Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Mkuu Emery paper
Kumbukumbu zangu alishaniambia wapo 3 kwao, wakwanza kaka ake yupo paris Ufaransa ni engineer alitaja kiwanda ckumbuki ila wa pili ni dadake ambaye alikua ni daktari Queens hospital kama sikosei ila mji ndo nimesahau yeye ni wa mwisho na alikua pia daktari,pale london na alikua anaishi na mama ake kwani Mzee wake alisha fariki,
Kipindi hicho ujana ilikua shida sikutilia umanaan sana wala kuuliza maswali kwani nilikua na mtu ambaye nilimpenda sana na isitoshe huyo dada nilimla kimasihara,sema swala la mtoto ndo linaniumiza kichwa kila napomkumbuka

Changamoto pia umbali na nchi yenyewe namna ya kufika huko au kama kuna mwana jamii forum anae ishi huko tuwasiliane dada ake anafanya kazi Queen hospital na anaitwa charlotte hudson
Mkuu kwema ? Nina imani kuna mdau alikushauri upitie ubalozini kwao pengine wanaweza kuwa msaada. Naamini ulifanya hivyo na pengine ulishajua mahali pa kuanzia.
 
MUENDELEZO0


KULA KIMASIHARA KULIVYOBADILI HADITHI NZIMA YA MAISHA YANGU....

Tuseme ni part 02........

_ Basi hatua ziliendelea kujongea mpka kufika chumba nilichokuwepo wakasimama ndipo kati ya wale wamama wawili mmoja akauliza " Ushampiga nusu kaputi??" Wanda akajibu "ndiyo"..

_Wale wamama waliovalia sare za kijesh sasa skujua ni jeshi gani sijui polisi sijui wanajeshi hawa wakata kujua kilichotokea ndipo wanda aliwasimulia mkasa mzima uliotokea huku akisisitiza kwamba mimi npo tofauti na vijana wa mtaani pale situmii madawa alafu pia ni mgeni so aliona kunisaidia itakuwa sawa sababu sina madhara kwenye kazi yao..

_Hapo ndipo nilishtuka sina madhara kwenye kazi yao? Kazi gani!!......

- nikiwa bado nimejifanya nimelala nmegeukia pembeni lakin nipo mwanzoni mwa kitanda tu nikageuzwa kuangalia juu yan kama nililazwa chali hivi alafu nikashikwa kiganja cha mkono wangu wakulia na mmoja kati ya wale wamama ni kama alikuwa anakagua kam kweli anachokisema wanda situmii madawa nadhani alikuwa anakagua kama nanyonga??

_ Alivyomaliza akahamia kushoto pia nikaguswa lips na mwanga kam wa tochi ya simu ukinimulika usoni hasa kwenye mdomo si mnajua ata ukifumba macho mwanga ukiwa karibu unaona kam rangi nyekundu angavu ndan ya macho...

-Niliweza kujikaza wakati hayo yakiendelea nikijua ni wamama tu endapo watatka kunifanyia jambo baya ntakurupuka na kukimbia mbioo nje nikitafta msaada so nilikuwa nawasikilizia tu....

_ Mmama mmoja akamuita Wanda na alitumia jina flan iv lakike amabalo baadae nilijua ndo jina lake wanda na sitalitaja humu 😂😂😂 akamwambia nenda kajiandae mda unakaribia....... alivyotoka wanda wale wamam wakaanza kupiga story yan kama umbea kuhusu sherehe walipotoka kabla ya kuja hapo.......

_ walikuwa wakiponda kamati ya ukaribishaji imefanya vibaya na wakifia kamati ya mapambo na kusema ngoja ifike kamati yao ambayo nilihisi ni chakula maana walikuwa wakisfia misosi waliyoandaa...... kumbe mda mfupi uliopita walitokea kwenye ukumbi wa harusi ya mjeshi mwenzao ambao katika kugawa kamati wakapata ya chakula...

Walikuja kama dharura baada ya kusikia nyumbani kuna ugeni wa watu wawili hvyo kama walitoroka. Dakika chache Wanda alirudi chumban kusema "tayari" na wale wamama wakasimama maana mmoja alikaa kweny kiti mda wanaongea mwingine alikaa juu ya ile meza wakaanza kuondoka ndani huku wakisema tutakakuta bado kamelala.......

Walivyofika nje nikasikia mlango wa chumban unafungwa kwa nje na walivyofika getini pia hvyo hvyo walifunga kwa nje wakapanda gari na wanda wakaondoka nikasema leo " Afwile Mundu kmmke yaani leo ndo ile siku nabakwa" 😂😂

-Nikasimama kutafakari kipi nifanye huku nachungulia durishani na kujaribu kufungua mlango nilihaha. Sikuwa na simu maan hata skupata nafasi ya kuichukua kwa alietushikia vitu mda tunaingia uwanjani. Nikaenda chooni kutafuta upenyo labda ntatoka ila ila nkapata jibu kwamba mim ni mpumbavu nilivyopata chance ya kukimbia kabla wale wamama hawajatoka ningeitumia na wasingenikamata..... nikawa mpole tu nikiangalia dirishani.....

_ baada ya mda flan ambao sikujua kabisa exactly ni kias gan maan skuwa nasaa ya kuangalia ila kwa kukadiria masaa matatu au mawili na nusu nikasikia geti kubwa la kwenye fence linafunguliwa na gari kupita lakin wakati huu watu walioshuka ilikuwa tofauti na nilivyofikiria.

_ Kwanza alishuka wanda upande wa dereva akashuka na mmama mmoja kati ya wale wawili upande wa pembeni ya dereva nyuma walishuka Wanaume wawili waliovalia suti nyeusi wakiwa wanapiga story na wote walikuwa na tabasam wanda akaongoza mbele kufungua geti la kuingilia ndani nao wakafata, nami nikatoka dirishani nikarud kitandani....

_ nikiwa na hofu nimejilaza kitandani pozi lilelile waliloniacha nalo wakafungua mlango wa chumbani nikawa naskia tu saut ya yule mmam akisema mwanaume gani huyu yaani limelala kweli mda wote. Kumbe walifunga mlango wakijua nikiamka sitakuwa nakwakukimbilia sas wanashangaa kunikuta bado nimelala..

Wale wauni wakafika kitandani nikawa naskia wanahesabu moja mbili tatu ghafla nikabebwa juu nikaekwa begani kwa mmoja akaanza kutembea na kutoka nje nikasikia alienibeba anauliza kwa sauti ""kwenye buti au nyuma ya gari"" Wanda akajibu ""nyumaa"" kisha nikawekwa siti za nyuma wakapanda na tukaondoka....

_ hakuna aliekuwa ananizingatia wakaendelea na story zao ndipo nikajua hii mijamaa na yenyewe ilikuwa kweny sherehe walikuwa wakiwasifia watu waliopendeza kwenye sherehe na matukio.... Lakin kilichonishangaza kila mtu anaetajwa basi mwanzoni hakukosi neno afande au cheo flan cha kijeshi.....

_ Tulifika sehem gari likasimama yule mama akasema muamshe huyo, aisee wazee nilikulaa kofi moja hiloo dadeky 😂😂 nikajifanya nashtuka nashangaa nauliza niko wapi nyie wakina kwa uwoga daah wakaanza kunicheka huku wakisema Raia bhna 😁😁... yule mama akanambia yeye ndo mama ake mdogo wanda akasema nilisaidia sababu nilitaka kuuawa mpirani hivyo nisiseme chochote nilichokiona waka kukiskia🤫 na akaniahidi kesho tutaongea vizuri ila niende kwanza nyumbani 🥲 nilifurahi kimoyo moyo daah wakafungua mlango nikatoka nje mbio kama sungura alieachiwa bandani 😆......


