Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Mwandiko unafanana na wa mtu fulani humu ila yote kheri utajijua mwenyewe...
 
Huu ni mfano halisi jinsi Dada zangu mnapoteza furaha ya ndoa zenu, kujibidisha na kazi za vipato. Na kuacha mume ahudumiwe na wadada wa kazin.
 
Bado nasisitiza wanaume km hawa km bado wapo sijui,huko tunapoendelea atanunuliwa gari na atajenga nyumba kwa ajiri ya mama mkwe 🥴
😆😆

Umewaza kama mimi.
Lazima huko mbeleni kuna gari itanunuliwa na usishangae hiyo nyumba ya mbweni tukaambiwa ni gorofa na account ya bank tukaambiwa mpaka sasa ina 300mills na duka kwa siku linaingiza 50mills na mama wawili na yeye anafuata mzigo China.😆

Mwanaume muongo huyu kawazidi hata mademu
 
😆😆

Umewaza kama mimi.
Lazima huko mbeleni kuna gari itanunuliwa na usishangae hiyo nyumba ya mbweni tukaambiwa ni gorofa na account ya bank tukaambiwa mpaka sasa ina 300mills na duka kwa siku linaingiza 50mills na mama wawili na yeye anafuata mzigo China.😆

Mwanaume muongo huyu kawazidi hata mademu
😂😂😂😂
 
Ila ujuba ni vazi la stara sana, mbona ulivuliwa kirahisi sana ?
 
Hii niliponea chupu chupu.

Ni mwaka 2013 mwanzoni nilikuwa naenda shamba huko mafinga nikitokea dar.

Tulipofika mahali kabla ya chalinze gari ikaharibika. Tukashuka garini kwenda kungojea waamue tutakavyosafiri.

Kukawa na waauza chai na mihogo ng'ambo ya pili ya road.

Ndo nikakutana na mwanaume mmoja. Kweli tuliongea sana. Baada ya gari kutengemaa akanihamisha siti nikakaa naye karibu na mlango wa dereva. Duuu kule garini ni kama tulikosa hata pumzi yaani was zero distance.

Mzee akasema anafanya kazi kwa pilato. Nikapata mshtuko wa kwanza nikajua huwa hawakosi pisto kiunoni hawa loooh i may die today .... ooh my God.

Tuliendelea na safari yetu. Kweli alijitahidi kuweka mazingira ya kwenda kulala wote kituo kimoja baada ya mafinga mjini. Na mimi kwa kuona kuwa pale tumeshakolea kila mmoja na hamu nilikubali. Wakati wa kula tuko beneti mmmh.

Tulipofika mafinga mjini nikambonyeza koda wa ile basi nikashuka kama naenda kukojoa na safari yangu ikaishia pale.

Hata hivyo najua that man ni mwana jf pengine anasoma hapa.

But ukweli nilijiofia maisha yangu halafu nilikuwa na some cash money nikajua sitakuwa Salama but ...

Kisa cha pili was miaka ya 90s na mjeshi mmoja mkoani mbeya............. i'll be back.
Ulizingua kinoma mpaka leo nikikumbuka ile situation nachoka kabisa
 
Duuh, mademu wenye sura nzuri wana motivate ile kitu aseee, hujui tu yaani

Imagine mpo missionary alafu ukute pisi inakurembulia aaaaa weeeeeeh,

Mbona ni mautamu tu, unajisikia kama unalamba asali vile sura ni muhimu aseee, ni muhimu kweli kweli View attachment 2668897
Ah wapi ukisha kojoa tu unaanza kujuta sijui ni Mimi tu ndio napitiaga hii Hali...kama asaivi namfukuzia cocastic najua nikishamkojolea tu biashara itaishia hapo...naanza kujuta muda wangu nilioupoteza kumfukuzia🤩🤩🤩
 
Back
Top Bottom