kabanga
Platinum Member
- Dec 12, 2011
- 37,578
- 18,952
Unaogopa.....?
Mwaka uishe tu huu
Mwaka uishe tu huu
Nimeshakuja nataka kimasihara
sawa ila chai wakati mwingine ikizidi lazima tuseme, me siwezi kukaa kimya kabisa[emoji849]
Waoh ,mamboNimeshakuja nataka kimasihara
Hahahaha,aseeJaman siyo lazima upewe hela hata bure tu mnapozana nafsi
Nipo nimejaa tele nipo likizo mm mtendaji wa kijiji
Khaaaa umeoa una roho mbaya hata kadi loooh
Nimerudi siku mingi sana
Ujue nitalia mm wa kunifanyia hivi kweli jaman
Nakuja kesho huko nitakuwa mitaa ya Kibaha
Salama my wangu
Hahahaha, bora umerudi ,tulimiss maandishi yako ,karibu sanaUnanikimbia eeeeh
Hahahaha ,dah ataua watuHuyu demu ndio mwenye ngoma. Ila ana ID kibao humu
Dah nliwai kumwelewa mtu mmoja tu humu afu akanipotezea adi nikaolewa na mtu mwingine japo atukulana wala kuonana adi leo......
Kudadeki wagonjwa wajiandae kuliwa kimasikhara CosmasjuliusMkuu rikiboy we ni daktar unaekula kimasihara
NdioUnaogopa.....?
Next time mkuu ukipita hii road tufahamishane tunaweza kufanya narejeo ya tukio, nitakuja PM!Kuna mkaka wa pale Dodoma mwenye I'd inayoanza na irabu za mwanzo na kuishia na irabu za mwisho
Alichonifanyia pale Dodoma D... m...m Hotel ilikuwa kimasihara,ilikuwa kimasihara kabisa,nahisi alitumia uchawi maana najielewa huwa stoi tunda kimasihara
Nikiwa zangu safarini kutoka Dar kwenda Mwanza,kijana mmoja nilikuwa namwelewa pm,akaniomba nishuke Dom,akaniomba tangu alfajiri kila dakika ananiomba
Nikaona isiwe soo,nikashuka kanipokea kanipeleka hotel yenye jina la mama,nikajikuta ameniroga akanila kimasihara
Karibuni tutambulishane tuliokulana kimasihara humu JF
Jamani PM imejaaa ,usipojibiwa cool down,sasa hivi staliwa kimasihara
i wish i could be IGP, nawish ningekuwa mimi mkuu!Dah nliwai kumwelewa mtu mmoja tu humu afu akanipotezea adi nikaolewa na mtu mwingine japo atukulana wala kuonana adi leo......
Mkuu nimewahi kuwatongoza wengi sana humu kupitia PM ila kamwe sijawahi kuwapa details zangu kiundani. Shida ya hawa wanawake wengi huwa wanajiachia sana hawaogopi sijui kwanini? Huwa napanga nao miadi ila hata maili 100 kuzunguka eneo la miadi sitokei.Yaani JF imechafuka kiasi hiki? Mwisho mtaanza kutajana hadi majina aisee! Nilivyoona wanaume wanawafungukia wanawake wa JF nikajua sasa ipo siku na wanawake watafunguka ya kwao!
Kuna vitu kama hivi ndiyo vinasababisha nisitongoze wanawake wa JF, maana naamini ipo siku JF itakuwa kama FB.
Tunasogea kidogo kidogo tu.
Hutaki amaa
Uni tag mkuu ukiletaaaNgoja nije niwaletee za kimasihara zangu mbili,ila kwanza nataka nihakikishe kama wakwe zangu hawaijui hii id.
Maana nimekula Shemeji na Beki 3.
Dada mrembo uko Hombolo? ukirejea tuzungumze aisee, mimi niko mitaa ya Ihumwa hapa, nitapita PM baadae!Hombolo
Wewe dogo upo?
Zabibu zipo lakini tayari zimeiva. Ninaomba nikutumie Hela unitumie za 20k hapa ARUSHA demiss