Nafika home nakuta watu nje wamesimama kaka; shemeji; na baadhi ya masela ambao tulienda nao uwanjani, wanaongea ongea walivyoniona tu wakanikimbilia ... maswali mengi ulipigwa? mara umeumia!! Ulikuwa umekimbilia wapi??!! Nikawaambia tu niko poa wakasema kuna msela alipigwa yupo hospitali ya "zakhem" sijui kalazwa wengine waliumia lakini sio sana .... daah tulikaa pale nje kuongea ongeq baada ya mda nikawaaga nikaingia ndani kulala........

Nikiwa nauanza usingizi niliskia sauti ya broo akiniita kutoka sebuleni naambiwa una mgeni wako nje. Kufungua mlango wanda huyu apa..?? Maneno ya yule mama yalinijia kichwani kama flashback dadeky na kile kibao weee 😃😃😃 nikakataa kutoka nje maan alikuwa ananiomba nitoke tuongee...

_Lakini nilikubali akanambia tuende kwake tukaongee nikakubali tukatembea hadi geto kwake na mim ndo nilikuwa wakwanza kuingia kati ya masela wote pale kitaani.... bas kufika ndani hatukuongea kitu akanikumbatia tukakiss then mnajua kilichofata.... then akanambia anajua nimeskia kila kitu akanambia na nihatari kwa maisha yangu sikupaswa kujua vyote na uzembe wake kutonipiga nusu kaputi ila akasema atanambia ukweli ili nisiwe na wasi wasi kwanza ananipenda, pili hataki niishi kwa wasiwasi, pia nikijua ukweli nitajua kutunza siri.......

Akasema yeye hana wazazi wala ndugu wa damu na yule mama mdogo sio ndugu wa dam.. na yeye sio Tom boy ...... 🤯🤯🤯 nilishangaa kama wew ndugu msomaji....

_Akasema kuhusu wazazi wake sio kwamba hawajui, anawajua ila kwa sasa hawapo duniani.... Asiĺi yao ni Singida huko ambapo wazazi wake walikuwa ni ndugu kabisa wa damu yani kaka na dada ambapo mama yake alishika ujauzito akiwa na umri mdg miak 14 au 13 na ikagundulika ni ya kaka yake wa damu so ili familia kuondoa aibu ikawafukuza wote wawili kwenye ukoo na kuwaambia waende mbali na hawataki kuwaona....... Wanda aliyajua hayo kupitia baru aliyopewa baada ya kifo cha mama yake

_Walivyofukuzwa baba yake ambae ni kaka wa mama yake alikuwa na rafiki ake ambae tangu anampa mimba dada yake alikuwa akimwambia na walijua kitakachofata ni kufukuzwa; sas kama sehemu ya msaada akamwambia yeye (rafiki wa baba yake) alipata kibarua cha kazi ya ulinzi wa shamba la mZungu la mchele wilaya moja huko morogoro hivyo kama atapenda waende pamoja huko wakaanzishe maisha upya nayeye anaweza akapata hata kibarua cha kulima.....

na wakati huo mimba ilikuwa changa na huyo rafiki mtu alishaondoka ila alimuachia location husika means jina la kijiji na wilaya na jina la shamba maana mashamba makubwa huwaga na majina kutokana na wamiliki. So mda wanasubiria mimba iwe kubwa kubwa wafukuzwe na kweli ikawa hivyo...

_ kwakua alikuwa hawana Option safari ya kumfata rafiki mtu ikaanza kwa kuunga unga kwenye malori.. ni jambo ambalo walilitegemea so kaka mtu alijipanga kidogo kwa kuweka vihela na kuuza mashamba mawili kisiri siri ambayo alipewa na baba yake mzazi babu yake wanda ambae nae wakati huo hakuwepo duniani.....

_Mungu Si Arteta kafungwa kwa aibu jana na timu iliyokuwa nusu uwanjani🤣🤣 wakafika hadi kwenye shamba ila mhusika waliemfata hawakumkuta sijui ilikuwaje ila watu walisema hawamfahamu hadi mlinzi waliemkuta shambani pia alisema halijui jina la huyo.mtu 😑😑😑

_ Tumaini lao lilikuwa ni hilo na mwnyeji wao hayupo ikabidi sasa waende ofisi za serikali ya mtaa wakajieleze maan hata wakisema waondoke wataenda wapi?? Na watapoteza hata ela waliokuwa nayo kuanzia maisha kwa nauli kwenda sehem wasioijua. Walisikilizwa na kama ilivyo Watanzania wakarimu wakapokewa wakapewa eneo japo hawakusema kama wao ni ndugu ila walisema walifukuzwa kwao sababu walitaja walioijua wao...

_ Maisha yalianza kam mke na mume mpka Wanda alizaliwa na alipewa jina ambalo nilikisikia yule mmama akimuita. Ila kwakua ilikuwq ni porini sana alikuwa maisha aliyoyajua ni shamba tu;; shule alisoma lakini ni zile za kijijini sana madarasa matatu tu mnaenda kwa kupokezana madarasa wanafunzi wachache mno na mkimaliza lasaba hakuna anaeenda sekondary hata mkifaulu ...

Wanda alisoma hapo mpka akamaliza lasaba na hawakujishughulisha kuangalia matokeo maan uwezo wa kusomesha sekondary hawana;;; sasa baada ya kumaliza la saba ukapita mwak mmoja akiwa tu anakaa nyumbani na huko.kijijini ni vile vijiji ambavyo ukikuta nyumba moja mpka kuikuta nyingine kubabake ni kaziii 🤣🤣

THE SADDEST PART OF THE STORY.....

- Wazazi wake walikuwa na tabia ya kutoka asubuh na kwenda shambani kisha yeye kubakia nyumbani siku nzima. SASA siku hyo kaamka asubuh akijua kuwa wazazi wake wameshaenda shambani kumbe baba yake alikuwepo ndani na mama yake alienda shambani mwenyewe ( kuna umbali sana kutoka nyumbni hadi shambani)... sasa kaamka asubuh na kanga yake kafagia uwanja kapika chai then akarudi ndani kujilaza akiwa anasinzia kutokana na chai ISIYO na sukari na kiporo

AKASHANGA kuona mtu anaingia chmbani kwake . Hakukuwa na mlango ila ni shuka tu imefungwa. Mara anamuona mzee wake akiwa uchi akimsogelea pale alipo lala yeye; sas akiwa anaload mafaili dingi namna gani ghafla mzaa alimvamia na kuanza kumshika mshika 😔😔😔 kutoka na kuzidiwa nguvu na mzee wake mzee alifanikiwa kumbaka binti yake sas wakati bado mzee yupo kazin hata kumwaga hajamwaga ila ngoma ipo ndani;; mara mama huyo mpka ndani akakuta tukio likiwa katikati😯😯😯😯

Mama alishuka chini mzima mzima;; mzee akamuacha binti na kukimbilia chumbani na kuvaa shati na suruali ya kutambaa na kurudi kuanza kumpepea mke wake binti alimsaidia huku analia.

Mama alishtuka na kuanza kumlaumu mzee kwanini kafanya kitendo kam hicho huku analia kwa uchungu na akimlaum kuwa hata yeye alimbaka hivyohivyo:: mzee alikuwa akisema tu nisamehe baada ya vilio kutawala ndani humo baada ya mda kupita mama aliinuka na kwenda shamba la hapo nyumbani alilopanda mboga mboga na mihogo akafukua mihogo na mboga gani sijui na kumwambia binti aandae maana ndo chakula cha usiku......

_ ndani hakuna aliemsemesha mwenzake ukimya ulitawala sana;;; Wanda baada ya kuandaa akaanza kuntafta mama ili ajue wanapikaje hiyo mohogo na hiyo mboga mara mama akapotea akawa haonekani chumba chochote ndani humo baada ya kumtafta bila mafanikio ndipo wakamkuta nyuma ya nyumba kalala akiwa anatokwa na mapovu mdomoni....

Mama alijiua kwa kunywa sumu ya asili nahisi kutokana na mfadhaiko wa hilo tukio😭😭😭

Wanda aliacha kunihadithia na akaanza kutokwa na machozi namimi nilikaa kimya nikijua ni maumivu amabayo inabidi umuache mtu kidogo:: wakati nataka nianze kumbembeleza sijui alijua akaendelea kuhadithia

__ alivomuona mama pale alimuita baba yake huku akilia na akishikwa na hasira kubwa akijua kabisa sababu ya kifo cha mama yake ni lile tukio la mzee wake akajikuta anamchukia mzee wake palepale mzee alivofika baada ya kumuita sana na kumtikisa mke wake kuona haamki akatoka mbio kuelekea kijijini kuliko changamka:::

Baada ya mda kidogo mzee wake alifika akiwa na wazee kadhaa na wamam watatu akiwemo huyo mama yake mdogo wa sasa ( mjeshi alienipiga mikwara ):: ambapo hap0 ndo.ilikuwa mara ya kwanza kuonana yeye na Wanda...

Walivofika tu wanda akiwa out of control akaanza kushout uku akimwambia baba yake kuwa ""ntakuua umefanya mama amekufa lazima nikuue"" alisema hayo huku akimfata baba yake kwa hasira.. ikabidi wale wamam wamshike Wanda japo alikuwa na nguvu za ajabu huku akirusha mikono na miguu..... huku wakishangaa sababu ni nin mpaka atake kumuua baba yake kisa kifo cha mama yake

Baba yake alikuwa akisema tu nisamehe huku akilia na kujipiga kwa kusema nishaharibu;; walivofika wale wazee na huyo mama ake mdogo wa sas wakaanza kugusu mwili na wakajua ni kweli tayari alishafariki. Hivyo wakatoa kanga kumfunika.... zikapigwa simu kadhaa pale wakati huo....

KWA hali ya kushtukiza baba yake wanda aliingia ndani na akatoka spidi akitimua mbio akielekea porini. Walishangaa imekuaje ila kwakua ni msiba wakajua kafata mahitaji na isitoshe hawana ndugu pale...

Walikaa mpaka wakaja vijana kuuchukua mwili kuubeba kuusogeza eneo ambalo gari liliishia ili kuupakiza mwili wa mama.. ndipo wakakumbuka baba yake wanda hajarudi mpka wakati huo kiza kikianza kuingia... wakatuma vijana wawili ,;, walivyoenda mda mfupi kati ya wale vijan akarudi mmoja akikimbia kuita wazee waongozane nae kule na walipofika wakakuta msiba mwingine

_ baba yake Wanda nae kajitundikia kitanzi kajinyonga

Oyaaa wazeee ntaendelea ngoja kwanza nipate walau chai sikujua kuandika ni kazi hivi 😐😐😐


ITAENDELEA

MADRID KAFUNGWA ILA MBAPPE KAWAFUNGA BARCA

SIMBA KAFUZU ... YANGA KASHINDA 😀😀
subiri kwanza usiendeleze story nipo kwenye maombolezo ya msiba wa wazazi wa wanda.
 
MUENDELEZOo


KULA KIMASIHARA KULIVYOBADILI HADITHI NZIMA YA MAISHA YANGU....

Tuseme ni part 03........

_ Wakati wote hayo yanaendelea wanda alikuwa ndani akilia huku amezungukwa na wamama kadhaa lakini aliekuwa karibu yake akimtia moyo na kumbembeleza alikuwa ni huyo mama yake mdogo wa sasaivi lakini walikuwa hawajuani na ndio mara ya kwanza wao kukutana..

_ Wakati huo wote hawakujua kama nje kuna taarifa za msiba wa baba.. mda wanda analia wamam kadhaa walikuwa wakimuuliza ilikuaje mpaka yeye atake kumdhuru baba yake kwa kifo cha mama yake.. na wote walihisi labda mzee huyo alimpiga mke wake na kumsababishia kifo. Ila kila walipomuuliza wanda hakujibu alikuwa anaishia kulia kwa kwikwi...

_ wakati hayo yakiendelea ndipo ikasikia sauti ya watu nje ya nyumba wakizungumzia kuwa baba nae kajinyonga wamama wote mle ndani walishangaa kwa kutoa macho na kujiziba mdomo, wakiwa na maswali imekuaje kuaje tena na baadhi yao wakaanza kutoka nje ili kujua zaidi imekuaje, wanda aliposikia hiyo taarifa aliganda yaan kam mtu ambae amepigwa na mshtuko wa moyo hapohapo akakata moto ( Alizimia ).....

_ Wanda akasema alikuja kushtuka nje anapepewa, alizinduka akiwa anajiuliza vipi mbona kazungukwa na watu, kumbukumbu iliporudi tena na kukumbuka akaangua kilio na kuzimia tena.....
Wakati huu alishtuka akiwa zahanati ya kijiji iliyopo nyuma ya jengo la serikali ya kijiji,, alichokuwa anashangaa ni kwamba kila akizimia na kuzinduka wakwanza kumuona ni huyo mama ake mdogo wa sasa ambae alikuwa hamjui ila alikuwa tofauti na wamama wengine akionekana sio wa pale kijijini maan hata mavazi yake hayakuwa ya kijijini na alikuwa mda wote kavalia miwani yenye kioo cheupe ambacho kiliruhusu kuona macho yake.....

.......Kwakua ilikuwa usiku tayari na hakuna ndugu mwingine wakumsubiri miili ilibidi ipumzishwe kesho yake mchana ambapo ilipumzishwa nyuma ya nyumba waliyokuwa wakiishi karibu na sehem walipomkuta mama kafariki....

__Wanda akaniambia kilichomuuma zaid ni kwamba alikuwa hajui baada ya hapo ataishije . Hana ndugu , hajui ataanzia wapi mwaisha ya upweke na kijijini porini kam vile na zaidi ni kupoteza watu watatu ndani ya msiba ule...😬😬😬^^ namimi nilishangaa kama wewe ndugu msomaji watatu kivipi wakati ni wawili baba na mama^^... akaniambia kwamba
..
.... Kuna siku mama yake alimuita na kumuambia kuwa alikuwa na mimba ya mdogo wake ambayo ilikuwa changa Wanda alifurahi akitegemea kupata mdogo. Kwahyo baadhi ya kazi alizokuwa akifanya mama, Wanda ilibidi amsaidie mama maana mimba kadhaa zilishawah kuharibika kutokan na mama kufanya kazi nyingi ngumu so ili hii kuitetea ilibidi Wanda amasaidie mama yake. Ndoman mpka yeye anakua mkubwa hakukuwa na mdogo wake sababu mimba zilikuwa zinaharibika na walivoenda hospitali akashauriwa hivyo....

