Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

tangawiz tena kwanza mi wewe unanijua? Au umeona tangawiz baada ya kutaja wahusika hapo juu!! Hahaha aisee wabongo salute,, oya bro tukiacha yote mi ni artst so isikuumize kichwa kunijua
Acha ujinga nani anataka kukujua wewe
 
Sasa wengnne usipowashobokea mpm ukiremba utajikuta ushachelewa

"Ukisubir embe liive, wenzio twala na chumvi"
Uko sahihi kaka lakini ujue ni approach ipi inawork best.

Ukianza vishobo shobo ndio anaanza na mizinga hapohapo sianajua unachotaka.
Ni sawa na machinga akikufata mwenyewe bei asilimia kubwa unaweza mshusha, ila ukimfata hata akikupiga ni sawa sababu umeonesha shida
 
Uko sahihi kaka lakini ujue ni approach ipi inawork best.

Ukianza vishobo shobo ndio anaanza na mizinga hapohapo sianajua unachotaka.
Ni sawa na machinga akikufata mwenyewe bei asilimia kubwa unaweza mshusha, ila ukimfata hata akikupiga ni sawa sababu umeonesha shida
Nakubali mkuu
 
Back
Top Bottom