luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,153
- 21,798
๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐Na mna hook up Au mnapeana teaser tuu
๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐Na mna hook up Au mnapeana teaser tuu
What alikufa na nn huyu mschanaUyo alifariki mwaka Jana .
Avatar yako kwetu ni tusiMi ni baba P mbona unamwaga kuku kwenye mchele mwingi
We nae mzito sana kichwan mwako ,siku baba p amerud na daladala alienda na kirikuu kumpelekea vitu vya ndan means hakwenda na gari.Sema hii story bana, Baba P anaenda na Prado kwa mchepuko then anarudi home kwa daladala[emoji28][emoji28][emoji28]
Hpa hukuelewa, siku alimpelekea funiture, alienda kwa kirikuu afu ikabidi apande daladala ili arudi nhumbani.Sema hii story bana, Baba P anaenda na Prado kwa mchepuko then anarudi home kwa daladala[emoji28][emoji28][emoji28]
Fear women if you dareHii imeendaaView attachment 2682143
Kweli amepiga come back ya maanaNoma sana, ila wanawake ndo maana hatutakiwi kuwaiga mna shortcut zenu kupindua meza ni sekunde tu, sio sisi msoto msoto
Kwamba hajamalizia kuusu tako pia status Yake auNa nukuu " kusema ukweli mm ni mrembo Sana (umbo la kibantu nywele, rangi na sura ya kiarabu) "
Hapa ndipo ulipo haribu kila kitu
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Umeona eeeh[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sema hii story bana, Baba P anaenda na Prado kwa mchepuko then anarudi home kwa daladala[emoji28][emoji28][emoji28]
Leta hata ka story yako moja ambayo unajua uliliwa kimasihara lkn ni amazing,Kwann
Aliamua tu kutumia daladalaSema hii story bana, Baba P anaenda na Prado kwa mchepuko then anarudi home kwa daladala๐ ๐ ๐