Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Alianza kulike picha zangu mtandaon naamka hivi nakuta demu kalike picha zangu karibia zote nikasema lahaula lailakwata! Kumcheki sina urafiki nae kuchek mutual frriend hamna hata mmoja. Nikajiuliza past activity nilizofanya pengine akawa impressed, nikakumbuka comments moja ya kiwaki ktk group la mahusiano,

Nikazama nami nikalike picha zake mtot si haba mashaalah nikaona isiwe tabu nikamesenja hi after sometime tukaanza chatting, tukaamia wasap within a day tushaanza kuitana wapenz alooh sijui hata niliingiza gia vipi angani, he siku ya pili tukapanga miadi siku ya tatu tukakutana na kutafunana, mechi ilikuwa ya kibabe , fb nakutana na pisi nying kuna zingine tumeplan kuonana sijui kapoteza simu hadi kesho simuoni online mamaee alafu wawili sijui majini mi nakula ivo ivo

Age yake ni kanizid kidg ila alikubali show ndo tukajuwana zaid kumbe ni mtu anaejiheshimu mwanamke mpambanaji tu kama yupo humu akiisoma anisamehe,
IMG_20230215_224018.jpg
 
Ningesema mm nngeonekana namchukia huyu dogo,,,,hamna kitu hapa,,hakuna dr anaeweza kufanya haya,,

Dr wa mchongo
Nina mshikaji alikua mpangaji mwenzangu kipindi nipo chuo kasomea udokta saiv anakaribia kumaliza ile intern yao ya mwaka mmoja.. jamaa alikua anakula madem sio chini ya tatu daily.!! Sijui kama kaacha

Kitu kama huna experience nacho usifikiri ni chai. Hata mimi zamani nilikua na ratiba ya kuingiza dem mpya geto kila siku ila nilikuja kuacha baada ya kuponea chupuchupu kuukwaa.

kuna watu sex ndo kama dini yao na wanaitumikia kikamilifu tena hao madokta ndo usiseme wanakula sana manesi na wagonjwa

Carlos The Jackal
 
Ngoja niwa-bless na hii..

Mwaka jana mwanzoni nikiwa kwenye hifadhi niliopewa na mmoja wa ma-boss zangu, kutokana na changamoto ya kuingia kwenye Payroll. Hii nyumba nilitangulia kukaa na kijana mwingine kabla ya kuongezeka huyo mchumba . Siku ya kukwaza kukutana na hii PISI ni siku iliporipoti kutokea mkoa mwingine (Dar-es-salaam) na kuwasili nyumba hii (BUKOBA)

Maisha yaliendelea ingawa hatukuwa na mazoea kiivo ila vistory viwili vitatu vya maisha tulikuwa tunapiga (mm nilikuwa na demu Wangu na Tyr ni commitment relationship niliemuacha DAR na yy alikuwa na Bwana ake alieko Chuo).

Siku ya Tukio
Boss alikuwa ameenda kazini na huyo kijana mwingine pia alikuwa ameenda kazini so nilibaki mm na hio PISI nyumbani. Niliitwa kupata Chai na Huyo Nazfa (jina la kubuni) ,muda tunapata chai vistory viwili vitatu vikawa vinaendelea madam kuu ikiwa ni mahusiano (nazani tulikuwa na mgeni wetu shetani).. Mm nd nilikuwa wakwanza kushambulia kwa kumuuliza ni mara ngapi ametoa-mbwa (nje ya Banda), nazani hakutegemea ile kauli kutoka kinywani mwangu aliishia kuniangalia na nikawa namuangalia kwa jicho la kujishtukia. Niwe muwaza huyo Demu alikuwa na nyege za kutosha maana hili lilianza kujidhihirisha kupitia mabadiliko ya macho makubwa kuanza kuwa malegevu na kupoteza nguvu yake ya kunyanyua kope. Mm pia nikiri nilikuwa na Nyege za kutosha (just four months away from my girlfriend (siwezagi hilo)).. Turudi kweny content, nilistuliwa na mawazo ya kijasusi kuwa niki-lose hii nafasi huyu Demu ataniona fala nikakumbuka pia what if akiliwa na yule kijana mwingine. Nilisogea alipo na kuweka pozi la kutaka Denda kama wafanyavyo wakorea kweny drama zao lucky sikupigwa Kofi bali nilipokea ushirikiano niliotarajia ,hapo ikaanza foreplay ya kufa mtu, nakumbuka eneo pekee nilipopiga acrobatic tictac ni shingoni (hapa ndio uzaifu wake ulipo) kila nilipopita hili eneo kwa kukusi na kunyonya mishipa ya shingo ambaya hata sijui inatoa damu wapi nakupeleka wapi nilisabisha kilio cha mahaba, nikimpoza nikukiss kitovu chake mkono ukiwa kifuani kweny kifua chake nikiminya ziwa la kushoto huku mkono mwingine ukipapasa mapaja na makaliO yake.... Ni zaidi ya 20+minutes nikaona Bibie yupo nusu akhera nusu duniani, hapo ndipo nikamtoa KomradeKipepe kumpeleka kwenye pangoni... Nilipoingiza kikojoleo changu kwenye papuchi yake nilihisi nimeianika juani (joto la hii PISI ni la kutosha) .Ilipigwa shoo gwaride aka kumbukizi ili nipewe hii kazi rasmi.

