Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Sasa wengnne usipowashobokea mpm ukiremba utajikuta ushachelewa

"Ukisubir embe liive, wenzio twala na chumvi"
Uko sahihi kaka lakini ujue ni approach ipi inawork best.

Ukianza vishobo shobo ndio anaanza na mizinga hapohapo sianajua unachotaka.
Ni sawa na machinga akikufata mwenyewe bei asilimia kubwa unaweza mshusha, ila ukimfata hata akikupiga ni sawa sababu umeonesha shida
 
Uko sahihi kaka lakini ujue ni approach ipi inawork best.

Ukianza vishobo shobo ndio anaanza na mizinga hapohapo sianajua unachotaka.
Ni sawa na machinga akikufata mwenyewe bei asilimia kubwa unaweza mshusha, ila ukimfata hata akikupiga ni sawa sababu umeonesha shida
Nakubali mkuu
 
[emoji3] mbususu kwa mfululizo mkuu, ungekata moto
Isingekuwa rahisi mkuu. Kumbuka yule wa kwanza nilipiga kamoja japo ka muda mrefu maana yeye alipiga viwili. Huyu wa pili nilipiga viwili, mida ya saa 10 nilipiga show ndefu. Tukapiga breki saa 11, tukarudia saa 12 na nusu kuelekea saa moja tukaja kumaliza saa 1 usiku. nikaagana naye kwa siku ile. Baada ya hapo meza ikapinduliwa rasmi
 
Back
Top Bottom