Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Aisee hii pia ikishanitokea kabisa, na lilikula vihela vya vocha kama siku 5 ivi,, nilipokomaa kula mzigo, ndo likaniambia ukwel kua linatumia picha ya mdogo wake, ila kama nataka kupiga nyuma lipo tayari, Mwanza Ghana, kmmke yule msenge alikua na sauti nzuri balaa, baada ya kuniambia ivyo nikafuta na Namba yake kabisa dadeki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila vocha zake ulikulaaa??

Hivi kuna bottoms wanahonga wanaume? Ni kwamba hawana mvuto, wamekosa soko, wamezidiwa na upwekee au? Mbna haingii akilini kabisaa.

Hata awe wa kishua bas kuna sehemu amekwama na kufail. Uwiiih
 
[emoji16][emoji16]oya mze vip bila shaka we wapand zile!?

Uyo boya Area zile hawez kuishii,
Yeaaaah kaka nimekaa kule sana mzee japo sio mwenyeji wa kule ila mitaaa naipata fresh,kule wagumu ndowanaishii[emoji1]
 
Oya coca tulia, ukitaka ushahidi upo,, unataka kusemaje kwanza,, kwamba gays ni smart kiasi hiko,.

Wenyee kumjua washa mjua na wamenifata pm nimkaushie uyo mchicha mwibal..

Ila mnaroho ngumu, sana.. Ila furesh kuish kuchagua
Sihitaji hata huo ushahidi, nlikua nasema tyuuh.
Couz siaminigi tyuuh mie hizo habari, nweiiii poleee zao.

Mengine mtajuana wenyeweeee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni washamba tu, wengi... Sio kwamba hana wanao mpelekea moto wapo sana tu,, mrongo vangu ujovi kiki penye apaaaa!!?
Mlongo apu hinu mwenu mundu huyo agana umgona kwe kumahi kulaaa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ila ndawa yakwani watoli hela yaki? Ngati wa mpali lepaa? Yabida umlekelahi.

Ila Gay akifika hatua ya kuparamia straight tena kwa risk way km hiyo, mmmmh hatareee.

Mlongoo bhanaa wee hutaki kulaa remix ya papuchi.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kheeeh kumbe anae zungumziwa ni Bottom Celebs?? Mbna sina habarii.

Kwamba code zimezidi viwango, au mambo yananichanganya had nakosa kujua ubuyuu huu aiiiiih.

Hebu mni rahisishie code, hii week kichwa changu kiko resii sanaaa khaaa.
Ahahaha mwachek mtu wa watu aishii maisha yake 😂😂
 
Ahahaha mwachek mtu wa watu aishii maisha yake [emoji23][emoji23]
Wee naenda chimbo kuuliza.

Details za huyo muhusika,

Anaish tabata chang'ombe, anaish na mama ake, kwao kupo swafii kidg, kilichompa umaarufu nn. Au carrier yake ni ipii?

Sikubaliiiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wee naenda chimbo kuuliza.

Details za huyo muhusika,

Anaish tabata chang'ombe, anaish na mama ake, kwao kupo swafii kidg, kilichompa umaarufu nn. Au carrier yake ni ipii?

Sikubaliiiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji23][emoji23][emoji23] mimi nakuona ty unavyo hangaika [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wee mtu hebu nitajie PM.
Huyo mwenyewe hata hamsemi ana carrier gan nianze kumchambua, ukute namfahamu ila bas tyuuh.

Couz nae muwaza mie anaishi Tabata bima. Mnanichanganyaa.

[emoji23][emoji23][emoji23] ww nimekupigia simu umesema uko site [emoji23][emoji23] elimu yake ana degree ya sua na short course ya utalii
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mimi nakuona ty unavyo hangaika [emoji23][emoji23][emoji23]
Wee nae unitajie PM, huyo mtoa story kashindwa kutoa code vizuri, amezungumza km sio celebs huyo bottom, sasa watu wangesanukajeee??

Aaaaaah
 
[emoji23][emoji23][emoji23] ww nimekupigia simu umesema uko site [emoji23][emoji23] elimu yake ana degree ya sua na short course ya utalii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nitajie PM wee mbna code zikikushinda unanijia PM nakuambia.

Hebu ntajie jina, kichwa changu kiko resii hii week, afu njaa inauma hapaa balaaa, sitaki kujichosha

Nashindwa kupokea cm niko na watu nawee.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nitajie PM wee mbna code zikikushinda unanijia PM nakuambia.

Hebu ntajie jina, kichwa changu kiko resii hii week, afu njaa inauma hapaa balaaa, sitaki kujichosha

Nashindwa kupokea cm niko na watu nawee.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom