nyanyantole
JF-Expert Member
- Jun 22, 2015
- 674
- 1,064
Nilikuomba namba ya mkeo ili anipe neno Hadi leo hujaniona. Acha ubinafsi sio lazima neno utoe wewe peke akoU ignore even ur friends. Don’t engage with me. Kuna mtu katembea na Mke wa Jirani yake wanamshaur ahame wanaogopa atauwawa. Nenda kamjibu huyo
Profile yake, utaona Follow, Ignore na Start Conversation wewe utagusa "Ignore"Unafanyaje
Bonyeza
Profile yake, utaona Follow, Ignore na Start Conversation wewe utagusa "Ignore"
Mkuu unaweza kuta hata ww ulikuja hapa duniani kutokana na watu kula tunda kimasikhara!![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Safi Sana. Hongera kwa kubadilika mapemaa. Yes haya mambo hayafosiwi Bali huja Kwa Neema.. na ndiyo maana Kuna wengine hufa na dhambi zao.Deby mimi nilishabadilika zamani sana..[emoji3]hapa na uzee huu nafurahisha ubongo wangu tu! Kila mtu atabadilika kwa namna yake, asitumie nguvu nyingi huyu mchungaji mla kimasihara..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] my friend sasa nifanyaje, ataomba kwa lazima[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mzabzab wa kukuombea??
Bwana watu tuna share dhambinzetu yeye analeta mambo yake hapa mpaka tunakosa story za warembo walivholiwa kimasikharaIla watanzania bwana acheni watu na maisha yao...wewe kama ni mtakatifu endelea hivyo hivyo...sasa hapa kwa wadhambi unafanya nini?
Tutaomba pamoja besty. Wala usijali[emoji1787][emoji1787][emoji1787] my friend sasa nifanyaje, ataomba kwa lazima
[emoji2] ndo anakuwaje?We ni mtu na nusu.
[emoji23][emoji23][emoji23] uzi umevamiwaBwana watu tuna share dhambinzetu yeye analeta mambo yake hapa mpaka tunakosa story za warembo walivholiwa kimasikhara
Mkuu unaweza kuta hata ww ulikuja hapa duniani kutokana na watu kula tunda kimasikhara!!
SafiTutaomba pamoja besty. Wala usijali
Ila sijasema nikipata ya kimasihara nitaikimbia🤣🤣Safi Sana. Hongera kwa kubadilika mapemaa. Yes haya mambo hayafosiwi Bali huja Kwa Neema.. na ndiyo maana Kuna wengine hufa na dhambi zao.
Yaani hawajui tuu kuwa wengine tunavutia stimu za nyeto kwa kusoma story za warembo wakisimulia jinsi walivyoangukia de libolo kimasikhra 🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23] uzi umevamiwa
mkuu nyanyantole endelea kushusha mahubiri mimi nipo nakufatilia kuna kitu najifunza..ubarikiwe sana
[emoji1][emoji1] halafu unaenda kutubu, siyo?Ila sijasema nikipata ya kimasihara nitaikimbia[emoji1787][emoji1787]