Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 28,749
- 91,825
Huwa ninawaambia...kibongobongo Wanawake wanapenda.Nina mshikaji alikua mpangaji mwenzangu kipindi nipo chuo kasomea udokta saiv anakaribia kumaliza ile intern yao ya mwaka mmoja.. jamaa alikua anakula madem sio chini ya tatu daily.!! Sijui kama kaacha
Kitu kama huna experience nacho usifikiri ni chai. Hata mimi zamani nilikua na ratiba ya kuingiza dem mpya geto kila siku ila nilikuja kuacha baada ya kuponea chupuchupu kuukwaa.
kuna watu sex ndo kama dini yao na wanaitumikia kikamilifu tena hao madokta ndo usiseme wanakula sana manesi na wagonjwa
Carlos The Jackal
Madaktari 100%
Watu wa Bank 90%
Wanasheria 80 %
Wanajeshi 75%