_Na siku ya tukio wenda Mama aliwah kurudi sababu alikuwa akijiskia vibaya na hofu ya wenda mume wake alipatwa na tatizo njiani akielekea shambani maana wakati wanaamka kwenda shambani mzee alimwambia mama Wanda atangulie yeye atafata baadae lakini haikuwa hivyo, wakati mama kabla hajafariki alikuwa akilalamika na kumlaumu mzee wake kuwa alipanga kufanya ubaya ndomana akamwambia yeye Atangulie.... ndo kurudi kakutana na tukio....

..... Baada ya mazishi mida ya jion kam saa 10 au 11 hivi watu wakiwa wamepukutika wakibakia wachache hasa viongozi wa serikali ya kijiji maana hakukuwa na ndugu,, wanda alifatwa na mwenyekiti wa serikali ya kijiji na kuambiwa kuwa aingie ndan achukue nguo zake kadhaa na aingie chumbani kwa wazazi wake akachukue vitu vya kumbukumbu na vya muhimu then waongozane ofisi ya serikali ya kijiji kuna kitu cha kuzungumza...

... Wanda aliingia akachukua nguo zake nzuri nzuri alizozipenda kuzivaa unaweza kusema nguo za sikukuu zilikuwa chache tu akaingia chumban kwa wazazi wake akachukua nguo kadhaa za mama yake,, alikuta fedha kiasi kadhaa ambazo anasema hakuziheasabu alibeba hivohivo. Kitu cha kumbukumbuk alichoweza kukibeba ni album ya picha (zile za karatasi za zamani sijui nimepatia) ambayo hapo kabla hakuwahi kuiona

.... kulikuwa kuna redio ndogo zile za zaman na baadh ya vtu ambavyo havikuwa na umuhimu sana akaviacha akijua atakaa siku za kuomboleza msiba kwa mwenyekiti ila atarudi tena nyumbani kukaa.... alivyotoka nje akaongozana na viongozi wa kijiji mpaka ofisi,, anakwambia njiani alikuwa akipewa pole na kila mtu aliekutana nae njiani mkasa wake ulimfanya kuwa maarufu pale kijijini..

....Walivyofika mazungumzo yalianza yakihusisha watu wanne wazee wakiume wawili, wanda pamoja na huyo mama yake mdogo wa sasa .....
Aliambiwa kwamba huyo mmama unaemuona pembeni yako alikuja hapa kijijini tangu wiki iliopita ni mtu wa jeshi kitengo maalumu cha madawa ya kulevya;;

Alikuja hapa kijijini kutoa elimu kwa vijana kuhusu madawa ya kulevya akiwa na wenzake ambao washatangulia kurudi Dar es salam. Na walianza elimu hii mda mrefu wakizunguka vijiji vyote katika wilaya yetu ....

na sababu iiyomfanya yeye abaki mpaka hapa leo baada ya wenzake kuondoka ni siku ambayo alikuwa anaagana na uongozi wa kijiji alifika baba yako na kutuomba twende huko kwake kuna tatizo mke wake anatoka mapovu mdomoni....

Alivosikia kauli ya mapovu mdomoni na Kwakua yeye ni mtaalamu wa madawa na ni dharura ikabidi aongozane nasi kuja kwenu ili kuona kama ataweza kutoa msaada... ila ikawa tumechelewa sana...

Kusema ukweli ameguswa na mkasa wako hasa hali ya maisha yako kuanzia sasa hauna ndugu na hauna mtu wa kukuangalia na familia nyingi za hapa kijijini ni za uwezo wa chini kumpata mtu wa kukulea ngumu;; hivyo ameomba akuchukue uende nae Dar es salaam ukaishi nae huko na atakusomesha.......

__Kimoyo moyo wanda alifurahi sana hadi kutoa tabasamu kuonesha kufurahishwa na jambo hilo licha y kuwa amepata mlezi bali anaenda kuishi Dar jiji ambalo amekuwa akisiki wenzake wakiadisia tu kuwa kuna maghorofa na mambo mengi .. ilihali yeye hata morogoro mjini hajawah kufik na hata gari alipanda mara kadhaa tu ....

__ Baada ya Wanda kuridhia.. mama mdogo akamwambia wanda kua asijali kuhusu malezi atamlea vyema na yeye anamtoto mmoj tu wakiume basi Wanda atageuka kuwa kama binti yake wakike.. pia kuhusu nyumbani akamwambia asijali maana ashaongea na mwenyekiti na ametaftwa kijana atalinda eneo hilo na atalala pale kwao ila ile ardhi itasajiliwa rasmi kwa Jina lake wanda na kumbukumbu ya wazazi wake isipotee...


^-- Safari ilianza jioni hyohyo na kuna sehemu walisimama kwa rafiki yake mamdogo wakalala kisha safari iliendelea kesho yake na kufika dar mchana ambapo walifikia katika ile nyumba ya mbagala ( ambapo tulikimbilia mim na wanda baada ya kutoka mpirani)..


___ kama unavyojua wakishua yaani ile wamezama ndan ya geti tu wakakutana na watu wengi ila sio sana ndani ya fence wamevaa vzur huku wengi wao suti na wameshika vnywaji wanaongea kwa makundi makundi. yaani kam party hivi.. mama mdogo alishangaa hakujua kinachoendelea nin ila alivyozama ndani akakutana na taarifa ya kuwa mumewe amechaguliwa ni moja kwati ya watu ambao wataenda kufanya kazi katika ubalozi wa Tanzania nchi flani......
Baada ya chakula na nin watu kuondoka na shereh kuisha ndipo mama akamtambulisha wanda kwa wanafamilia na hawakuonekan kumshangaa sababu walikuwa na taarifa na ujio wake....

...__ Maisha ya Dar yalianza vzuri huku wanda akiwa mgeni na anashangaa kila kitu yale mambo ya profesa jay viatu kwenye friji hayo mambo ndo alikuwa nayo 😂😂 huu mfano alinipa mwenyew naukumbuka hadi leo nlicheka sana😂😂...... Lakini baada ya mda baba mwenye nyumba aliondoka kwenda uko ughaibuni na aliondoka na mtoto wakiume wa huyo mama. Hivyo mama mdogo alibaki na Wanda pamoja na house girl pamoja na ndugu baadhi ya familia hyo waliokuwa wakiishi pale ambao sio muhimu kuwataja 😂😂 infact nmewasahau 🥴🥴......

^___ Maisha yalikuwa mazuri sana na nlipomuuliza kuhusu kunyanyaswa au kuteswa kuchukiwa na ndugu wa mamdogo.. alisema haikuwah kutokea.. ndo nikaamini. manyanyaso huwaga kwa familia za kimaskini, ambao hatuna uwakika wa kula ndipo chuki hukuwepo.....

^..... Mambo yote mam mkubwa aliyafanya kama alivyoahidi kasoro kitu kimoja tu .... nikamuuliza kipi akasema """ELIMU""" ,,, Tangu afike dar hakuwah sikia kuhusu shule wala chochote licha ya mama mdogo alikuwa nanuwezo wa kumsomesha na hcho kitu Wanda alaikuwa akimsumbua sana mama mdogo amabe alikuwa akimjibu tu kuwa nasubira nakutaftia kitu kizuri.....

