Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Kuna workshop moja nlihudhuria jijini apa apa ambapo nimekuja kikazi kwa mda mm naishi mkoani. Sasa ile workshop facilitator walikua wawili Mwanaume 1 mwanamke 1 tumwite Q. Uyu dada alikua n mzuri jamani, sura, tako mwili, rangi, mguu kujua kuvaa na ana mwili mkubwa kiasi dizain mm napenda. Sasa ile workshop ilikua na phase 3 kila phase wiki 1 mm nimeingia phase ya 2 so ya kwanza sikuwepo. Hii ilifanya niwe na maswali mengi ana na sababu nipo kwenye industry nili attract attention ya watu wengi sana siku ile sababu ya maswali ambayo nlikua nauliza na majibu nliyokua natoa so watu wengi walitaka kujua nafanya nini, nmesoma wapi nk hivyo vyote kwangua haikua shida.

Siku moja Q akaniambia nitoe uzeofu wangu kwenye issue moja ambayo ilikua n ajenda ya worskshop kwa siku hiyo na hakika nlitendea vema na kila mtu alifurahi saaana maana niltoa mifano lukuki pia mm sababu nipo kwenye sekta tofauti na theme ya ile workshop ila contentwise ilikua similar sana na moja ya watu wali appreciate alikua huyu Q. Baada ya pale mm nikawa kama facilitator najibu maswali napiga nao story wote wawili kama mm n staff pale lakin mm ni mgeni tu napita. Tukawa tumezoeana nao wote na sababu ya experience yangu ya shule na pia kazi wote tulihisi kama tuko level moja kwamba vijana, wasomi na wanafanya vitu vya kueleweka kwenye jamii so ma story yakawa mengi pale. Mda wote uu nawaza nikimtongoza Q ntaharibu Cv wacha nimsome kwanza ila akili ishaclick uyu lazma nimalize. Workshop ikaisha mm nikarudi zangu mkoani, baada ya 2 weeks Q akanipigia simu kuwa nije workshop ya 3 na hiyo ndo itajustfy kupata certificate of attendance, nikaongea na bosi akaelewea mm nikaja town kushiriki. This time ndo tukawa tumezeoana akawa ananipa assignment zake binafsi nimsaidie, mara atake kunirudisha hoteli na ndiga yake mm nachek tu alivojaa ghafla. Ila kiukweli mm mwemyewe nlikua na enjoy mtoto mkali kunishobokea vile in a friendly way ila kumpa tamko moyo unasita maana ashanisimuliaga wanaume wanavokutana nae at first either kwa ajili ya kazi na issue zingine za kijamii na wakimtongoza wanavomkataga stimu. Sasa kiukweli nlikua naogopa ku fell into the same trap, nikasema nakausha tu wacha tuone itakuaje. Workshop ikaisha mm nikarudi zangu mkoa tukawa tunachat.

Kama after 2 weeks tena kulikua na Annual conference Arusha AICC pale (code kapuni) ambapo mm n mwanachama wa theme ya io conference so nlienda kwa budget yangu (ofisini walinipa ruhusa tu ila gharama wakagoma kulipa). Cenference iliku ana attendance ya watu kama 500 ivi kumbe na wao walienda maana taasisi yao ilikua ni moja ya Ma sponsors so walikuaja watatu, yy Q, Bosi wake ( alitugawia vyeti last time kwenye workshop) na yule facilitator mwenzake. Basi tukafurahi sana na mm ndo nikawa mpiga picha wao sasa na go to person in case wakitaka chochote maana mm Arusha nishakaa sana kipind nafanya kazi last year so mitaa na code zote najua so io ikafanya yy awe na ukaribu na mm zaid kipind hiko. Siku zote za conference mjuba navaa suti tu akawa anashangaa sana hahah eti dahhh kumbe ww n VIP ivo, kuna jina la utani akaanza kuniiita had leo (jina kapuni).Basi tukawa close tunakaa wote, ndo akanijua kwa ukaribu Zaidi na nikamsimulia sasa vitu vyangu personal ambavo kipind cha mwanzo sikua nmemwambia Q akawa anafurahi sana. Ilifika point akaniambia niwajoin pale kwenye taasis yao ( hi debate ilikua ndefu sana) mm nakataa namwambia mm uchum wapi na wapi wakati mm nipo kwenye mambo ya afya badae akanielewa. Basi ile siku ya mwisho waka propose tutoke out for a fawerell nikasema poa apo sina wazo lolote Zaidi ya kujenga urafiki tu.

