Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Usiogope niambie tu mimi dada yako😃😃
🤣🤣Apana siwezi fanya hvo yaan mtu awe na changamoto kama hyo afu mi nitumie hyo fursa kumtafuna apana aisee, nakuaga na huruma na hawa mabinti wanapopitia changamoto flan flan mi nadeal na hawa hawa born town tuonajuana na kukutana kila siku
 
🤣🤣Apana siwezi fanya hvo yaan mtu awe na changamoto kama hyo afu mi nitumie hyo fursa kumtafuna apana aisee, nakuaga na huruma na hawa mabinti wanapopitia changamoto flan flan mi nadeal na hawa hawa born town tuonajuana na kukutana kila siku
Kama hivyo sawa
 
Shida mimi sio mzurulaji, sidhani kama naweza kukutana na shida kama hizo
Ngoja uanze harakati za utafutaji Kwa wiki unashangaaa umepita mikoa mitatu šŸ¤”sema Sasa Kwa saiv kua na mwenyeji sio Jambo baya lkn sioni haja ya mwenyeji kama ukiandaa bajeti vzr mambo yako yataenda vzr tušŸ¤” 15k-30k unapata guest nzuri ya kulala, 4k-10k unakula chakula muzuri kbs

Kama hupajui sehemu unarequest Uber, bolt & farasi etc
 
Ngoja uanze harakati za utafutaji Kwa wiki unashangaaa umepita mikoa mitatu šŸ¤”sema Sasa Kwa saiv kua na mwenyeji sio Jambo baya lkn sioni haja ya mwenyeji kama ukiandaa bajeti vzr mambo yako yataenda vzr tušŸ¤” 15k-30k unapata guest nzuri ya kulala, 4k-10k unakula chakula muzuri kbs

Kama hupajui sehemu unarequest Uber, bolt & farasi etc
Hayo maisha mimi siyawezi
 
Mwenzio aliokota hivohivo, Akapeleka Geto.

Week ya kwanza, ya pili, ya tatu mara mwezi

Mwezi wa kwanza, wa pili, wa tatu akamuamini yule mlupo akawa anamwacha geto anakuta demu kapika,kafua, kadeki.

Mwezi wa nne jamaa yuko zake mishe demu akakodi kirikuu akasomba mazaga yote geto akatokomea kusiko julikana.

Jamaa kufika geto alikutana na mwangwi.
[emoji3][emoji3][emoji3]yan mwangwi maana akiongea anajiskia mwenyewe daah[emoji1]
 
Mwenzio aliokota hivohivo, Akapeleka Geto.

Week ya kwanza, ya pili, ya tatu mara mwezi

Mwezi wa kwanza, wa pili, wa tatu akamuamini yule mlupo akawa anamwacha geto anakuta demu kapika,kafua, kadeki.

Mwezi wa nne jamaa yuko zake mishe demu akakodi kirikuu akasomba mazaga yote geto akatokomea kusiko julikana.

Jamaa kufika geto alikutana na mwangwi.
Ndio zao hapo inatokea hiyo hana ata pa kuanzia anabaki anaumia[emoji1787]
 
Mwenzio aliokota hivohivo, Akapeleka Geto.

Week ya kwanza, ya pili, ya tatu mara mwezi

Mwezi wa kwanza, wa pili, wa tatu akamuamini yule mlupo akawa anamwacha geto anakuta demu kapika,kafua, kadeki.

Mwezi wa nne jamaa yuko zake mishe demu akakodi kirikuu akasomba mazaga yote geto akatokomea kusiko julikana.

Jamaa kufika geto alikutana na mwangwi.
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Oyaa broo mkuu,, mi watu wa songea wote nawajua muulize jina lake na kijijichake isije kuwa binamu yangu mana sisi wote huku ndugu, ili nianze kukudai posa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom