heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 8,019
- 13,266
Alianza kulike picha zangu mtandaon naamka hivi nakuta demu kalike picha zangu karibia zote nikasema lahaula lailakwata! Kumcheki sina urafiki nae kuchek mutual frriend hamna hata mmoja. Nikajiuliza past activity nilizofanya pengine akawa impressed, nikakumbuka comments moja ya kiwaki ktk group la mahusiano,
Nikazama nami nikalike picha zake mtot si haba mashaalah nikaona isiwe tabu nikamesenja hi after sometime tukaanza chatting, tukaamia wasap within a day tushaanza kuitana wapenz alooh sijui hata niliingiza gia vipi angani, he siku ya pili tukapanga miadi siku ya tatu tukakutana na kutafunana, mechi ilikuwa ya kibabe , fb nakutana na pisi nying kuna zingine tumeplan kuonana sijui kapoteza simu hadi kesho simuoni online mamaee alafu wawili sijui majini mi nakula ivo ivo
Age yake ni kanizid kidg ila alikubali show ndo tukajuwana zaid kumbe ni mtu anaejiheshimu mwanamke mpambanaji tu kama yupo humu akiisoma anisamehe,
Nikazama nami nikalike picha zake mtot si haba mashaalah nikaona isiwe tabu nikamesenja hi after sometime tukaanza chatting, tukaamia wasap within a day tushaanza kuitana wapenz alooh sijui hata niliingiza gia vipi angani, he siku ya pili tukapanga miadi siku ya tatu tukakutana na kutafunana, mechi ilikuwa ya kibabe , fb nakutana na pisi nying kuna zingine tumeplan kuonana sijui kapoteza simu hadi kesho simuoni online mamaee alafu wawili sijui majini mi nakula ivo ivo
Age yake ni kanizid kidg ila alikubali show ndo tukajuwana zaid kumbe ni mtu anaejiheshimu mwanamke mpambanaji tu kama yupo humu akiisoma anisamehe,
nimemisi hizi story asee