""_ Tangu watoke morogoro alikaa dar kwa miaka mi3 huku mda mwingi akishinda nyumbani tu basi bila ya hata ya kufanya kitu wala kwenda shule na mama alikuwa sio mkaaji . Akikaa kidogo then anasafiri kwa mume wake.. akipata likizo hata iwe ya wiki mbili mama anakwea pipa.... 😂😂 mama alikuwa anautaka sana🙌🏽🙌🏽

..._ Baada ya miaka mitatu kupita mama kuna siku alimfata Wanda na kumwambia anataka ampeleke jeshi. Wanda alikubali bila kipingamizi kutokan na kuchoka kukaa nyumbani. Alihisi pia jesh itakuwa rahisi ukizingatia yeye ni mtoto wakike alafu alikuwa na hasira na wanaume wenye tabia kama za baba ake na aliapa akiwa polisi atakamata wabakaji wote na kuwafunga yeye mwenyew 😁😁 akili za kitoto bhna 😂

Alienda jeshini maisha aliyakuta ni magumu na ukakamavu sana hakutegemea na akasema huko ndo aliwachukia kabisa wanaume maan makamanda walikuwa wanapigisha mazoez na adhabu sio poa yaani ndo alizidi kutuchukia.... Akasema Jeshini ile ya kujitolea alikaa miaka yote miwili na mamdogo alitaka Wanda akomae kweli maana hata likizo wakati wa kujitolea wenzake walipopata yeye alinyimwa ...... so alishinda tena kambini kigoma huko porini kwa miaka miwili ya kujitolea ndipo akarudi tena Mjini akiwa kakomaa mpaka ugoko.....

^___ Aliporudi alishangaa safari ya kwenda nyumbani inakuwa fupi ghafla na kutahamaki sio mbagala tena bali mamdogo kajenga nyumba nyingine tena maeneo ya Mbezi. Nyumba ni kubwa na yakisas zaidi kuliko ile ya mbagala na alipouliza kule kabaki nani wakasema wanakaa wafanyakazi wakufanya usafi na mambo mengine mchana na ikifika usiku nyumba inafungwa...

Lakini alipofika nyumbani hakumaliza hata mwezi mama akampeleka tena kambi nyingine amabyo iko pwani maarufu sana huko pia akakaa kwa mwaka mmoja bila likizo ndipo aliorudi tena nyumbani sas rasmi tena akiwa na ajira kama ya kitengo cha mama....

Ila wakati yeye anatoka kambini alikuta mama nae ametoka kozi... kwa wasioelewa... kunabaadhi ya vitengo vya jeshi na baadhi ya idara ukitaka upande cheo lazima ukasomee kozi ili uendane na cheo katika hyo idara....sas hapo yeye anarudi anakutana na mama nae ametoka kozi sio mda mrefu yeye na wenzake kadhaa......

....Kwa alivyosema Wanda Sas ukimaliza kozi kutoka na hivyo vitengo na idara unakuwa tu hupandishwi cheo hivihivi inabidi uendlee kazini kupambania uapisho wako ukizembea kwenye utendaji wenzako wataapishwa wew jina lako halipo....

So kama njia ya kufanya kuaminika na wakuu wao ili wapandishwe vyeo mamdogo na wenzake amabo kapiga nao kozi. wakaja na idea ya kukamata wauzaji wa madawa wakubwa so ili kuwafaham ikabidi itengenezwe mission ya mtu ajifanye anatumia madawa aingie kitaani kupitia watumiaji wadogo wadogo na wauzaji wadog atapata info zote za wauzaji wakubwa... mwisho atoe taarifa idarani ili hao wauzaji wakamatwe.. hivyo baada ya mission kukamilika wangepewa mahongera kwa kazi nzuri na vyeo vyao juu na mishahara kupanda...

__ Mamdogo akaona hii mission aifanye wanda sababu hawezi akawauza pia katoka kambini bado wamoto alafu wanaume wengi wakiona mwanawake hawawatilii maanani kabisa (hawampi attention kama ni tatizo kwao)😂😂 hii kweli 👍🏼👍🏼 Mwisho mamdogo alijua Wanda ni mwanae so mission ikikamilika hata wanda atapanda kutoka chini mpka cheo flan hv japo ni kidg na heshima atapewa mamdogo sababu ni kumpika dog (wanda) vzur.....

__jeshin hain kukubali wal kukataa hasa wakuu zako wakishafanya maamuzi. So Wanda akageuka kuwa Tom boy akapewa na mavazi, wakatafta location nzuri ya mtaa. Wakapanga geto na kuweka kila kitu awe kama kitoto flani chakishua tom boy ambacho kimeshindikana kwao hvyo anakaa mtaani... alilipiwa hadi Gym kila sku alfajiri anaenda mazoezin ili kutopoteza fitness yake japo ilibidi iwe siri watu wasije mshtukia .....

^___ Na mpaka mim naenda pale alikuwa na miezi kama 8 kwenye mission na walifikia hatua nzuri maan wanda alishawajua baadhi ya wauzaji wakubwa ilibaki location na mitego tu hvyo walikuwa wanawasikilizia tu...


.................................................

_-' Wakuu nilishusha pumzi nzitoo hyo baada ya hyo story. Wanda akanambia wale wakuu wake hasa mamdogo itakuwa washanishtukia so ili nisitoe siri watajaribu kuja kunikamata wanaweza wakaniuliza maswali na kuhojiwa lakin alinambia nisikubali kitu niseme sijui na sjasikia kitu.. na wakinipa sharti lolote nikubali kufanya kwasababu nikienda kinyume na wakiona hatari ya kuharbika mission yao wanaweza wakanifanya kitu kibaya watu wanataka wapewe vyeo vyao kwahyo nisifanye masihara washatumia gharama kubwa kwahyo nifate masharti...

Akaniahidi kwamba atanisaidia kwa kila ntakapo pata tatzo na atawashawishi wasinifanye kitu kibaya.... Tulikaa kimya huku wanda akiwa kifuani kwangu kwa mda wa kama dakika 10 hivi kila mtu akitafakari cha kwake. Ndipo akanigeukia na kuniuliza vip kuhusu wew hadithi yako ??!!! ^^ nikamuomba niende kwanza nikajisaidie alafu nikirudi ntamuhadthia.....
Nikivyofika chooni wakuu kama mnavojua kurupushani ya siku nzima ikanibidi nichukue nafasi ile kukata gogo, nikaoga na nilikaa nje kama dakik nyingine amabzo sikuzihesabu kupata hewa safi kwenye kigiza watu wasinione na nivyorudi ndani nikamkuta wanda anasinzia.... nikajifunika nae huku nimemkumbatia nikalala....


--^ Nikiwa nimezama kwenye usingizi mzito naskia naamshwa na Wanda huku akinishika shika usoni. Nafumbua macho namuona kavaa nguo zake zakitom boy. Namuuliza anasema saa 11 kasoro anawahi Gym ambayo ipo mbali sana na pale mtaani ( nahisi ni ya Jeshi maana location aliyontajia).... na alibeba begi na humo aliweka nguo ambazo angezivaa akifika huko zakufanyia mazoezi.

nilimind kinoma yaan hata usingizi haujanikamata vzuri.. nikaamka nikataka niforce anipe morning glory lakin alikataa katakata akasema tutakutana usiku saiv niwe naenda kulala kwake🔥🔥🔥....

Basi nikajikokota mpka home 🏡. Bro huwa anaondokaga asubuh saa 11 hvy mpka mda huo alikuwa ashasepa si unajua wasaka tonge mishe mishe. Hata mlango ulikuwa haujafungwa kwa funguo sababu bro akiondoka ili asisumbue watu alikuwa haufungagi anaurudisha tu. Mim na shem tukiamka tunakuta uko wazi na saa 11 hakuna wezi .... niliingia ndani mpak chumbani nikajitupa mzima mzima kitandani nikiwaza asubuh nikiamka chakwanza nkatafte simu yangu then nikalala....

Nipo usingizin yaan sio mda mrefu toka nimeingia kulala naskia sauti ya shemeji ikiniita kutokea sebuleni " shemeji , shemeji " unajua hawez kuingia chumbani ananiitia kutoka sebuleni na saut za wanawake sauti kubwa kalii. Nilishikwa na hasira sababu yaani kila nkipata usingizi na siku yenyewe ndo kama hvyo nakuta naamshwa... nikajibu kwa hasirq "" nini tenaa""... nae akanijibu "" kuna wageni wako"". Nami nikajibu kwa hasira """Aaaah wageni gani tena saiv kwan wangekuja baadae shida ingekuwa wapi aaah"""......

Nikaamka kuchungulia dirishan bado hakujapapambazuka vzur yaani ni kama saa 12 hiv kasoro.. shemu alivoniita alirudi chumbani kwake nahisi nayeye aliamshwa na hodi za watu hao... kufungua mlango nilivyotak nje nakutana na zile njemba mbili za jana usiku walionikita likibao.....

Nilitamani kulia wanangu nikatoa macho nikajiuliza nimeharibu nin tena. Ndipo wakanambia vaa ndala hizo twende.. wakiashiria ndala flan ambazo walizikuta pale chini....
Walinibeba mkukumkuku wanangu mpka kwenye gari yao.........


INAENDELEA HIV PUNDE........

Wazee story ndo imefika pazuri ....... asubuhi imefika ngoja niwape huu muendelezo huku nikiendelea kutype......
Leo niko off nikuandika tu......
 
MUENDELEZOo


KULA KIMASIHARA KULIVYOBADILI HADITHI NZIMA YA MAISHA YANGU....

Tuseme ni part 03........

_ Wakati wote hayo yanaendelea wanda alikuwa ndani akilia huku amezungukwa na wamama kadhaa lakini aliekuwa karibu yake akimtia moyo na kumbembeleza alikuwa ni huyo mama yake mdogo wa sasaivi lakini walikuwa hawajuani na ndio mara ya kwanza wao kukutana..

_ Wakati huo wote hawakujua kama nje kuna taarifa za msiba wa baba.. mda wanda analia wamam kadhaa walikuwa wakimuuliza ilikuaje mpaka yeye atake kumdhuru baba yake kwa kifo cha mama yake.. na wote walihisi labda mzee huyo alimpiga mke wake na kumsababishia kifo. Ila kila walipomuuliza wanda hakujibu alikuwa anaishia kulia kwa kwikwi...

_ wakati hayo yakiendelea ndipo ikasikia sauti ya watu nje ya nyumba wakizungumzia kuwa baba nae kajinyonga wamama wote mle ndani walishangaa kwa kutoa macho na kujiziba mdomo, wakiwa na maswali imekuaje kuaje tena na baadhi yao wakaanza kutoka nje ili kujua zaidi imekuaje, wanda aliposikia hiyo taarifa aliganda yaan kam mtu ambae amepigwa na mshtuko wa moyo hapohapo akakata moto ( Alizimia ).....

_ Wanda akasema alikuja kushtuka nje anapepewa, alizinduka akiwa anajiuliza vipi mbona kazungukwa na watu, kumbukumbu iliporudi tena na kukumbuka akaangua kilio na kuzimia tena.....
Wakati huu alishtuka akiwa zahanati ya kijiji iliyopo nyuma ya jengo la serikali ya kijiji,, alichokuwa anashangaa ni kwamba kila akizimia na kuzinduka wakwanza kumuona ni huyo mama ake mdogo wa sasa ambae alikuwa hamjui ila alikuwa tofauti na wamama wengine akionekana sio wa pale kijijini maan hata mavazi yake hayakuwa ya kijijini na alikuwa mda wote kavalia miwani yenye kioo cheupe ambacho kiliruhusu kuona macho yake.....

.......Kwakua ilikuwa usiku tayari na hakuna ndugu mwingine wakumsubiri miili ilibidi ipumzishwe kesho yake mchana ambapo ilipumzishwa nyuma ya nyumba waliyokuwa wakiishi karibu na sehem walipomkuta mama kafariki....

__Wanda akaniambia kilichomuuma zaid ni kwamba alikuwa hajui baada ya hapo ataishije . Hana ndugu , hajui ataanzia wapi mwaisha ya upweke na kijijini porini kam vile na zaidi ni kupoteza watu watatu ndani ya msiba ule...😬😬😬^^ namimi nilishangaa kama wewe ndugu msomaji watatu kivipi wakati ni wawili baba na mama^^... akaniambia kwamba
..
.... Kuna siku mama yake alimuita na kumuambia kuwa alikuwa na mimba ya mdogo wake ambayo ilikuwa changa Wanda alifurahi akitegemea kupata mdogo. Kwahyo baadhi ya kazi alizokuwa akifanya mama, Wanda ilibidi amsaidie mama maana mimba kadhaa zilishawah kuharibika kutokan na mama kufanya kazi nyingi ngumu so ili hii kuitetea ilibidi Wanda amasaidie mama yake. Ndoman mpka yeye anakua mkubwa hakukuwa na mdogo wake sababu mimba zilikuwa zinaharibika na walivoenda hospitali akashauriwa hivyo....

_Na siku ya tukio wenda Mama aliwah kurudi sababu alikuwa akijiskia vibaya na hofu ya wenda mume wake alipatwa na tatizo njiani akielekea shambani maana wakati wanaamka kwenda shambani mzee alimwambia mama Wanda atangulie yeye atafata baadae lakini haikuwa hivyo, wakati mama kabla hajafariki alikuwa akilalamika na kumlaumu mzee wake kuwa alipanga kufanya ubaya ndomana akamwambia yeye Atangulie.... ndo kurudi kakutana na tukio....

..... Baada ya mazishi mida ya jion kam saa 10 au 11 hivi watu wakiwa wamepukutika wakibakia wachache hasa viongozi wa serikali ya kijiji maana hakukuwa na ndugu,, wanda alifatwa na mwenyekiti wa serikali ya kijiji na kuambiwa kuwa aingie ndan achukue nguo zake kadhaa na aingie chumbani kwa wazazi wake akachukue vitu vya kumbukumbu na vya muhimu then waongozane ofisi ya serikali ya kijiji kuna kitu cha kuzungumza...

... Wanda aliingia akachukua nguo zake nzuri nzuri alizozipenda kuzivaa unaweza kusema nguo za sikukuu zilikuwa chache tu akaingia chumban kwa wazazi wake akachukua nguo kadhaa za mama yake,, alikuta fedha kiasi kadhaa ambazo anasema hakuziheasabu alibeba hivohivo. Kitu cha kumbukumbuk alichoweza kukibeba ni album ya picha (zile za karatasi za zamani sijui nimepatia) ambayo hapo kabla hakuwahi kuiona

.... kulikuwa kuna redio ndogo zile za zaman na baadh ya vtu ambavyo havikuwa na umuhimu sana akaviacha akijua atakaa siku za kuomboleza msiba kwa mwenyekiti ila atarudi tena nyumbani kukaa.... alivyotoka nje akaongozana na viongozi wa kijiji mpaka ofisi,, anakwambia njiani alikuwa akipewa pole na kila mtu aliekutana nae njiani mkasa wake ulimfanya kuwa maarufu pale kijijini..

