Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Amen, kila mtu ana wakati wake wa kumkumbuka Muumba wake. Tuombe Sana hii Neema itushukie ndani mwetu... Endelea kumtumikia Mungu maana ujira wako anaujua yeye. Ubarikiwe... Nenda hasa kule kwenye majukwaa ya dini na hakika utasikika.

Sis ushawahi sikia kisa cha muhubiri alikwenda klabu ya pombe na kupata kiu akapewa glass ya bia na akanywa. Na kusema maji ya dhahabu aongezewe tena na tena, nae kuishia kuwa mlevi. Unayo hadithi yoyote ya mitume walio hubiri kwenye madanguro? Kuna msemo ukiingia Rome kuwa kama wana Rome.



Kukuuuu
 
Sema nini ba'mjoli nyanyantole, kuna mwana mmoja wa kuitwa sepema kaweka uzi wake eti anaomba ushauri afanyaje ili baba ake aachane na mchepuko wake?, me nikaona sio kweli mbona huku MMU kuna mjuba anatoa speech kwa watu waliodevela na mapenzi!? Nikasema nije nikuite ka'mkubwa ukampe neno kidogo.

Alafu kuna mwingine tena wa kuitwa winnerian eti nae kaweka uzi anauliza m/ke kupiga kelele wakati wa tendo ni ishara ya kuridhika? Dah! Nikashangaa nikasema mbona vijana wanadevela kiasi hiki! Nikasema sio kweli mbona kuna mzee wa neno yupo huku ngoja nikakuitie aje akupe speech kidogo!.

Pia ba'mjoli nyanyantole ukipata nafasi pita na kule kwenye jukwaa la "love connect" ukawape neno kidogo jinsi gani mke na mme mwema wanavyopatikana. Ila huku waache kidogo wazee wa masihara watambae na ukali wao usije kuwaharibia uzi wao!.

YANGU NI HAYO TU BA' MJOLI

Bila ya kusahau yule anae tafuta mganga akampe mahubiri kabla hajampa mtu jini kisirani.



Kukuuuu
 
Back
Top Bottom