Tumeenda place moja kama unaenda Njiro kule pale cozy sana af hakuna watu wengi n 1 au 2 tu ila pakali sana tulikua watu 5, mm, Q, yule mwenzake wa ofisini na Rafiki zao 2 walisoma wote zaman ila walikutana nao pia kwenye conference (moja dem moja mwanaume). Story story pale za mambo ya nchi kwa ujumla na namna sahihi ya kuongoza watu kikawa kimewaka. Fresh mm napiga Lite tu bia ya taifa Q anacheza na shots za JD kimoyomoyo nasema leo unyama sana yule jamaa mwingine swala tano mwamba anakunywa chai, hao wengine Savanna na mwingine castle lite. Tume chill chill pale yule dem Rafiki yao akapigiwa simu akasepa, yule jamaa swala 5 nae imefika saa 4 kasepa kasema amechoka akasepa na Rafiki yale msela. Wakasema nyie malizieni hata hivyi mna mengi ya kuongea hii kauli Q alicheka sana, mm sikujali sana nikasema poa. Tumebaki wawili pale story stoy had saa 6. Akanisimulia wanaume walimvotenda na ambavo siku izi hawamiiniki, Maisha yake binafsi niseme tu n wale wadada walikuzwa vizuri, familia bora na wanajielewa sana hata shots apo akawa ameacha kunywa anakunywa maji tu. Imefika kama saa 7 kasoro ivi akasema nimsindikize akalale. Tukare quest in Indrive haoo had hoteli kwake.

Nmefika akasema twende ukapone sasa apa ndo kimoyomyoo nikasema mhh Leo ndo leo Q mboka majaribu, apo tayari kichwa cha chin kipo juu. Tumeingia chumba kinanukia manukato sio poa nkaenda washroom kujieka sawa narudi nakuta kaswitch kavaa leggings ( ugonjwa wangu uu) na Jezi ya Yanga juu. Q kanipa maji nimekaa kwenye kochi yy kitandani story zinaendelea aftr a while nikamwambia Q nataka kuondoka, Can I hug you goodbye ? Akastuka kwa kufurahi mm nikanyanyuka na yey akasimama nikamhug kama 2 minutes sisem I kitu ivi namcheck iv jicho nyaya nikasogeza mdomo nikala mate. Zikaanza purukushani pale toa nguo dem kanpa BJ ya maana. Jaman hawa wadada Corporate wazuri af wanavojua kuoga na awe stimulated enough show zao sio mchezo. Dem n mzuri mno apo najikaza nisikojoe kabla ya tendo. Imefika nataka kuingiza dem akanistopisha, akaanza ohh wanaume nyinyi hamridhiki najua una dem ( nlimwambia nna mtu) ndo akaanza ohh mm nmetokea kukupenda sijawai feel ivi kwa mwanaume for so long. Alikua na bf wake wakaachana jamaa akaenda kuoa ila ndoa yake haikua nzuri so anamtongoza tena ila dem hataki. Mm apo kimya tu akasema I am really feel you (Jina langu) na sijamake love since February this year please go slowly. Akatoa ndom kwenye droo (zile za lodge) akazirusha kitandani. Asee nlisikia kama nmeshnda biko pale pale nyonya sana mwili mzima esp zile chuchu mviringo na alkua kavaa zile chup zenye zinapita katikat ya matako asee nlipagawa yaaan dahhhhh kama siamini ivi. Nikapiga cha kwanza tukapiga story, cha 2 then cha tatu, K ipo tight mileage ndogo sana yaani nlijihis mwenye bahati. kuchek time apo saa 11 alfajiri akasema nilale tu mjubaa nikagoma, nikamwambia yule work mate wako akiniona itakua noma ndo nikasepa kurudi kwangu kesho yake nikarudi zangu mkoa naofanya kazi

From that day tunawasiliana kama wapenz na tuna promsie ya kufanya dili nyingi in future na hanipi pressure ya kumuacha mpenz wangu ila anafukuza mwiz kimya kimya. So na mim nimemweka kwenye rotation nikija tena jijin naomba tena. Over

nlichogundua dem usimshobokee mapema kingono ghafla ghafla, af pia just be charming unachukua sana points
"nlichogundua dem usimshobokee mapema kingono ghafla ghafla, af pia just be charming unachukua sana points"

Hio paragraph hapo juu ni nzuri sana
 
Kuna ukweli wowote kuhusu madokta kupenda kut*??

Halafu hawaoagi kwasababu wanakinai k kwakuwa wanazichezea sana za wagonjwa wao???
Me hii kwangu imenitokea hakuna K nsiyoijua nimezalisha nimetoa mimba nimeweka vitanzi yan K zote nazijua kuna K zina sura mbaya nyie mungu anajua kuna mwingne alikua ana STDs yan ipo stage ya mwisho K yake kama imekatika hiv yan shavu la kushoto halipo limelika na bacteria
 
Me hii kwangu imenitokea hakuna K nsiyoijua nimezalisha nimetoa mimba nimeweka vitanzi yan K zote nazijua kuna K zina sura mbaya nyie mungu anajua kuna mwingne alikua ana STDs yan ipo stage ya mwisho K yake kama imekatika hiv yan shavu la kushoto halipo limelika na bacteria
nyie,

Mungu anawaona
 
Me hii kwangu imenitokea hakuna K nsiyoijua nimezalisha nimetoa mimba nimeweka vitanzi yan K zote nazijua kuna K zina sura mbaya nyie mungu anajua kuna mwingne alikua ana STDs yan ipo stage ya mwisho K yake kama imekatika hiv yan shavu la kushoto halipo limelika na bacteria
Khaaa K znatsha nyie hahaha
 
Daah!! Ouyaaa Wee. Pombe sio Poa.

Nina VISA vingi sana yaani sanaa maana sijui hata nielezee kipi niache kipi lakini kuna kimoja hicho sitakisahau Maisha.

Kipindi flani miaka ya nyuma sana nlikua Vijijini, Mkoani huko Kikazi. Sasa mimi ni yule mtu wa kujichanganya sana alafu siwezagi kunywa mwenyewe hata nikienda sehemu naweza kuanza mwenyewe lakini baada ya muda tu nakuwa nimeshazoeana na nliowakuta kisha tunaendelea kuenjoy mdogomdogo.

One day wikiendi hivi Saturday flani hivi imetulia. Nikatoka Ofisini mapema maana ni nusu siku nikaeda home nikaoga fresh nikachange Mkanda nje nikatupia T-Shirt na Jeans nikaenda Road.

Nikaenda kutulia Bar moja kubwa hivi ina Counter 1 barabarani huku nje na ndani mwisho kabisa kuna Counter ya 2 hapo katikati ndiyo watu wanakaa. Mimi nikawa nimetulia counter ya barabarani huku nakula vyedi (Safari) huku nacheki Magari yanapita, mengine yanaingia Bar, na mengine yanatoka napata burdani tosha kabisa.

Mpaka inafika saa 1 nshakula vyedi kama 6 hivi nikaona kama sielewi nikamchombeza Dada wa Counter amuite mtu wa Jikon alafu alivyorudi nikamzingua... Aaf kama vipi anipe K nichachue kama Maskhara vile nlikula Mvua za Matusi pale kejeli na kubinuliwa mdomo alinisema sana na kuniambia mimi namdhalilisha na kumuona Malaya mara yeye hajiuzi maneno mengi yakamtoka; nikaona isiwe kesi nikamwambia Sorry basi kunywa Bia na mimi nipe Bia nimeshakuelewa... Am sorry. Akapoa na mda huo nshamugiza Jamaa Mbavu Portion 2 na Ndizi 4.

Wakati naendelea na chupa zangu akawa anahudumia wateja wengine na wahudumu wanakuja pale counter kuchukua vinywaji lakini ananiangalia kwa hasira alafu anatikisha kichwa kama anasikitika hivi, mimi kwakua nshaharibu nikawa sina habari nampiga kijicho pembe nampotezea tu. Mara muda sio mrefu msosi ukaja mixer kachumbari nini Ndizi zimeremba sahani ya Bati ile pembe kwa pembe nikanawa nikamwambia jamaa amnawishe na yeye aje kula ila aongeze kwanza Bia 2 kama mwanzo mimi na yeye aikua anakunywa Eagle(Ndege) alafu ndiyo tuendelee. Akaniangalia Akatabasam huku anasikitika kama hataki vile.