....Walivyofika mazungumzo yalianza yakihusisha watu wanne wazee wakiume wawili, wanda pamoja na huyo mama yake mdogo wa sasa .....
Aliambiwa kwamba huyo mmama unaemuona pembeni yako alikuja hapa kijijini tangu wiki iliopita ni mtu wa jeshi kitengo maalumu cha madawa ya kulevya;;

Alikuja hapa kijijini kutoa elimu kwa vijana kuhusu madawa ya kulevya akiwa na wenzake ambao washatangulia kurudi Dar es salam. Na walianza elimu hii mda mrefu wakizunguka vijiji vyote katika wilaya yetu ....

na sababu iiyomfanya yeye abaki mpaka hapa leo baada ya wenzake kuondoka ni siku ambayo alikuwa anaagana na uongozi wa kijiji alifika baba yako na kutuomba twende huko kwake kuna tatizo mke wake anatoka mapovu mdomoni....

Alivosikia kauli ya mapovu mdomoni na Kwakua yeye ni mtaalamu wa madawa na ni dharura ikabidi aongozane nasi kuja kwenu ili kuona kama ataweza kutoa msaada... ila ikawa tumechelewa sana...

Kusema ukweli ameguswa na mkasa wako hasa hali ya maisha yako kuanzia sasa hauna ndugu na hauna mtu wa kukuangalia na familia nyingi za hapa kijijini ni za uwezo wa chini kumpata mtu wa kukulea ngumu;; hivyo ameomba akuchukue uende nae Dar es salaam ukaishi nae huko na atakusomesha.......

__Kimoyo moyo wanda alifurahi sana hadi kutoa tabasamu kuonesha kufurahishwa na jambo hilo licha y kuwa amepata mlezi bali anaenda kuishi Dar jiji ambalo amekuwa akisiki wenzake wakiadisia tu kuwa kuna maghorofa na mambo mengi .. ilihali yeye hata morogoro mjini hajawah kufik na hata gari alipanda mara kadhaa tu ....

__ Baada ya Wanda kuridhia.. mama mdogo akamwambia wanda kua asijali kuhusu malezi atamlea vyema na yeye anamtoto mmoj tu wakiume basi Wanda atageuka kuwa kama binti yake wakike.. pia kuhusu nyumbani akamwambia asijali maana ashaongea na mwenyekiti na ametaftwa kijana atalinda eneo hilo na atalala pale kwao ila ile ardhi itasajiliwa rasmi kwa Jina lake wanda na kumbukumbu ya wazazi wake isipotee...


^-- Safari ilianza jioni hyohyo na kuna sehemu walisimama kwa rafiki yake mamdogo wakalala kisha safari iliendelea kesho yake na kufika dar mchana ambapo walifikia katika ile nyumba ya mbagala ( ambapo tulikimbilia mim na wanda baada ya kutoka mpirani)..


___ kama unavyojua wakishua yaani ile wamezama ndan ya geti tu wakakutana na watu wengi ila sio sana ndani ya fence wamevaa vzur huku wengi wao suti na wameshika vnywaji wanaongea kwa makundi makundi. yaani kam party hivi.. mama mdogo alishangaa hakujua kinachoendelea nin ila alivyozama ndani akakutana na taarifa ya kuwa mumewe amechaguliwa ni moja kwati ya watu ambao wataenda kufanya kazi katika ubalozi wa Tanzania nchi flani......
Baada ya chakula na nin watu kuondoka na shereh kuisha ndipo mama akamtambulisha wanda kwa wanafamilia na hawakuonekan kumshangaa sababu walikuwa na taarifa na ujio wake....

...__ Maisha ya Dar yalianza vzuri huku wanda akiwa mgeni na anashangaa kila kitu yale mambo ya profesa jay viatu kwenye friji hayo mambo ndo alikuwa nayo 😂😂 huu mfano alinipa mwenyew naukumbuka hadi leo nlicheka sana😂😂...... Lakini baada ya mda baba mwenye nyumba aliondoka kwenda uko ughaibuni na aliondoka na mtoto wakiume wa huyo mama. Hivyo mama mdogo alibaki na Wanda pamoja na house girl pamoja na ndugu baadhi ya familia hyo waliokuwa wakiishi pale ambao sio muhimu kuwataja 😂😂 infact nmewasahau 🥴🥴......

^___ Maisha yalikuwa mazuri sana na nlipomuuliza kuhusu kunyanyaswa au kuteswa kuchukiwa na ndugu wa mamdogo.. alisema haikuwah kutokea.. ndo nikaamini. manyanyaso huwaga kwa familia za kimaskini, ambao hatuna uwakika wa kula ndipo chuki hukuwepo.....

^..... Mambo yote mam mkubwa aliyafanya kama alivyoahidi kasoro kitu kimoja tu .... nikamuuliza kipi akasema """ELIMU""" ,,, Tangu afike dar hakuwah sikia kuhusu shule wala chochote licha ya mama mdogo alikuwa nanuwezo wa kumsomesha na hcho kitu Wanda alaikuwa akimsumbua sana mama mdogo amabe alikuwa akimjibu tu kuwa nasubira nakutaftia kitu kizuri.....

""_ Tangu watoke morogoro alikaa dar kwa miaka mi3 huku mda mwingi akishinda nyumbani tu basi bila ya hata ya kufanya kitu wala kwenda shule na mama alikuwa sio mkaaji . Akikaa kidogo then anasafiri kwa mume wake.. akipata likizo hata iwe ya wiki mbili mama anakwea pipa.... 😂😂 mama alikuwa anautaka sana🙌🏽🙌🏽

..._ Baada ya miaka mitatu kupita mama kuna siku alimfata Wanda na kumwambia anataka ampeleke jeshi. Wanda alikubali bila kipingamizi kutokan na kuchoka kukaa nyumbani. Alihisi pia jesh itakuwa rahisi ukizingatia yeye ni mtoto wakike alafu alikuwa na hasira na wanaume wenye tabia kama za baba ake na aliapa akiwa polisi atakamata wabakaji wote na kuwafunga yeye mwenyew 😁😁 akili za kitoto bhna 😂

Alienda jeshini maisha aliyakuta ni magumu na ukakamavu sana hakutegemea na akasema huko ndo aliwachukia kabisa wanaume maan makamanda walikuwa wanapigisha mazoez na adhabu sio poa yaani ndo alizidi kutuchukia.... Akasema Jeshini ile ya kujitolea alikaa miaka yote miwili na mamdogo alitaka Wanda akomae kweli maana hata likizo wakati wa kujitolea wenzake walipopata yeye alinyimwa ...... so alishinda tena kambini kigoma huko porini kwa miaka miwili ya kujitolea ndipo akarudi tena Mjini akiwa kakomaa mpaka ugoko.....

^___ Aliporudi alishangaa safari ya kwenda nyumbani inakuwa fupi ghafla na kutahamaki sio mbagala tena bali mamdogo kajenga nyumba nyingine tena maeneo ya Mbezi. Nyumba ni kubwa na yakisas zaidi kuliko ile ya mbagala na alipouliza kule kabaki nani wakasema wanakaa wafanyakazi wakufanya usafi na mambo mengine mchana na ikifika usiku nyumba inafungwa...

