porini huko selous tukalamba cruiser hao hadi ifakara .
Duh kula ugali sana na samaki, badae tukasogea pentagon Club aloo mtoto Esta alikua km ananisubiri.
Tukala cha fasta hapo hapo,
Badae naona huyoo tena kaja twende kwangu.
Ayaah kwako tena?eeh
Nikaona isiwe tabu twenzetu,
Nikapelekwa uswazi huko ifakara kula sana ile mbunye home kwao..
Narudi tulipofikia turudi porini kila mwenzangu haelewi nilipotelea wapi?
Mi siwaelezi km niliondoka na yule Suzy pale akahama na mimi mazima,
Turlirudi camp selous fresh mi niliamua kurudi home Dar, hapo nimekoswakoswa na vifo km mara 5.
Na bado safari ilikua Zimbabwe,South,Swaziland,
Nilitema bungo mapeema
 
Siku ikatokea nikalikamata pili,
Kwa macheni likongoleee😁
Sura ya mjomba,sijui baba libayaaa.
Ila limebeba pronto nyuma km limesingiziwa.
Kwenda kuliinamisha michongoma pembeni
Likahamisha kitu kwenye tako
Kula kisoda mpaka washabiki wanasema mpe poo atulie.
Aisee huyo demu aligeuka wangu kabisa.
Yaani tunapika na kupakua pondu.
Ni wamanyema wacongo
Sikuwai kumpa senti 10.
Tunatafunana tu
 
Siku bana masaki huko mi nauza bar tu enzi hizo.
Kaja model mmoja aisee,mnajua bongo mabinti wazuri,
Sasa huyo yaani alikua mzuri kiasi nafkiri alikosa brain tu.
Hawa kina Miriam odemba wakasome.
Dah kaja na beberu wake pale kala suti kali nyeupe,
kiblauzi pink skuna ndefu kali sana make up iliyoenda shule yaani anameremeta.
Nilimfananisha na Naomi Campbell
Wakala wakanywa wakatimka na mshua wake.
Hapo nimepigwa tip ya kutosha
Du mida flani badae.
Demu huyu hapa karudi,
na kaja straight
Unatoka sa ngapi?
Mi "ni kama saa moja hivi"
Nilikua hata wazo sina kumpiga sound.
Maana nilijua sio lever yangu.
Demu akasema nakusubiri.
Aloo uhuni wangu wote pale nilisanda.
Tukawa tuko wote na demu nipo nae gheto daily,
siku nikabeba zigo lingine toka Tanga nikawa nalo.
Hapo nazuga huku na huku.
Demu kaja mzigoni sipo,gheto anaambiwa hajarudi huyu toka jana kapagawa.
Kumbe ana mashetani bana.
Siku hiyo kaja gheto nilipigwa mawe km mwizi huku tunakimbizana🤣🤣🤣🤣.
Mpk kumpa banzi moja ndo katulia kimya.Ndo kahamia mazima gheto.
Ntaendeleza tulipoishia
Chai
 
Baada ya muda mrefu bila kumpa ujauzito wife ikabidi niende hosi kufanya check up.
Nilielekezwa hospital ya kishua hao ndio wataalam wa hayo mambo.
Nimefika kwa doctor akaniambia niende maabara kufanya kipimo cha sperm count.
Nikafika nikamkuta dada wa maabara akanipa kikopo na tyb ya ky jelly akanielekeza chumba ili nikatoe specimen.
Chumba ni cha kumuona daktari kikiwa na kitanda japokua siku hiyo hakikua kinatumika.
Nikaanza taratibu za kujichua Kila nikijitahidi hola. Siko na rekodi ya kujichua by the way.
Muda unaenda bila mafanikio, nikapata wazo bora zoezi nikalifanye kwa utulivu nyumbani then niwaletee.
Nikarudi maabara nikamuomba dada nikafanyie zoezi nyumbani lakini alinikatalia akidai kipimo kikichukua muda kinaharibika.
Aliniangalia kwa Huruma, kwa hiyo zimeshindwa kutoka kabisa? Aliuliza.
Nilivyojibu ndio akaniambia nisubiri.
Baada ya muda tukaongozana mpaka room akavaa gloves na kujipaka mafuta na kuanza kujichua.
Ilichukua muda Kila akifanya bila matokeo.
Ndipo alipoamua kuvua glove. Dada alikua mkono laini, mara paap walabu haoo wamemwagikia, akawakinga wa mwisho mwisho akaenda nao maabara.
Nilijilaumu kwa nini wametoka, huenda wasingetoka angenipa hata bj.
 
Baada ya muda mrefu bila kumpa ujauzito wife ikabidi niende hosi kufanya check up.
Nilielekezwa hospital ya kishua hao ndio wataalam wa hayo mambo.
Nimefika kwa doctor akaniambia niende maabara kufanya kipimo cha sperm count.
Nikafika nikamkuta dada wa maabara akanipa kikopo na tyb ya ky jelly akanielekeza chumba ili nikatoe specimen.
Chumba ni cha kumuona daktari kikiwa na kitanda japokua siku hiyo hakikua kinatumika.
Nikaanza taratibu za kujichua Kila nikijitahidi hola. Siko na rekodi ya kujichua by the way.
Muda unaenda bila mafanikio, nikapata wazo bora zoezi nikalifanye kwa utulivu nyumbani then niwaletee.
Nikarudi maabara nikamuomba dada nikafanyie zoezi nyumbani lakini alinikatalia akidai kipimo kikichukua muda kinaharibika.
Aliniangalia kwa Huruma, kwa hiyo zimeshindwa kutoka kabisa? Aliuliza.
Nilivyojibu ndio akaniambia nisubiri.
Baada ya muda tukaongozana mpaka room akavaa gloves na kujipaka mafuta na kuanza kujichua.
Ilichukua muda Kila akifanya bila matokeo.
Ndipo alipoamua kuvua glove. Dada alikua mkono laini, mara paap walabu haoo wamemwagikia, akawakinga wa mwisho mwisho akaenda nao maabara.
Nilijilaumu kwa nini wametoka, huenda wasingetoka angenipa hata bj.
Chai
 
2019 natoka Dar naenda Mwanza, nimepanda basi konda akaniambia nitafute siti nnayotaka nikakae, nikatafuta siti aliyokaa mtoto mmoja pisi kali kinyama nikakaa kwa pembeni yake. Njiani dada alikuwa anatapika tapika sana alikuwa sio mzoefu wa safari ndefu, sikumtenga nikampa sapot nzuri, alikuwa na mfuko wa kutapikia basi nikawa namlaza mapajani mwangu ili apumzike. Basi tumeenda hadi kufika Shinyanga ni saa 6 usiku, tukashushwa waliotaka kulala ndani ya gari wakalala, waliotaka kwenda kulala guest wakaenda. Basi nikamshauri binti twende tukachukue chumba ili apate nafasi ya kuoga na kupumzika tuendelee na safari kesho akiwa na nguvu mpya. Dada alinishukuru akasema mimi ni mkarimu sana angekuwa mtu mwengine angehama hata siti. Kifuatacho ikawa ni kuzawadiwa utamu hadi kesho yake tukaendelea na safari. Nilidumu naye kwa muda huyo dada na alitaka nimuoe tatizo yeye alikuwa mjeshi hakupenda kuolewa na raia kwa hiyo penzi letu lilikuja kufa baadaye.
 
Back
Top Bottom