Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Last week nme uza match kima sihara kwa kitoto cha a level ..juzi naona mashine ina anza kutoa vi maji vya rangi ya maziwa havina harufu ,nka jua hapa tayari sha pigwa nka ibukia hospitali nka kutwa na infections hadi saiv naendelea na dose

tusi uze match amna kumuamini yeyote
Umekula mwanafunzi ? Tena mwenye gono wewe miaka 35 inakuhusu
 
Last week nme uza match kima sihara kwa kitoto cha a level ..juzi naona mashine ina anza kutoa vi maji vya rangi ya maziwa havina harufu ,nka jua hapa tayari sha pigwa nka ibukia hospitali nka kutwa na infections hadi saiv naendelea na dose

tusi uze match amna kumuamini yeyote
Mfanyie mpango na huyo demu apate dozi
 
Kuna workshop moja nlihudhuria jijini apa apa ambapo nimekuja kikazi kwa mda mm naishi mkoani. Sasa ile workshop facilitator walikua wawili Mwanaume 1 mwanamke 1 tumwite Q. Uyu dada alikua n mzuri jamani, sura, tako mwili, rangi, mguu kujua kuvaa na ana mwili mkubwa kiasi dizain mm napenda. Sasa ile workshop ilikua na phase 3 kila phase wiki 1 mm nimeingia phase ya 2 so ya kwanza sikuwepo. Hii ilifanya niwe na maswali mengi ana na sababu nipo kwenye industry nili attract attention ya watu wengi sana siku ile sababu ya maswali ambayo nlikua nauliza na majibu nliyokua natoa so watu wengi walitaka kujua nafanya nini, nmesoma wapi nk hivyo vyote kwangua haikua shida.

Siku moja Q akaniambia nitoe uzeofu wangu kwenye issue moja ambayo ilikua n ajenda ya worskshop kwa siku hiyo na hakika nlitendea vema na kila mtu alifurahi saaana maana niltoa mifano lukuki pia mm sababu nipo kwenye sekta tofauti na theme ya ile workshop ila contentwise ilikua similar sana na moja ya watu wali appreciate alikua huyu Q. Baada ya pale mm nikawa kama facilitator najibu maswali napiga nao story wote wawili kama mm n staff pale lakin mm ni mgeni tu napita. Tukawa tumezoeana nao wote na sababu ya experience yangu ya shule na pia kazi wote tulihisi kama tuko level moja kwamba vijana, wasomi na wanafanya vitu vya kueleweka kwenye jamii so ma story yakawa mengi pale. Mda wote uu nawaza nikimtongoza Q ntaharibu Cv wacha nimsome kwanza ila akili ishaclick uyu lazma nimalize. Workshop ikaisha mm nikarudi zangu mkoani, baada ya 2 weeks Q akanipigia simu kuwa nije workshop ya 3 na hiyo ndo itajustfy kupata certificate of attendance, nikaongea na bosi akaelewea mm nikaja town kushiriki. This time ndo tukawa tumezeoana akawa ananipa assignment zake binafsi nimsaidie, mara atake kunirudisha hoteli na ndiga yake mm nachek tu alivojaa ghafla. Ila kiukweli mm mwemyewe nlikua na enjoy mtoto mkali kunishobokea vile in a friendly way ila kumpa tamko moyo unasita maana ashanisimuliaga wanaume wanavokutana nae at first either kwa ajili ya kazi na issue zingine za kijamii na wakimtongoza wanavomkataga stimu. Sasa kiukweli nlikua naogopa ku fell into the same trap, nikasema nakausha tu wacha tuone itakuaje. Workshop ikaisha mm nikarudi zangu mkoa tukawa tunachat.

Kama after 2 weeks tena kulikua na Annual conference Arusha AICC pale (code kapuni) ambapo mm n mwanachama wa theme ya io conference so nlienda kwa budget yangu (ofisini walinipa ruhusa tu ila gharama wakagoma kulipa). Cenference iliku ana attendance ya watu kama 500 ivi kumbe na wao walienda maana taasisi yao ilikua ni moja ya Ma sponsors so walikuaja watatu, yy Q, Bosi wake ( alitugawia vyeti last time kwenye workshop) na yule facilitator mwenzake. Basi tukafurahi sana na mm ndo nikawa mpiga picha wao sasa na go to person in case wakitaka chochote maana mm Arusha nishakaa sana kipind nafanya kazi last year so mitaa na code zote najua so io ikafanya yy awe na ukaribu na mm zaid kipind hiko. Siku zote za conference mjuba navaa suti tu akawa anashangaa sana hahah eti dahhh kumbe ww n VIP ivo, kuna jina la utani akaanza kuniiita had leo (jina kapuni).Basi tukawa close tunakaa wote, ndo akanijua kwa ukaribu Zaidi na nikamsimulia sasa vitu vyangu personal ambavo kipind cha mwanzo sikua nmemwambia Q akawa anafurahi sana. Ilifika point akaniambia niwajoin pale kwenye taasis yao ( hi debate ilikua ndefu sana) mm nakataa namwambia mm uchum wapi na wapi wakati mm nipo kwenye mambo ya afya badae akanielewa. Basi ile siku ya mwisho waka propose tutoke out for a fawerell nikasema poa apo sina wazo lolote Zaidi ya kujenga urafiki tu.

Tumeenda place moja kama unaenda Njiro kule pale cozy sana af hakuna watu wengi n 1 au 2 tu ila pakali sana tulikua watu 5, mm, Q, yule mwenzake wa ofisini na Rafiki zao 2 walisoma wote zaman ila walikutana nao pia kwenye conference (moja dem moja mwanaume). Story story pale za mambo ya nchi kwa ujumla na namna sahihi ya kuongoza watu kikawa kimewaka. Fresh mm napiga Lite tu bia ya taifa Q anacheza na shots za JD kimoyomoyo nasema leo unyama sana yule jamaa mwingine swala tano mwamba anakunywa chai, hao wengine Savanna na mwingine castle lite. Tume chill chill pale yule dem Rafiki yao akapigiwa simu akasepa, yule jamaa swala 5 nae imefika saa 4 kasepa kasema amechoka akasepa na Rafiki yale msela. Wakasema nyie malizieni hata hivyi mna mengi ya kuongea hii kauli Q alicheka sana, mm sikujali sana nikasema poa. Tumebaki wawili pale story stoy had saa 6. Akanisimulia wanaume walimvotenda na ambavo siku izi hawamiiniki, Maisha yake binafsi niseme tu n wale wadada walikuzwa vizuri, familia bora na wanajielewa sana hata shots apo akawa ameacha kunywa anakunywa maji tu. Imefika kama saa 7 kasoro ivi akasema nimsindikize akalale. Tukare quest in Indrive haoo had hoteli kwake.

Nmefika akasema twende ukapone sasa apa ndo kimoyomyoo nikasema mhh Leo ndo leo Q mboka majaribu, apo tayari kichwa cha chin kipo juu. Tumeingia chumba kinanukia manukato sio poa nkaenda washroom kujieka sawa narudi nakuta kaswitch kavaa leggings ( ugonjwa wangu uu) na Jezi ya Yanga juu. Q kanipa maji nimekaa kwenye kochi yy kitandani story zinaendelea aftr a while nikamwambia Q nataka kuondoka, Can I hug you goodbye ? Akastuka kwa kufurahi mm nikanyanyuka na yey akasimama nikamhug kama 2 minutes sisem I kitu ivi namcheck iv jicho nyaya nikasogeza mdomo nikala mate. Zikaanza purukushani pale toa nguo dem kanpa BJ ya maana. Jaman hawa wadada Corporate wazuri af wanavojua kuoga na awe stimulated enough show zao sio mchezo. Dem n mzuri mno apo najikaza nisikojoe kabla ya tendo. Imefika nataka kuingiza dem akanistopisha, akaanza ohh wanaume nyinyi hamridhiki najua una dem ( nlimwambia nna mtu) ndo akaanza ohh mm nmetokea kukupenda sijawai feel ivi kwa mwanaume for so long. Alikua na bf wake wakaachana jamaa akaenda kuoa ila ndoa yake haikua nzuri so anamtongoza tena ila dem hataki. Mm apo kimya tu akasema I am really feel you (Jina langu) na sijamake love since February this year please go slowly. Akatoa ndom kwenye droo (zile za lodge) akazirusha kitandani. Asee nlisikia kama nmeshnda biko pale pale nyonya sana mwili mzima esp zile chuchu mviringo na alkua kavaa zile chup zenye zinapita katikat ya matako asee nlipagawa yaaan dahhhhh kama siamini ivi. Nikapiga cha kwanza tukapiga story, cha 2 then cha tatu, K ipo tight mileage ndogo sana yaani nlijihis mwenye bahati. kuchek time apo saa 11 alfajiri akasema nilale tu mjubaa nikagoma, nikamwambia yule work mate wako akiniona itakua noma ndo nikasepa kurudi kwangu kesho yake nikarudi zangu mkoa naofanya kazi

