Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,861
- 51,613
Umeupiga mwingi ni lazima tushinde vishawishiNimekoswa koswa kuliwa kimasihara na jirani yangu….Mimi ni me, shemeji yenu amesafiri sasa hizi apartment zetu za kupanga kuna kabint jirani ambako mara kwa mara kanakujaga shemeji yake akiwepo(shemeji yenu ana urafiki na dadaake) ……naona baada ya kufahamu shemeji yake amesafiri kakaanza kunitembelea mara hoo Concoo umesahau kufunga mlango…..nkakazuga nkakapotezea …mara ya pili kamenikuta nachek movie seblen kakanishika mabega na kuniangalia kwa macho kamelegeza…….nkazuga nmemaliza kuchek movie nasepa……mara ya tatu kamekuja ndan tuu nkatoka nje nkaanua nguo na kukaambia kuwa me nasepa kakimaliza kalichofuata kafunge mlango nkatoka nje kuwasha gari na kutokomea……nahitaji kujipongeza kwa hili maana kameshika adabu saiz hakana shobo tena …..wana masihara nakaribisha matusi yenu!!!
