Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Kuna mkaka wa pale Dodoma mwenye I'd inayoanza na irabu za mwanzo na kuishia na irabu za mwisho

Alichonifanyia pale Dodoma D... m...m Hotel ilikuwa kimasihara,ilikuwa kimasihara kabisa,nahisi alitumia uchawi maana najielewa huwa stoi tunda kimasihara

Nikiwa zangu safarini kutoka Dar kwenda Mwanza,kijana mmoja nilikuwa namwelewa pm,akaniomba nishuke Dom,akaniomba tangu alfajiri kila dakika ananiomba

Nikaona isiwe soo,nikashuka kanipokea kanipeleka hotel yenye jina la mama,nikajikuta ameniroga akanila kimasihara

Karibuni tutambulishane tuliokulana kimasihara humu JF

Jamani PM imejaaa ,usipojibiwa cool down,sasa hivi staliwa kimasihara
Ndio ulikuwa unarudi Mwanza na ile 7800 ya nauli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], ukaona isiwe shida ukaamua ushukie Dom kwanza ili uongeze nyingine ikufikishe Mwanza...
 
Yaani JF imechafuka kiasi hiki? Mwisho mtaanza kutajana hadi majina aisee! Nilivyoona wanaume wanawafungukia wanawake wa JF nikajua sasa ipo siku na wanawake watafunguka ya kwao!

Kuna vitu kama hivi ndiyo vinasababisha nisitongoze wanawake wa JF, maana naamini ipo siku JF itakuwa kama FB.
Tunasogea kidogo kidogo tu.
 
I wish niwasimulie ila
  • Mimi sio msimuliaji mzuri
  • Uzi huu unatembelewa na watu ninao waheshimu sana..naogopa
Ngoja nibaki nayo moyoni though i wish.
Ahahahqhahah..
Kwakwel.Ngoja nikaje na Id yangu nyingine na mm nishushe testimony.
 
Back
Top Bottom