Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,402
- 12,010
Safi sana
Hahahaha, sawa sawa karibu tena
Mimi civilian i assure you, usiogope, tafadhali ukuje PM tuzungumze ya kuzungumzika!
Apana mi nawish angekuwa yule yule banai wish i could be IGP, nawish ningekuwa mimi mkuu!
Pole, naamini lakini shem yuko mule mule, sio?Apana mi nawish angekuwa yule yule bana
Kuliwa kawaida tu mkuu tumekuwepo ili tuliwe.....ila skuliwaHaukuliwa mzigo kweli?
Naogopa kwenda pm ya mwanaume maana hamchelewi kusema tumewafata pm
Nimejaa tele kama ushindi w ccm serikali za mitaaa
Sweet16 wewe!Kuliwa kawaida tu mkuu tumekuwepo ili tuliwe.....ila skuliwa
Mkuu nimewahi kuwatongoza wengi sana humu kupitia PM ila kamwe sijawahi kuwapa details zangu kiundani. Shida ya hawa wanawake wengi huwa wanajiachia sana hawaogopi sijui kwanini? Huwa napanga nao miadi ila hata maili 100 kuzunguka eneo la miadi sitokei.
mkuu dunia ina mengi, huku mtaani kuna jamaa kazaa na mapacha wote wa 2 watoto 2-2 kwa kila mmoja na ilifika sehemu anakaa nao wote nyumba 1mama mdogo aliona apambanie penzi taamu la padri maana wale wana shahawa nzito balaa kutokana na ulaji wao wa milo bora kabisa,
ila sasa nachopinga kwa huyu mwamba ni kusema alipiga three some ilihali wale ni watoto wa shule wasio na confidence ya kufanya kitu kama kile..arafu mbaya zaidi eti akaendelea kuwagonga tena na tena!
Bado niko ni wewe tu. Kama uko tayari tuonaneDah nliwai kumwelewa mtu mmoja tu humu afu akanipotezea adi nikaolewa na mtu mwingine japo atukulana wala kuonana adi leo......
Pole sana, i feel you kwa uliyopitia, narudia pole sana
Wewe jasiri sana
Duh, mabwaku!Kuna mkaka wa pale Dodoma mwenye I'd inayoanza na irabu za mwanzo na kuishia na irabu za mwisho
Alichonifanyia pale Dodoma D... m...m Hotel ilikuwa kimasihara,ilikuwa kimasihara kabisa,nahisi alitumia uchawi maana najielewa huwa stoi tunda kimasihara
Nikiwa zangu safarini kutoka Dar kwenda Mwanza,kijana mmoja nilikuwa namwelewa pm,akaniomba nishuke Dom,akaniomba tangu alfajiri kila dakika ananiomba
Nikaona isiwe soo,nikashuka kanipokea kanipeleka hotel yenye jina la mama,nikajikuta ameniroga akanila kimasihara
Karibuni tutambulishane tuliokulana kimasihara humu JF
Jamani PM imejaaa ,usipojibiwa cool down,sasa hivi staliwa kimasihara