HINTS
1. Yule Demu Wangu wa Dar nilimposa muda na baada ya kula hii PISI
2. Hii PISI ya niloitafuna kwenye hii post ndie Mke wangu wa pekee wa Sasa.
3. Baada ya kusikia nimeoa muda mfupi baada ya kuachana na Demu wa Dar nilitishiwa Hadi kurogwa

Nawasilisha
Ujui kupangilia maandishi meku
 
Wako wapo wapi ?? Ni wivu tu.


Kwan unadhan sio wivu?


Alafu bahati mbaya, nmekuzidi Kila kitu, yaan Kila kitu nimekuzidi ,Sasa wivu unazidi Mara 100
Ulichonizidi sana sana ni kuandika ujinga na kutongoza wanawake wabovu ili uje utambe humu ila hakuna kingine,,

Hakuna dr anaeweza kufanya haya lbda mtunza maiti.
 
Nipo kijijini kidogo kuona wazee.. naenda mtaani naonana na ndugu, jamaa na marafiki wa kipindi nakulia huku. Ninatabia ya kuja kusalimia atleast mara 1 kwa miaka miwili. Asilimia kubwa hukuta sura mpya maana vijana wanazidi kukua tu.
Nikaonana na jamaa yangu mmoja ana cheo fulani cha kiheshima na alikuwa na viongozi wenzake.
Kati ya hao viongozi mmoja alikuwa mwanamke ambaye ndio boss wa kata huku nilipo na bado mbichi kiasi age kwenye 26 hivi sura nzuri kiasi chake na ni mgeni naambiwa ndio ana miezi miwili tu. Natambulishwa na jamaa yangu na pale nikaombwa namba ya simu na wote wakaichukua. Maisha yakaendelea story za hapa na pale nikaondoka.
Jana napigiwa simu kupokea naulizwa umeondoka nikasema hapana. Wakati huo sijajua nani akaniambia mie kata tulionana juzi ohhh.
Basi akaniambia kama hujaondoka naomba kesho (leo) tuonane. Namuuliza wapi na saa ngapi. Akaniambia nyumbani kwangu na usiku kuanzia saa 2 nadhani ndio muda mzuri. Nikamwambia poa.
Nauliza jamaa fulani hivi bos wa kata ya hapa ameolewa naambiwa hana mume..

Nipo nawaza kuna Masihara inakuja hapa maana hatujaongea lolote.
Unaenda kuliwa kimasihara.... 😀
 
Baada ya hapo huyo mwanae alipata kazi?
Unexpected sex ni tamu sana siku zote hata bila kumumunya maneno!

Hii ya kwangu nadhani siyo kula tunda kimasihara bali ni rushwa ya ngono na matumizi mabaya ya ofisi nilifanya!

Nilikuwa na kawadhifa mbuzi flani hivi sehemu.

Mama mmoja akajichanganya hadi nikashangaa!

Mara ya kwanza kukutana naye, akawa na furaha sana kwa namna alivyonisabahi kwa kucheka cheka hadi nikajishitukia!

Kumbe hatua hiyo alikuwa anasafisha njia ili kujenga mazoea!

Ndiyo siku moja akaja kujiweka wazi kuwa zile nafasi za ajira zilizotangazwa na Halmashauri, mtoto wake asikose na yupo tayari kujitoa kwa lolote!

Nikamuuliza atajitoa toaje?

Baadaye akanizidi vishawishi baada ya kuweka wazi kuwa yeye mwenyewe anajitoa na si kwa ubaya, ni kwa nia nzuri tu.

Na alivyokuwa na msura, nikakubali ili nione kama yaliyomo yamo na itakuwaje!

Kufupisha stori, kuanzia hela ya gesti ni yeye, hela ya Taxi ni yeye, hela ya vinywaji ni yeye, hela ya kuhonga ni yeye na mambo yoote ambayo hufanywa na mwanaume kusherehesha(kuhonga) mwamamke amtakaye alifanya yeye.

Yaani alinitreat kama mtu jobless ninayeishi kwa mtu.

Nikaambiwa ni marufuku kutoa hela yangu katika mchakato huu, ni yeye kama yeye tu na nisijisikie vibaya, nikasema sawa.

Na kweli kila nikitaka kujitutumua kwa kutoa ushirikiano ki pesa, nakatazwa.

Tukaja kwenye sanaa ya kitanda sasa!

Mauno yale ya rushwa yalivyokuwa yanakatwa kihasara, sidhani kama hata mtu wake humkatikia mauno ya namna hiyo!

Ni raha sana kwa mwanaume kumlala mwanamke na kisha hela akupe yeye.

Unapata msisimko mkubwa sana wa ajabu kuzidi lile penzi la kusotea.

Na unafanya kwa ufanisi mkubwa kwa kujiamini vile kwa sababu unafanya bila hofu, umeondolewa stress zote za kudaiwa sijui hela ya kuhonga na gharama zingine zote!
 
Ulichonizidi sana sana ni kuandika ujinga na kutongoza wanawake wabovu ili uje utambe humu ila hakuna kingine,,

Hakuna dr anaeweza kufanya haya lbda mtunza maiti.
😂😂😂😂😂 Weee mchomelea mageti ulojaa stress za Maisha .

Tunza nguvu zako kupambana kuboresha Maisha yako bwasheee
 
Carlos The Jackal punguza utoto usidhani wewe unaishi dunia yako nachoona hujiheshimu na huwaheshimu hao wanawake au ni wale wanawake wasiojielewa kwa mujibu ya sms zako.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Usifanye mambo kua magumu, wee huwajui Wanawake , hawako kama unavyowaza .

Endelea kuwaona ni Malaika Sasa .

Alafu wawe wanakutana na Mtu kama Mimi.

Utafurahi
 
Back
Top Bottom