Wakati tunaendelea kula pale yeye yuko ndani mimi niko nje viti virefu akaniangalia tena ila sasahivi akanikazia macho hivi nikamuuliza vipi umekabwa au akacheka akaniuliza Uko Serious, Kweli!!? Mimi nikatabasamu nikapiga funda kumezea nyama nikamjibu Ndiyo au ulijua nakuzingua!!? Tukaendelea kudonoa menu.

Tukiwa tunakribia kumaliza, nikamwachia sahani akae nayo ndan kule amalizia kabisa, namuona anakenua tu, Jamaa akaja nikanawa nikalipa nikaendelea kula Mma.

Ghafla naona napewa kirisit nikatahamaki vipi tena nikamuangalia na kumuuliza kwani nimekuomba Bill? Akaniambia kwa ishara Fungua usome... Daah!! Nikafungua nakuta ameandika "...Asa ntakupea wapi, tunafunga saa 10 leo." Nikacheka... Nikakichanachana kile kirisitk nkakitupa. Nikatulia. Mule Kaunta akanza kuhaha Mara atoke aingie ananifanyia Ishara ya Mikono akimaanish VIPI SASA!!? Nikamjibu Niongezee Bia alafu uje.

Akaongeza aaf, akanisogelea nikamwambia; "WEWE MTU MZIMA, UNANIULIZAJE MASWALI YA KITOTO HIVO." Nikaendelea na vyupa vyangu nakula monde tu... Akang'ata kidole akaendelea kuwahudumia wengine. Mara akakaa kwenye kiti chake pale ndani akawazaa alafu akatoka kisha akarudi akandika kirisit kingine; "... Ukiona amekuja mhudumu counter humu na mimi nimetoka basi uje ChaKike mwisho kabisa." Akanipa nikakisoma Chap nikamuoneshe Ngumi yenye Dole Gumba nikimaanisha Fresh! nimekusoma.

~ Itaendelea~

Lakini palepale Counter wakati Jamaa wa jikoni ananinawisha baada ya kumaliza kuna Mwamba alikuja akasalimia akakaa juu pale Kaunta nikawa katika kuongea nae na kumdodosa nikagundua ni Wajina yaani wakuitwa jina langu basi katika storystory nikamwambia Dada muongezee Bia ingiza bill yangu; Mwamba alikua anakunywa Plisner(Bia inanukaga Vibaya hii) fresh tukaendelea na story kama Mabest tunaojuana kumbe tumekutana palepale tena night hiyo hiyo.

Huku na huku Mwamba akanipanga kuna Mama Ntilie mmoja bonge wemepanga wakutane hapo ila kama fresh amchek aje na Msaidizi wake ili na mimi nisiwe mnyonge nikamwambia fresh utakua umenifaa aisee!! Tukacheka... Akampandia hewani na ile nokia six button akampanga aje na yule aliyemuhudumia yeye Mchana alivyoenda kula pale. Bonge akakubali. Baada tu ya kumaliza kuongea nae akaanza kumsifia huyo Msaidizi na kuniambia ni yaani Chombo ya Kwenda Aaf hata yeye ndiyo alikua anamtaka sema nini Big kampenda mwenyewe tu kwahiyo wacha aishi nae kwanza. Daah!! Kwa jinsi Mwamba alivyonipanga nikamwambia Dada wa Counter amuongeze Plisner ingine maana amenifurahisha Mwamba akawa ana Bia ya 3 Mpya ya pili iko nusu na ya kwanza keshamaliza.

Naomba niconclude(Nachoka kuandika): Nlijikuta nimekula Madem wote wa3 kizembe sana kwasababu yule wa Kaunta kule Toi nlienda nikapiga kimoja cha Mkwezi kirefu cha kishujaa cha kushika ukuta alafu pale hatukukaa sana walivyokuja wale Bonge na Msaidizi kumbe ni mtu na Shangazi yake tukawapiga bia kadhaa kila mtu tu nikalipa Bill yangu na jamaa akalipa yake tukaondoka Mwamba akatupeleka Kilabuni moja hivi Mashambani sio mbali na pale wanauza Pombe kwenye Makopo ya Chooni yale sema Makubwa na Madogo kama yale ya kuuzia Mbege. Alafu sijui ilikua Pombe gani ile ipo kama Mbege sema inarangj ya Maziwa na Mafuta kwa juu (kama uhudumiwe Maziwa ya Moto yenye Cream alafu yaanze kupoa kwenye Kikombe) ule utando sasa na machicha kidogo kwa juu kama uchafu hivi umechanganyika na mafuta unapuliza unakunywa.

Haina kushea kila mtu na mtuwe, Mwamba akaagiza Kubwa 2 mimi nikatoa Buku 2 na Mwamba akatoa Buku Jero kumbe Lile kopo Dogo ni Buku na lile Kubwa Ni Buku Jero; Mimi nimebigwa na Butwaa lakini sielewi wale wenzangu inaonekaga ndiyo Pigo zao kwasababu Bi Mkubwa( Hawa ni wale waMama wanakuuzia huku wamevaa Kanga/ Vitenge viwili tu kiunoni na kifuani tu. Aaf, wanakuaga aidha Mnene Sana au Mwembamba sana kisha Ni weusiii kama Mkaa sijawi ona Mweupe mimi) alivyoleta nini mixer wanaongea Kilugha mara onja ndiyo unipe mara ya leo mbona kama kali sijui machicha yamefanyaje ivoo yaani. Asa kwasababu pale Bar hawakuwa wamekunywa kivilee kama sisi waliyafakamia yale Mapombe pale mixer yule Bonge akaongezaa na Kopo dogo lile la Buku tukiwa tumekaa upenuni kwenye Benchi hivi tumezunguka duara tukifuatana na Mabenji mengine.

Mwamba alizima pale pale ikabidi mimi niondoke nao wote wawili mpaka kwangu njia nzima tunaimba nyimbo za kilugha mimi nafanya kuitikia tu. Asubuhi, Bonge alitapika Uvunguni sijui hata sina kumbukumbu yaani alitapikaje Uvunguni ambako hakufikiki hata, huku Chumba kizima kinanuka puya la Pombe za Kienyeji aaf yule Shangazi yake na yeye alikua hataki kuondoka... Eti kapapenda ghetto. Mimi sasa ndiyo sifai Kichwa Kinauma, Naskia Kiu kishenzi na huku Mdomoni sasa sijui nlikua najiskiaje ni chefuchefu sio kichefuchefu, machicha kama nimekula Mchanga vile na uso unang'aa kama nimeoga Mafuta. Mimi nimeamka na Boxer na wao kila mmoja ana Pensi lake kubwa lina mifuko yenye zipu huku Vifua wazi hivi nikawatoa hela kidogo wakaondoka, Siwajui na wao hawanijui mpka leo maana walitaka wapike Chai na mimi nlikua sina Chombo chochote ndani basi walivyotoka saa 5 hiyo kweupe kabisa Majirani na wapangaji wengine kama vile waliambiana Wageni rasmi wanatoka wakawa wamejipanga nje wawaone... Daah!! Aibu ile sitaisahau kamwe.
Nimecheka kisenge mpaka mgonjwa ananishangaa
 
Siku moja nmekaa zangu sina moja wala mbili nkapokea simu kua inatakiwa niende mkoa x kwenye semina ya mafunzo ya kazi yangu!
Hivyo nkapewa agizo ya vitu muhimu vya kwenda navyo+ idadi ya watu tuliochaguliwa pamoja
Jioni yake nikampigia (mariam) sio jina lake harisi
Nikaongea nae na baadae tukapanga siku na muda wa kuondoka
Mariami ni mdada wa kati sio mnene sio mwembamba ila ni black beauty hivi
Mrefu kidogo kunizidi na hata umri pia kaniacha kidogo..

Siku tuliopanga kusafili ikafika
Saa 12 nipo kwenye gari ..yeye hakua kafika nikampigia kumbe alikua tayari nje ya gari
Akaja kwenye seat tukakaa
Alikua amevalia skin nyeusi ..huku kiuno na shep yake vikionekana maridhawa kabisa!
Safari ikaanza na hatimae tukafika
Kutokana na location ya eneo la semina na ofisi ilipo ilibidi tupate lodge maeneo yaleyele
Na kwakua tulikua tukifanyia mjini hata lodge tuliopata ilikua nzuri na safi pia
Nkachukua chumba nae pia akachukua chakwake..
Nkaingia nikaoga then nkatoka kwenda nje kushangaa mji kidogo
Baadae akanipigia simu kuuliza nipo wapi nkamwambia nipo nazunguka zunguka kidogo!
Akasema sawa
Nkarud nkamchukua tukaingia sehemu kula
Tukala kisha tukarudi kila mtu akachapa usingizi kwake