Lakini alipofika nyumbani hakumaliza hata mwezi mama akampeleka tena kambi nyingine amabyo iko pwani maarufu sana huko pia akakaa kwa mwaka mmoja bila likizo ndipo aliorudi tena nyumbani sas rasmi tena akiwa na ajira kama ya kitengo cha mama....

Ila wakati yeye anatoka kambini alikuta mama nae ametoka kozi... kwa wasioelewa... kunabaadhi ya vitengo vya jeshi na baadhi ya idara ukitaka upande cheo lazima ukasomee kozi ili uendane na cheo katika hyo idara....sas hapo yeye anarudi anakutana na mama nae ametoka kozi sio mda mrefu yeye na wenzake kadhaa......

....Kwa alivyosema Wanda Sas ukimaliza kozi kutoka na hivyo vitengo na idara unakuwa tu hupandishwi cheo hivihivi inabidi uendlee kazini kupambania uapisho wako ukizembea kwenye utendaji wenzako wataapishwa wew jina lako halipo....

So kama njia ya kufanya kuaminika na wakuu wao ili wapandishwe vyeo mamdogo na wenzake amabo kapiga nao kozi. wakaja na idea ya kukamata wauzaji wa madawa wakubwa so ili kuwafaham ikabidi itengenezwe mission ya mtu ajifanye anatumia madawa aingie kitaani kupitia watumiaji wadogo wadogo na wauzaji wadog atapata info zote za wauzaji wakubwa... mwisho atoe taarifa idarani ili hao wauzaji wakamatwe.. hivyo baada ya mission kukamilika wangepewa mahongera kwa kazi nzuri na vyeo vyao juu na mishahara kupanda...

__ Mamdogo akaona hii mission aifanye wanda sababu hawezi akawauza pia katoka kambini bado wamoto alafu wanaume wengi wakiona mwanawake hawawatilii maanani kabisa (hawampi attention kama ni tatizo kwao)😂😂 hii kweli 👍🏼👍🏼 Mwisho mamdogo alijua Wanda ni mwanae so mission ikikamilika hata wanda atapanda kutoka chini mpka cheo flan hv japo ni kidg na heshima atapewa mamdogo sababu ni kumpika dog (wanda) vzur.....

__jeshin hain kukubali wal kukataa hasa wakuu zako wakishafanya maamuzi. So Wanda akageuka kuwa Tom boy akapewa na mavazi, wakatafta location nzuri ya mtaa. Wakapanga geto na kuweka kila kitu awe kama kitoto flani chakishua tom boy ambacho kimeshindikana kwao hvyo anakaa mtaani... alilipiwa hadi Gym kila sku alfajiri anaenda mazoezin ili kutopoteza fitness yake japo ilibidi iwe siri watu wasije mshtukia .....

^___ Na mpaka mim naenda pale alikuwa na miezi kama 8 kwenye mission na walifikia hatua nzuri maan wanda alishawajua baadhi ya wauzaji wakubwa ilibaki location na mitego tu hvyo walikuwa wanawasikilizia tu...


.................................................

_-' Wakuu nilishusha pumzi nzitoo hyo baada ya hyo story. Wanda akanambia wale wakuu wake hasa mamdogo itakuwa washanishtukia so ili nisitoe siri watajaribu kuja kunikamata wanaweza wakaniuliza maswali na kuhojiwa lakin alinambia nisikubali kitu niseme sijui na sjasikia kitu.. na wakinipa sharti lolote nikubali kufanya kwasababu nikienda kinyume na wakiona hatari ya kuharbika mission yao wanaweza wakanifanya kitu kibaya watu wanataka wapewe vyeo vyao kwahyo nisifanye masihara washatumia gharama kubwa kwahyo nifate masharti...

Akaniahidi kwamba atanisaidia kwa kila ntakapo pata tatzo na atawashawishi wasinifanye kitu kibaya.... Tulikaa kimya huku wanda akiwa kifuani kwangu kwa mda wa kama dakika 10 hivi kila mtu akitafakari cha kwake. Ndipo akanigeukia na kuniuliza vip kuhusu wew hadithi yako ??!!! ^^ nikamuomba niende kwanza nikajisaidie alafu nikirudi ntamuhadthia.....
Nikivyofika chooni wakuu kama mnavojua kurupushani ya siku nzima ikanibidi nichukue nafasi ile kukata gogo, nikaoga na nilikaa nje kama dakik nyingine amabzo sikuzihesabu kupata hewa safi kwenye kigiza watu wasinione na nivyorudi ndani nikamkuta wanda anasinzia.... nikajifunika nae huku nimemkumbatia nikalala....


--^ Nikiwa nimezama kwenye usingizi mzito naskia naamshwa na Wanda huku akinishika shika usoni. Nafumbua macho namuona kavaa nguo zake zakitom boy. Namuuliza anasema saa 11 kasoro anawahi Gym ambayo ipo mbali sana na pale mtaani ( nahisi ni ya Jeshi maana location aliyontajia).... na alibeba begi na humo aliweka nguo ambazo angezivaa akifika huko zakufanyia mazoezi.

nilimind kinoma yaan hata usingizi haujanikamata vzuri.. nikaamka nikataka niforce anipe morning glory lakin alikataa katakata akasema tutakutana usiku saiv niwe naenda kulala kwake🔥🔥🔥....

Basi nikajikokota mpka home 🏡. Bro huwa anaondokaga asubuh saa 11 hvy mpka mda huo alikuwa ashasepa si unajua wasaka tonge mishe mishe. Hata mlango ulikuwa haujafungwa kwa funguo sababu bro akiondoka ili asisumbue watu alikuwa haufungagi anaurudisha tu. Mim na shem tukiamka tunakuta uko wazi na saa 11 hakuna wezi .... niliingia ndani mpak chumbani nikajitupa mzima mzima kitandani nikiwaza asubuh nikiamka chakwanza nkatafte simu yangu then nikalala....

Nipo usingizin yaan sio mda mrefu toka nimeingia kulala naskia sauti ya shemeji ikiniita kutokea sebuleni " shemeji , shemeji " unajua hawez kuingia chumbani ananiitia kutoka sebuleni na saut za wanawake sauti kubwa kalii. Nilishikwa na hasira sababu yaani kila nkipata usingizi na siku yenyewe ndo kama hvyo nakuta naamshwa... nikajibu kwa hasirq "" nini tenaa""... nae akanijibu "" kuna wageni wako"". Nami nikajibu kwa hasira """Aaaah wageni gani tena saiv kwan wangekuja baadae shida ingekuwa wapi aaah"""......

Nikaamka kuchungulia dirishan bado hakujapapambazuka vzur yaani ni kama saa 12 hiv kasoro.. shemu alivoniita alirudi chumbani kwake nahisi nayeye aliamshwa na hodi za watu hao... kufungua mlango nilivyotak nje nakutana na zile njemba mbili za jana usiku walionikita likibao.....

Nilitamani kulia wanangu nikatoa macho nikajiuliza nimeharibu nin tena. Ndipo wakanambia vaa ndala hizo twende.. wakiashiria ndala flan ambazo walizikuta pale chini....
Walinibeba mkukumkuku wanangu mpka kwenye gari yao.........


INAENDELEA HIV PUNDE........

Wazee story ndo imefika pazuri ....... asubuhi imefika ngoja niwape huu muendelezo huku nikiendelea kutype......
Leo niko off nikuandika tu......
🪑
 
Back
Top Bottom