Kwamba hajamalizia kuusu tako pia status Yake auNa nukuu " kusema ukweli mm ni mrembo Sana (umbo la kibantu nywele, rangi na sura ya kiarabu) "
Hapa ndipo ulipo haribu kila kitu
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Umeona eeehSema hii story bana, Baba P anaenda na Prado kwa mchepuko then anarudi home kwa daladala![]()



Leta hata ka story yako moja ambayo unajua uliliwa kimasihara lkn ni amazing,Kwann
Aliamua tu kutumia daladalaSema hii story bana, Baba P anaenda na Prado kwa mchepuko then anarudi home kwa daladala😅😅😅
😆😆Bado nasisitiza wanaume km hawa km bado wapo sijui,huko tunapoendelea atanunuliwa gari na atajenga nyumba kwa ajiri ya mama mkwe 🥴
😂😂😂😂😆😆
Umewaza kama mimi.
Lazima huko mbeleni kuna gari itanunuliwa na usishangae hiyo nyumba ya mbweni tukaambiwa ni gorofa na account ya bank tukaambiwa mpaka sasa ina 300mills na duka kwa siku linaingiza 50mills na mama wawili na yeye anafuata mzigo China.😆
Mwanaume muongo huyu kawazidi hata mademu
Acha kusoma ukiwa umelewa wewe onyesha sehemu aliposema alienda na prado akarudi na daladala?Sema hii story bana, Baba P anaenda na Prado kwa mchepuko then anarudi home kwa daladala![]()
Manaake nnAvatar yako kwetu ni tusi
tunapangwaUmeona eeeh![]()
Kwani kusoma huku nikiwa nimelewa ni dhambi?Acha kusoma ukiwa umelewa wewe onyesha sehemu aliposema alienda na prado akarudi na daladala?
UkeManaake nn
Kabila gan ilo ndugu
Ulizingua kinoma mpaka leo nikikumbuka ile situation nachoka kabisaHii niliponea chupu chupu.
Ni mwaka 2013 mwanzoni nilikuwa naenda shamba huko mafinga nikitokea dar.
Tulipofika mahali kabla ya chalinze gari ikaharibika. Tukashuka garini kwenda kungojea waamue tutakavyosafiri.
Kukawa na waauza chai na mihogo ng'ambo ya pili ya road.
Ndo nikakutana na mwanaume mmoja. Kweli tuliongea sana. Baada ya gari kutengemaa akanihamisha siti nikakaa naye karibu na mlango wa dereva. Duuu kule garini ni kama tulikosa hata pumzi yaani was zero distance.
Mzee akasema anafanya kazi kwa pilato. Nikapata mshtuko wa kwanza nikajua huwa hawakosi pisto kiunoni hawa loooh i may die today .... ooh my God.
Tuliendelea na safari yetu. Kweli alijitahidi kuweka mazingira ya kwenda kulala wote kituo kimoja baada ya mafinga mjini. Na mimi kwa kuona kuwa pale tumeshakolea kila mmoja na hamu nilikubali. Wakati wa kula tuko beneti mmmh.
Tulipofika mafinga mjini nikambonyeza koda wa ile basi nikashuka kama naenda kukojoa na safari yangu ikaishia pale.
Hata hivyo najua that man ni mwana jf pengine anasoma hapa.
But ukweli nilijiofia maisha yangu halafu nilikuwa na some cash money nikajua sitakuwa Salama but ...
Kisa cha pili was miaka ya 90s na mjeshi mmoja mkoani mbeya............. i'll be back.
Ah wapi ukisha kojoa tu unaanza kujuta sijui ni Mimi tu ndio napitiaga hii Hali...kama asaivi namfukuzia cocastic najua nikishamkojolea tu biashara itaishia hapo...naanza kujuta muda wangu nilioupoteza kumfukuzia🤩🤩🤩Duuh, mademu wenye sura nzuri wana motivate ile kitu aseee, hujui tu yaani
Imagine mpo missionary alafu ukute pisi inakurembulia aaaaa weeeeeeh,
Mbona ni mautamu tu, unajisikia kama unalamba asali vile sura ni muhimu aseee, ni muhimu kweli kweli View attachment 2668897