Kesho yake tukaondoka kwenda kazini ,tukaonana na wenzetu na semina kidogo ya utangulizi
Tukarudi me nkazama room nikawa naangalia muvi kwenye pc yeye ana yake huko ndani
Day 1
Day2 na day 3 ilikua hivyo even day 4
Sasa ijumaa nikamwambia unaonaje tukienda kula nyama maeneo x
Akasema frrsh twende
Then haoo hadi kiwanja
Tukapiga nyama sana
Mim nkaagiza smirnof ice yangu bariidi nkawa naipiga

Nb me sipendi pombe kiasi ichon na sio mnywaji wa ulevi
Naweza kunywa mala 1,2 tu kwa mwaka
Basi nikawa nakunywa pale na yeye anapiga wine(siikumbuki jina kwakua sio mtu wa hivyo sana)
Aliitandika weee mwisho akalewa
Na mimi nkawa na wenge kidogo kwa mbali ila nnajitambua
Tulipomaliza tukalipa na tukaanza safari ya kurudi
Ita gari ikatupeleka hadi lodge
Ile manzi ilikua inayumba tu na kicho ni nyanya!
Fika lodge ndio kizaa zaa kikaanza na mawazo ya ngono kuniingia
Kumbuka ukiingia hivi kwenye zile cordo chumba changu kilikua mwishoni afu chakwake ni mwanzoni tu
Nkachukua funguo zangu na zake tukajongea vyumbani
Kufika pale kwenye cordo bada ya kupanda ngazi kuja juu sikumuachia tukanyoosha hadi kule kwangu!
Tukafika nkamkalisha kitandani
Akaniangaliiiiiaaa akacheka akasema nahman mdogo wangu unataka unifanye nini dada ako..nlichek kinoma.. nkamwambia leo nataka nilale na wewe
Akasema kwahyo unatakaa unitomb€ dada yako..nkamwambia eh..akacheka kicheko kile cha kuchoka na kulewa akasema mjingaa wewwwe!
Nkamwambia inatakiwa ukaoge kwanza akasema nkamfuatie mswaki wake na dawa kule
Nkaenda..
Nkachukua na kurud
Narudi nakuta ndio anafungua kifungo cha suluali
T shrt kashatoa na aloo yule manzi ana rangu nzuri
Mipaja imejaa jaa hivi afu sio meupe na sio meusi
Akaingia bafuni na akaoga akatoka
Akajifuta maji akaongea na jamaa yake sijui afu akalal
Me nkaoga chapu huku mawazo yapo kitandani pale
Nkarud bedi nkachomeka simu zote chaja nkapanda kitandani
Kufika hata sikupoteza muda
Nkakamata uno akatuulia pandisha mkono juu kwenye chuchu katulia tu
Nkafungua taulo nkaanza kuzinyonya chuchu katulia tu
Ile zungusha ulimi kwenye chuchu akatoa ka mlio aaaahhhhhah
Nkazidisha sana ile kitu…
Shusha chini mkono hadi kwenye k
Ilikua imejaa hivi afu imeloana balaa
Piga sana finger hadi akawa anaminya mkono kule chini
Baadae akasema .nahman chomeka ****
Nami nkatimiza maagizo nliopewa
Nlipenda vile yule manzi alikua anaguna
Mgeuze muweke utakavyo anaenda tu!
Tulitrombana sana nkamwaga na yeye akamwaga na sio mala moja tukalaa

Saa tisa nmeshituka nahisi nini hiki kumbe bibie kaamka kachukua mashine anainyonya
Nkampandia tena!
Piga sana mbupu!
Baadae tukalala
Kuja kushtuka saa4
Nkamsalimia akajibu toka hapa!
Tukaenda kupiga tea..tukarud ndani
Najua unajua kiliendelea nini!
Hadi mwezi unaisha ilibidi turudishe chumba kimoja.. tukawa tunaishi kama mme na mke ila marufuku kukaguliana sim au kufatiliana
Ilikua ni kazi-kula-kutomb tu!
Ulibugi sana imekuwaje siku ya kwanza hadi ya nne haukufanya kitu au ulikuwa domo zege
 
Back
Top Bottom