Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Huyu jamaa ni Kumu ignore tuu yani atakuwa anajiongelesha mwenyewe alafu ASIMJIBU MTU KITU acheni awe anapost anajisoma mwenyewe... Jukwaa la dini lipo yeye huku anajiongelesha tuuView attachment 2277112

Ni Vema ndugu rikboy the Giant ni sahihi. Nafurah pia siongei mambo ya dini maana dini hazijawahi saidia mtu dunia hii. Mi sio mwana dini. Naona unaamlisha Jeshi kwamba lisijihusishe na Mimi. Sikuja kwa ajir ya Jeshi Zima. Bali mmoja tu pengine ana view tu hata sio member. Tuishi Mwamba adui shetani tu
 
Kwa hiyo hapo Masihara ipo wapi mtu amekufatilia amekwambia umeona unapendwa. Utakuja kulala na majini. Ni wewe mimi hainihusu lakini mwanao ataridhi hiyo roho chafu ndani yako. Dunia si sehemu Salama sbb ya Mambo haya. Sawa tafuta mwingine ule ki masihara hayo siyo masihara. Yaan wewe umeliwa na umebaki na laana za huyo ulomla Ndio principle subir matunda
Who cares
 
Inaendelea......

Sasa nikamuuliza kwann tusingeongea huku huku barabarani akaniambia tunatembea tutaeleawana kweli? Nikamwambia tunatembea slow tutaelewana tu akanijibu kwamba mume wake hayupo so nisijali, aisee nilishangaa sana

Tumefika home mim nikaingia room kwangu yeye akaenda kwake maana watoto wake walikuwa sijui wanaangalia tamthilia na kengine kalikuwa ni kadogo kanahitaji kula kalale.

Me nipo naandaa mazaga yangu mixer nimeweka na kamovie kakuzugia nasikia mlango unagongwa, nikaenda kufungua nakuta ni yule bibie nikamwambia karibu akaingia. Ameingia ananiuliza ndo unataka kupika sasa hivi? Nikamwambia yess.. akasema acha kwanza tuongee tukimaliza nitakupikia.

Ah nikaona nimsikilize. Sasa tukaanza kuongea, haikupita hata nusu saa naona bibie anaongea huku ananishika mapaja(maana nilikuwa nimevaa kibukta) akaanza kunisogelea mara anajifanya kama amemaindi, sasa pale ndo akawa anonekana mbovu si unajua age go wakiwa wanajibebisha

Basi nikamuuliza veeepe akaanza mara ooooh me nakupenda mara sijui hivi mara vile. Nilivyoona hivyo tu nikakamata mkono, nikamsogelea nikapiga kiss shingoni naona ananishika kama anikumbatia, ikabidi nivute kanga hiii kucheki amevaa kipensi, yaan sikugusa kile kipensi, nikaona anafungua kifungo anakifungua.

Kuvua kile kipensi, hahaha ni amevaa bikini ya blue. Wakuu aliliwa kwa staili hiyo.

Mpaka sasa ninavyoandika huu uzi, nimenuniwa kwasababu eti namchunia simjibu text na nikimuona nampotezea.

Sasa mimi kosa langu liko wapi? Mwenye mali yake karudi na sitaki mchizi ajue me na bibie tuna mazoea kwasababu hakuacha hivyo.

Naomba kuwasilisha
Hii story imeanzia post namba ipi
 
Unafanyaje

IMG_7752.png
 
Deby mimi nilishabadilika zamani sana..hapa na uzee huu nafurahisha ubongo wangu tu! Kila mtu atabadilika kwa namna yake, asitumie nguvu nyingi huyu mchungaji mla kimasihara..
Safi Sana. Hongera kwa kubadilika mapemaa. Yes haya mambo hayafosiwi Bali huja Kwa Neema.. na ndiyo maana Kuna wengine hufa na dhambi zao.
 
Back
Top Bottom