From that day tunawasiliana kama wapenz na tuna promsie ya kufanya dili nyingi in future na hanipi pressure ya kumuacha mpenz wangu ila anafukuza mwiz kimya kimya. So na mim nimemweka kwenye rotation nikija tena jijin naomba tena. Over

nlichogundua dem usimshobokee mapema kingono ghafla ghafla, af pia just be charming unachukua sana points
Wanawake wakianza kuhadithia matatizo wanayopitia na mpenzi/mume wake ujue upo kwenye hatua ya kushinda na huwa ni rahisi sana maana anakua kwenye hsli ya huruma
 
Last week nme uza match kima sihara kwa kitoto cha a level ..juzi naona mashine ina anza kutoa vi maji vya rangi ya maziwa havina harufu ,nka jua hapa tayari sha pigwa nka ibukia hospitali nka kutwa na infections hadi saiv naendelea na dose

tusi uze match amna kumuamini yeyote
Njia bora zaidi nikukaa njia kuu mle kimasihara hata mkeo
 
nipeni mbinu za kusimulia kama hivi, maana nina za kimasihara kama 3 hivi alafu zipo Hot balaa ila kusimulia siwezi, yaani neno la nyuma naliweka mbele na la mbele naliweka nyuma yaani tafurani kabisa, nikiona mwenzangu amesimulia vizuri kama hivi namuonea mwivu kinyama.
Daah
 
Katika harakati za ujana unaweza jikuta unatunukiwa tunda na binti kama utani vilee. Hii hutokea pale binti anapokuwa na hasira, jamaa yake amecheat so anataka kulipiza kisasi na kipindi manzi ana maumivu ya kuachwa! Hizi ndo moment kubwa ambazo gilrs wengi wanaliwa bila kutarajia wala kupanga.

Mimi niliona status demu flani ninaemkubali kaandika Ineed somebody to talk to aisee nikampigia video call kumbe alikuwa analiaa nkamwambia upo wapi? Akasema yupo hostel anaugulia maumivu bwana ake kamla rafika yake na ana ushahidi aisee nkamwambia pole sana.

Vipi tutoke bhasi ukapoteze mawazo kidogo? Akasema twende tu me nshachoka kuumizwa. Aisee ile siku sikuamini nilihisi ni ndoto japo baada ya tukio akaniblock kisa nilimpost demu wangu. Na yeye akampost jamaa eti ili anikomoe nkasema wanawake bhana.

Je, vipi ushawahi kula tamu kiutani utani tu? Mlidumu kama wapenzi baada ya kumla?

===========

TAKE NOTE:

===========

Moderator: Hii thread imerejeshwa na owner wa mjadala amekuwa rikiboy kama ilivyoombwa na wadau. Mnaombwa kuzingatia lugha katika uwasilishaji wa maoni
Hii page imeenda sana
 
Hiyo ya kufuta namba imenikumbusha mbali sana. Wakati niko chuo kuna pisi moja ya kishua nilikuwa jirani nayo sana. Tulikuwa kundi la group assignment. Alikuwa na anajiheshimu sana pia mimi alikuwa ananiheshimu na kuchukulia kuwa na kaka yako. Baba yake alikuwa ni mtumishi mkubwa kabisa katika awamu ya mzee wa Lupaso. Pisi hiyo ilikuwa ina kaa nyumbani inaletwa Chuo kwa gari mimi nilikuwa nimepanga na jamaa jirani na chuo. Alikuwa na mazoea ya kuja mara kwa mara geto kwetu na hii ilitulazimu kudumisha usafi wa hali ya juu sana. Maana mnaweza kuwa darasani akaomba ufunguo akasema anaenda kupumzika geto...
Kuna kipindi mzee wake alisafiri kwenda nje akamletea simu kali kwa kipindi kile, nokia double screen kipindi hicho hakuna smart phone, ile pisi ikanipa simu aliyokuwa anatumia awali noki 3210 aka jeneza. Hii ndiyo ilikuwa simu yangu ya kwanza kumiliki. Kwangu mimi ilikuwa ni kwa ajili kupokea tu maana sikuwa na uwezo wa kuweka airtime. Airtime yenyewe ilikuwa ghali sana 1000 unatumia dk mbili tu.
Tuliendelea kuwa karibu na ile pisi kiasi cha jamaa yangu kuanza kuhoji nini mustakabali wetu. Kuna siku nikatupia maneno ya kutongoza pisi ikaniambia Lube please you should behave... Sikukata tamaa mana watu karibia kozi nzima wanajua mimi nakula mzigo. Kuna siku nikamuibukia waziwazi akaniambia if you insist I will stay away from you.... Hapa ikibidi nirushe majeshi nyuma nikaanza kumkwepa kiaina.
Siku moja akanipigia simu nikapokea na kujifanya siitambui namba... Akaniuliza umefuta namba yangu... Nikamwambia wewe nani kwanza? Akasema ni mimi S.... Nikamwambia ok karibu... Akaniuliza kwa nini umefuta namba yangu.... Nikamjibu I decided to stay away from before you stay away frome as I cant avoid missing... Akaniuliza kwa hiyo ukifanya hivyo ndiyo unakuwa sawa? Nikamwambia niko sawa au siko sawa it is none of your business.
Akasema Lube what has come between us? Nikamwambia nothing wrong.
Akasema, No please I dont like the way you behave, please be fair.... I want to meet you this evening... Nikamuuliza, je hicho ndicho ulichonipigia kuniambia? Akaniambia no please we need to sort out this please then nitakuambia nilichokusudia kukuambia. Nikamwambia nitakuwepo geto. Akaniuliza Mark (yule jamaa yangu si jina halisi) yupo hapo? Akili ikajichaji fasta nikamwambia Mark hayupo kaenda kwa sista wake atarudi Mtaa X atarudi kesho jioni... Akanambia Ok Im coming soon...
Baada ya hapo ikabidi nimpange Mark kuwa S anakuja soon na mimi nataka nimalize mchezo leo leo. So please give me a space. Nikampiga exile ya kwenda kwa jamaa wengine.
Saa moja baadaye S alitinga getoni kawaka ile mbaya... Alipoingia tu room chumba kizima kilinukia. Alienda moja kwa moja kukaa kitandani maana humo ndani kulikuwa na meza na viti viwili.
Baada ya kukaa akaniuliza mbona umefuta namba yangu? Nikamjibu nilishakueleza mbona, kwa hiyo hicho ndicho kimekuleta hapa? Akasema of course ni hicho wewe unadhani ni jambo dogo?
Nikamwambia una si jambo dogo. Ila dogo kuliko uliloniambia ni behave or you will stay away from me. Muda wote tunaongea mimi nilikuwa nimekaa kwenye kiti nimetazama ulekeo mwingine. Akaja nyuma yangu na kuinama kisha akainua uso wake kwa mikono. Nilipata msisimko wa ajabu sana.
Nikamwambia S tafadhali unanipeleka mbali sana na hutoweza kunisaidia. Akauliza nini siwezi kukusaidia? Nikamwambia unajua kabisa the way I feel for you and you are aggrevating my passion.
Alichojibu Im here for you... do what can make you happy.
Nilimwambia S I really love you, but .... I can not do anything against your will. I know you are forced to do to please me. Nikainuka nikawa naelekea mlangoni ile nashika mlango nifungue akanishika mkono na kunigeuza, tukawa tumekaribia...tunatazama....
Itaendelee saa moja jioni....
Hii Mambo gani Sasa, maliza story bana
Unatubania sisi CHAPUTA

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Wakuu...ma broo na ma sista...Kwanza poleni na majukumu ya Kila siku...

