Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Neno la Mungu Lina sehemu zake,kila sehemu ina maudhui yake.Maisha bila utaratibu ni vurugu
 
Sema nini ba'mjoli nyanyantole, kuna mwana mmoja wa kuitwa sepema kaweka uzi wake eti anaomba ushauri afanyaje ili baba ake aachane na mchepuko wake?, me nikaona sio kweli mbona huku MMU kuna mjuba anatoa speech kwa watu waliodevela na mapenzi!? Nikasema nije nikuite ka'mkubwa ukampe neno kidogo.

Alafu kuna mwingine tena wa kuitwa winnerian eti nae kaweka uzi anauliza m/ke kupiga kelele wakati wa tendo ni ishara ya kuridhika? Dah! Nikashangaa nikasema mbona vijana wanadevela kiasi hiki! Nikasema sio kweli mbona kuna mzee wa neno yupo huku ngoja nikakuitie aje akupe speech kidogo!.

Pia ba'mjoli nyanyantole ukipata nafasi pita na kule kwenye jukwaa la "love connect" ukawape neno kidogo jinsi gani mke na mme mwema wanavyopatikana. Ila huku waache kidogo wazee wa masihara watambae na ukali wao usije kuwaharibia uzi wao!.

YANGU NI HAYO TU BA' MJOLI
 
Oya mkuu hama hapo mapema sana ..
Bila hvyo ndugu yangu anuan yako ya makazi ipo hatarin sana.
Ahame mapema, zamani kuna house nshawah kukaa nikawa nakirukia kitoto cha mwenye nyumba, nikamkaribishaga mwanangu mmoja alivyokuwa kichaa kamtomba mamake hicho kitoto mwenye mke ambae ndo mwenye nyumba akajua...ilikuwa hatari..
 
Sema nini ba'mjoli nyanyantole, kuna mwana mmoja wa kuitwa sepema kaweka uzi wake eti anaomba ushauri afanyaje ili baba ake aachane na mchepuko wake?, me nikaona sio kweli mbona huku MMU kuna mjuba anatoa speech kwa watu waliodevela na mapenzi!? Nikasema nije nikuite ka'mkubwa ukampe neno kidogo.

Alafu kuna mwingine tena wa kuitwa winnerian eti nae kaweka uzi anauliza m/ke kupiga kelele wakati wa tendo ni ishara ya kuridhika? Dah! Nikashangaa nikasema mbona vijana wanadevela kiasi hiki! Nikasema sio kweli mbona kuna mzee wa neno yupo huku ngoja nikakuitie aje akupe speech kidogo!.

Pia ba'mjoli nyanyantole ukipata nafasi pita na kule kwenye jukwaa la "love connect" ukawape neno kidogo jinsi gani mke na mme mwema wanavyopatikana. Ila huku waache kidogo wazee wa masihara watambae na ukali wao usije kuwaharibia uzi wao!.

YANGU NI HAYO TU BA' MJOLI
Ba'mdo vipi tena watu kudevela...sema nini aje apa small planet tbt kuna mwangu ameuza nyumba ya urith kariakoo akipita mtu tu akimwangalia anakula six pack ya Windhoek, aje tuzinusuru hiz pesa kesho huyu mhuni anatakiwa anipe pesa fulan..ni hayo tu bamdo..
 
Anza kufanya mchakato wa kuhama hapo. Mchizi wake atajua tu labda kama unammudu vinginevyo jiandae kwa lo lote...

Kula mke wa mtu tena mpangaji mwenzio ni extremely risky! Hujatumia busara na hii itaku-cost kwa namna moja au nyingine!
Dah bro mbona maneno yako makali sana Anyway shukran kwa ushauri
 
KUNA UTU WA NDANI NA UTU WA NJE. Yaani KUNA MWANADAMU WA KWANZA NA MWANADAMU WA PILI. Nifatilie kwa ufupi

Mwanadamu wa kwanza ni yule Aliye umbwa kwa Udongo yaani mavumbi huyu amezaliwa kwa damu na Nyama.

Mwanzo : 2 : 7 - Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.

Na wa pili ni yule aliye aliyezaliwa kwa Roho yaani kazaliwa na Mungu mwenyewe huyu shetani anamtaka na ni adui yake.

1 Yohana 3:9 - Kila mtu aliyezaliwa na Mungu hatendi dhambi, kwa sababu uzao wake wakaa ndani yake; wala hawezi kutenda dhambi kwa sababu amezaliwa kutokana na Mungu.

