Hujui maisha ya uswazi wewe. au nikupe namba uendechai
KivipiWaliopo kwenye huu uzi ni vijidogo[emoji23],
Miguu yooote ni PM namba zakeMtoto mali safi, ananyea mbali, anapiga na miguu yote anataka now, ahaha alafu nigame mjin kweli ? Vijana mkikamata malizen yoote
Uwanja wa mpira 😂Mwenzio aliokota hivohivo, Akapeleka Geto.
Week ya kwanza, ya pili, ya tatu mara mwezi..
Kuna jirani yetu Tabata alishafanyiwa hivyo mwaka 2004.....hakuna jipya.Mwenzio aliokota hivohivo, Akapeleka Geto.
Week ya kwanza, ya pili, ya tatu mara mwezi..
Basi huruma iliniingia nikaenda kumlipia
Baba huruma endelea tuHuruma iliniingia nikamtumia Hela ya kulipia na ya chakula
Kwamba mwangwi...akasema hiiiii mwangwi ukajibu tena hiiiMwenzio aliokota hivohivo, Akapeleka Geto.
Week ya kwanza, ya pili, ya tatu mara mwezi
Mwezi wa kwanza, wa pili, wa tatu akamuamini yule mlupo akawa anamwacha geto anakuta demu kapika,kafua, kadeki.
Mwezi wa nne jamaa yuko zake mishe demu akakodi kirikuu akasomba mazaga yote geto akatokomea kusiko julikana.
Jamaa kufika geto alikutana na mwangwi.
Wana shida gani kwan?Nimeishia "Watu wa songea ni mafundi"
Huku mvua inanyesha!Wana shida gani kwan?
Aa asee mwangwi maana yake hakuna hata kijikoMwenzio aliokota hivohivo, Akapeleka Geto.
Week ya kwanza, ya pili, ya tatu mara mwezi
Mwezi wa kwanza, wa pili, wa tatu akamuamini yule mlupo akawa anamwacha geto anakuta demu kapika,kafua, kadeki.
Mwezi wa nne jamaa yuko zake mishe demu akakodi kirikuu akasomba mazaga yote geto akatokomea kusiko julikana.
Jamaa kufika geto alikutana na mwangwi.
Wapi hukoHuku mvua inanyesha!
mngoni kichwa kimevimbaNimeishia "Watu wa songea ni mafundi"