Kwa kuzingatia michango ya Wana jf member hapa...Kuna namna imenisaidia na kuweza kumla huyu demu siku ya Jana jumapili kwa maana ni siku pekee ya huyu mdada kuwa off kazini... Wazo kubwa nililolipata hapa jukwaani ni lile la kutenga bajeti ya kiasi Cha pesa ambacho Mimi nilitenga laki moja ...hii niliifanya ya kumhudumia shida zake ndogondogo kwa sababu nature yake ni kuomba vocha Sana na hela ya kula..bhasi kufika Jana huyu dada akajaa kwenye kumi na nane ...mwamba nikamaliza.

Sasa wakuu baada ya kumla niliaona si vibaya nikampa 50k Kama zawadi na kumjengea imani ili wakati mwingine arudi tena,Sasa wakuu hapo kumpa hio 50k nimekosea?swali hili naliuliza kwa maana sijajujua ninajenga au ninabomoa katika kumrekebisha tabia yake ya kuomba omba hela...

Lakini baada ya mizengwe ya wiki ya Kwanza kabisa Ile mpka nikalipia outing ya 74k,nilijifunza kutokana na michango ya Wana member humu Kuna vitabia nilimkemea na binti kweli aliviacha..vijitabia vyenyewe ni vilikuwa nipale anakuomba hela labda ten...halafu baada ya kutuma asemi asante au siku nzima anaponitafuta ni pale anapokuwa anauhitaji wa kula hayo machipsi yake na mavocha ...bhasi Mimi sikusita kumpigia na kumchana na kumuelimisha kuwa Mimi Kama mwanaume wako na kiongozi wako nataka aache hio tabia Mara moja na sipendezwi kabisa na tabia chafu hapo ikumbukwe ni bado hajaja ghetoni lakini aliweza kuobey hio Sheria na akawa ananipigia hata Kama Hana uhitaji...

Sasa wachangiaji nisiwachoshe Sana siku ya Jana nilivomalizana nae nikaona isiwe tatizo nikampeleka mpka mbezi...kufika mbezi ambako shoga yake yule wa mara ya Kwanza siku Ile alikuwa amekuja nae outing waliaahidiana nae wakutane hapo ili warudi kwa pamoja sababu wanakaa mtaa mmoja akawa amewahishwa na haraka zake...nikaona isiwe tatizo nikamwambia bhasi ntakupeleka mpka goba mpakani ili achukue bajaji aende kwao ..akasema sawa nikamrusha chap Ile tumefika tu ananiambia tena Sina hela ya kula,nikamuangalia nikasema kimoyomoyo huyu anamashetani Nini elfu hamsini nimempa na naul nilimpa 15k goba mpka kibamba ya kuja ameungaunga usafiri akabaki na chenchi ya kutosha tu kwa maana nililijua hilo alivokuwa anaenda kuoga baada ya show nilichukua simu yake nyuma ya kava ana elfu Saba. imebakia....nikajikausha sababu mi kiukweli nampenda nikatoa ten nikamwambia boda anirudishiie buku tano na kumpa 2k nyingine ya boda ili amfikishe kwao kwa maana mda huo alikuwa ameshanikwaza nikasepa nikapitia ngao pub nikapiga mboliko nikirudi home mda huo nahasira tu.

Kinachonichanganya nikiweka amri nzugu naona nidemu ambaye anazi tii kwa kiasi Sasa sielewi nimfanyaje Kuna muda Kama ana Mambo mengi unaweza kumtafuta asipokee simu lakini haachi kunitafuta hata Mara moja tangu nilivomchana.

Saivi naangalia game ya Totten na full ham nimemcheki na kumuelekeza nataka nimuweke ndani nimuowe kwa maana sote sisi ni waislamu na ni dhambi kuzini naona ananiambia mpka mwakani ni mpaka amalizie koz ya kompyuta ambayo aliiachaaga njiani, nimemwambia sawa ..tutaongea zaidi Ila nimtu ambae naona kapokea kwa wema na amenisihi nimjulishe nitakaporudi nyumbani kwa kuwa mi nipo baa na sijajua lengo ni Nini labda ajue Kama niko salama ...Yani Kuna mda anajali hadi nafurahi ila Kuna vijitabia vya kingese hadi simuelew..

Ila nampenda Sana na Jana kanilazimisha nitumie ndomu maana yuko danger mi nikamkazia kinomanoma pale ilikuwa vita akakubali nikamwambia atatumia p2 Kama anawasiwasi na mimba Ila mi hata asipotumia akipata mimba ndio vizuri tu kwa kuwa namuhitaji...