Kwa maana hiyo kuna Adam wa kwanza na Adamu wa pili. Adamu wa kwanza ni Yule ambae hajafanya agano na Mungu hamjui Mungu. Na wa pili ndie aliefanya agano na Mungu. Sikiliza kuna Abram na kuna Sarai kabla hawajafanya agano na Mungu. Kuna Ibrahimu na kuna Sara baada ya agano na Mungu.

Natena kuna Simon Bar yona na kabla na Petro baada, kuna Sauli kabla na kuna Paulo baada. Ukimwomba Mungu Jina kama wewe ni Muaminifu lipo jina lako ambalo Mungu alikupa wakati upo mbinguni. Maana aliumba vya Rohoni kwanza ndipo akaumba vya dunian. Kwa hilo ulikuwepo kabla hujazaliwa. Yeremia 1:5. Mila na miungu ya kigeni yaani Mizimu na matambiko ikafanya tuitane majina ya Babu na Bibi, shangazi na wajomba SHIDA IMEANZIA HAPO NDO MANA KUNA VIFO UTOTONI TU NA KURIDHI MATABIA MACHAFU HASA NAONGELEA UZINZI NA UASHERATI. Watu wanafata Roho za Babu zao,na Bibi zao yaani jina ni chanzo. Naongelea mzizi wa haya mambo ya masihara na mtu haogopi.

Roho ya kuridhi inatenda. Ndo maana Yesu akamwambia Nikodemo
Yohana : 3 : 3 - Yesu akajibu, akamwambia, Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa mara ya pili, hawezi kuuona ufalme wa Mungu.

MAANAKE KUOSHWA, KUTAKASWA NA KUHESABIWA HAKI.

Kwa hiyo naona watu wapo stage ya Kwanza kwenye UTU wa kwanza ni kwenye uharibifu zinaa na uasherati lakini ni lazima yatukie hayo ili aonekane MWANA WA UASI YAANI IBILISI.

2 Wathesalonike 2:3 - Mtu awaye yote asiwadanganye kwa njia yo yote; maana haiji, usipokuja kwanza ule ukengeufu; akafunuliwa yule mtu wa kuasi, mwana wa uharibifu;

Mbegu ili iote lazima ioze Ila isipo paliliwa inabaki chini.

NIPO HAPA KWA AJIRI YA KUKUKUMBUSHA KWAMBA UFALME WA MUNGU UMEKUJILIA SASA USIUFANYE MOYO WAKO MGUMU. TUBU MAANA MUNGU YUPO NAWE MFANYE BABA YAKO MAANA YEYE NI WA WANYENYEKEVU, washupazao shingo huvunjika. Usiwe mmoja wao maana umependwa ni wewe si mwingine. OA NA OLEWA UISHI KWA KUMPENDEZA MUNGU.

Hakuna faida ya uzinzi wala hamna tajiri sbb ya uasherati bali unavuna roho za koo za hata waliokataliwa zitakutesa maisha yako yote. Pasipo Rehema




Wagalatia 4:29 - Lakini kama vile siku zile yule aliyezaliwa kwa mwili alivyomwudhi yule aliyezaliwa kwa Roho, ndivyo ilivyo na sasa.
Unajidai kuijua dini, nikuuliza swali hivi adam alikuwa na wanawake wangapi?
 
Kumekucha. Kabla hujatoka kwenda kutafuta chochote kitu Mshukuru Mungu kwa ajir yako na familia yako. Tubu na omba ulinzi wa Mungu. Weka wakfu siku ya kesho nenda katafute ugali. Tuna weka wakfu siku ya Kesho na kuitakasa sababu tunakuwa tumeiandaa kesho Yetu maana adui hahangaiki na leo bali kesho yako.

Hii husaidia kutokuwa na Mawazo mabaya na machafu nafsini pako ya Uzinzi na uasherati Hivo ni uhai wa familia yako maana Mungu yupo pamoja nawe. Hayupo pamoja na wapumbafu wale wanaojikataa na kujikinai.
 
Mkuu, bonyeza user name yake, kwa chini utaona Follow, Ignore na start conversation, wewe bonyeza Ignore hautaona mahubiri yake
Shetani nimetoa ushauri kwa wafuasi wangu wa kula kimasihara

Umefanya jambo Jema. Hata Kora alifanya hivo na wenzie. Bila Shaka hata ushahidi haukuonekana.
 
Huyu jamaa ni Kumu ignore tuu yani atakuwa anajiongelesha mwenyewe alafu ASIMJIBU MTU KITU acheni awe anapost anajisoma mwenyewe... Jukwaa la dini lipo yeye huku anajiongelesha tuu
Screenshot_20220630-072334.jpg
 
Back
Top Bottom