Sasa kaka na dada zangu embu nisaidieni wakuu...hapa kipi kifuatie hadi awe anaelewa kabisa na mwishowe awe ni mwanamke wa ndoto zangu?ni kwa namna gani atajinyenyekeza kwangu nakutambua Mimi ni mme wake?nitumie njia zipi? Ili atulie ma broo ...msaada unahitajika Ila hajaacha kuvaa yebo za kutuna na yebo za vitobovitobo hata alivokuja alivaa...

Yebo za vitobo
 
KIMASIHALA NA BINTI ALIE NISUMBUA MUDA MREFU.

habar wakuu, mwishon mwa wiki ilopita nilikula utamu wa binti mmoja alie nisumbua kwa takriban miaka 4 , huyu binti ni wale wa 2000 , ni jiran yangu so kipind anakua na muona na kufahamiana , sasa mara ghafla binti akaja kua pisi Kali sio poa wahuni wakaanza kumiminika kwa Kasi ya 4g

Wakupata wanapata wakukosa wanakosa , na Mimi nikaona sio mbaya wacha nionje hii kitu changamoto kila nikiomba naambiwa siwez wewe ni kicheche ushatafuna ndugu na marafiki zangu , siwez kabisa kukupa utamu wangu labda nife nikasema poa.

Basi nikawa nikimuona na kumbushia hitaji langu lakin wapi kwa miaka yote hio kwakua binti hakua mtu wa kunichunia wala kukasirika hivyo haikua rahis kukata tamaa

Wiki ilopita nikawa naelekea kwenye bar moja hiv yenye hadhi flan nzur tu, kwaajili ya kuonana na kidemu changu kilikua kimerudi toka mkoa fulan ,

Sasa wakati naingia pale kulikua na vibe sana na watu japo sio wengi sana, nika nyoka had kaunta nika agiza kinywaji huku nikianza harakat za kumjuza ule demu kua nime wasiri

Mara ghafla nahis kushikwa mbavuni na mkono laini ukifuatiwa na sauti tamu ikisema afadhar nilikua nime boeka sana , kugeuka namuona binti nlokua na mfukuzia miaka yote hio kawaka sio mchezo , nika mwita kwajina lake na kumuuliza kalewa akajibu hapana

Nikataka kujua sababu ya yeye kua pale akasema Kaka na rafiki zake so wana piga tungi tu, so yeye akawa bored kwasababu hatumii tungi , nikasema poa wacha nikuagizie msosi akakubali na story zikaanza
Rasmi

Nikaomba tutafutiwe sehem poa isiyo na mwanga mkali na haina purukushani za watu ili niweze kaa na mrembo wangu basi tuka tafutiwa na tukaenda kutulia pale huku tukisubiri chakula

Nika mtaka demu apate kinywaj akasema maji Nika mwambia kula savana utajisikia poa na haina kirevi cha kumbabaisha mtu mzima kama yeye akasema poa , kinywaj ikaja na akawa ana ilamba kama mbwa akinywa maji

Msosi ukaja akapiga na tungi lika mkolea nika anza vunja boundaries za hapa na pale namshika huku na huku afu demu anaona fresh Tu , mara ule demu mlengwa akawasili nikamjuza nilipo akaja na akaketi upande wa kushoto so Mimi nikawa kati

Mademu wana fahamiana na wana kaumdugu kwa mbali so story zikawa zao Mimi kazi yangu ku chagiza Tu , na kupapasa kile kitoto cha 2000 kiakaanza kurembua na vicheko vingi mwenzake akauliza vipi leo unarudi home saa ngap maana usiku umekua mkubwa mara kakajibu Mimi nipo nipo sana

Nikasema yes leo kana kwisha haka nikaendelea kuwaagizia mvinyo na story mingi mara ule demu wangu akaenda chooni so huyu nika mwambia nipe namba nika buki chumba then ntakujuza uweze kuja nduguyo asije ona miyeyusho

Kakasema poa mwenzie kaja nika waambia endeleeni nakuja Nika buki chumba na kua toa oda ya mvinyo ntaukuta mle , so nika Rudi nika mpanga na demu aende chuma Fulani ntamkuta mle , demu akatangulia nikabaki na huyu mwingine so Uhuru ukawa wa kutosha full kula Lita miksa na mipapaso ya kutosha dhen kama busu saa nika mwambia tuondoke Kwan usiku umekua mkubwa

Akasema poa nika mchukua had home kwako na busu mengi then nikarudi bar na kuingia room moja kwa moja , nikamkuta mtoto yupo vibe ndani ya taulo mixer kucheza na kamziki nikasema poa , nika ingia bafuni nikaya mwaga dhen Nika mrudia mtoto nika ichakaza bao 3 za kibabe na alfajir nika ichakaza mbili nika mwekea na 20 ya supu

Ikawa nikamchezo sikuizi naipiga bure Tu ni Mimi Tu na hamu zangu ,ila mtoto NI mkali na mtamu kinyama, NAWASIRISHA WAKUU.
dah Mungu atusamehe wanaume

"Nikaomba tutafutiwe sehem poa isiyo na mwanga mkali na haina purukushani za watu ili niweze kaa na mrembo wangu basi tuka tafutiwa na tukaenda kutulia pale huku tukisubiri chakula"

Yani ghafla tu ukamsahau manzi yAko aliyekua anakuja kutoka mkoani baada tu ya kuonana na crush wako wa kitaa bro??
 
KIKAO CHA WANAUME.

Kikao cha wanaume kimeisha salama jana.

Kwa wale ambao hamkuweza kuhudhuria, kamati ya pesa na mahitaji tulitoa mapendekezo mapya.

Marejeo ya sheria ya kutohonga, kifungu cha 12, kilichokuwa kikisema hairuhusiwi kumpa hela mwanamke ambaye hujamuoa wala hujazaa nae.

Labda kwa shida maalum kama vocha ambayo anakupigia nayo mwenyewe..

Tumependekeza maboresho kadhaa..

Suala la kukutana ni la wote sio upande mmoja, hivyo kama mwanamke atataka kuonana na wewe, hana budi kutumia nauli yake kukufata..

Wakati wa kuondoka unaweza kumpa hela, lakini SIO LAZIMA.

Kikaoni pia tulizungumza kuhusu hela ya kutolea, na muafaka ukawa..

Kama wanataka hela ya kutolea basi waje nyumbani kuifata hela kamili, Tusiwanufaishe maboss wa Tigopesa na M-pesa tusiowajua.

Wale mabingwa wa jibu la "Kuna hela naisikilizia" wameongezwa katika kamati ya wajumbe waweka adhina..

Kila pesa ya chama chetu, itatunzwa na ubahiri wao,.

Adhabu kali itatolewa kwa wanaume wote ambao, walipotongoza na kukataliwa, wakaendelea kuwa na urafiki na mademu hao..

Kama amekukataa, futa namba na aache mazoea..

Sheria ya makosa yasiyosameheka, uhaini na jinai, yametanabaisha yafuatayo.

Kujibu kistaarabu text ya mwanamke anayekutafuta akiwa na shida pekee..

Kutomuazima mwenzio chumba, pale anapotaka kuleta manzi yake..

Kumkandia/ kumuaibisha mwanaume mwenzio, hili upendwe wewe..

Kulalamika, kulialia na kutia huruma inbox pale unapotumiwa text ya kuachwa.

Kumpokea kwa bashasha demu asiyefanana na snapchat yake,

Mwanamke ambaye kwenye edit za picha ni Rihanna, alafu live ni Josh Onyango, inasharutishwa aachwe stand ya daladala..

Upande wa pili..

Wale wadada ambao huwa wanatuambia wapo njiani wanakuja, hivyo kusabababisha sisi tufanye usafi wa kiwango kikubwa..

Na mwisho wa siku hawatokei, imependekezwa tuwaache mara moja bila kujali urembo wao..

Mjumbe aliyekumbwa na hali hii zaidi ya mara 1 aliuliza kwa jazba, "Kama hawawezi kuja gheto, kwenye harusi atakuja kweli?"

Mengineyo, tumefikia muafaka kuwa kama uwanja ni mkubwa basi Sharti ni kuzunguka round moja tu..

Yaliyoorodheshwa yafanyiwe kazi, Majukumu mema wanaume wenzangu.
Mwanamke ambaye kwenye edit za picha ni Rihanna, alafu live ni Josh Onyango, inasharutishwa aachwe stand ya daladala..

 
Back
Top Bottom