Mda mrefu toke nipost humu anyways, nmesoma soma visa visa humu nimeona ni share hii story imetokea miez 2 imepita.


Nmeanza kaz mkoa xxxx hospital kubwa tu, mm sipo serikalini nipo taasis binafsi (NGO) ambapo natumia ofis na mratibu wa mkoa ambae n daktari with special focus kwenye hayo mambo ambayo nafanyia kazi (naweka code apa maana kuna watu hawakawii). Sasa yule mratibu mara nyingi hayupo ofisini, na mara nyingi huwa nipo mwenyewe kilichopelekea mm kua na home office nakua siend kazin mara kwa mara yaan inaweza pita hata 2 weeks sijaenda kama sina issue maana contact person wangu n mratibu na yy kama nna issue nampigia tu simu tunayajenga. Sasa baada ya mama Samia kupush issue za chanjo za Covid na watumish kupewa deadline ya chanjo ziishe ili zisiharibike ikaonekana kwa pale hospital watu wa chanjo wanahitaji ofis yao kwa ajili ya issue za covid tu specifically. Na apo ndo picha linaanza.


Siku naenda ofisini, nakuta kuna furniture mpya zimeongezwa vit na meza 2. Then akaja nesi ambae ndo coordinator wa izo chanjo ( kama kiongoz wao kwa io task force ya chanjo ya huo mkoa). Ofisin kwetu kulikua na nafasi so nadhanz ndo maana waliwaleta hapo. Sasa mwanzoni tukatambulishwa na tukawa ofisi moja. Fast forward tukawa na mastory story ya hapa na pale lakin hakukua na romantic interest. Sasa mm ni mtu ambae najipenda saanaa, nna perfume zangu kali tuna I dress well ( nlishalisemaga hili humu before kwenye post yangu ya nyuma). Sasa kumbe yule nesi bwana akawa kanizimia, sijui n ile perfume au uchangamfu wangu maana perfume alikua anaisifia sana na nishamchanganya ila anashindwa anianze vipi. Huyu Nesi n mtu mzima kidgo kama 36 yrs single parent hajaolewa ila n ana mshape flan af ana rang ya mtume yaan yupo sexy ivi ( wajuba mshaelewa), binafsi nliona sio level zangu af n mkubwa nikitembea nae unaeza sema shangazi yangu so so nlikua na mu ignore.


Siku nipo field kikazi nikapost status whatsaap akakoment, et I miss you maana sikua nmeonekana ofisini kama 3 weeks ivi. Nkamwambia me too, akajibu kweli nkakwambia yess ndo akaanza kufunguka. Ohh nataka io perfume yako kwa kweli nkamwambia nlinunua Dar akasema niagizie nkamchek muuzaji akasema zimeisha labda nisubiri nkamwambia nesi akasema basi nimpe ya kwangu nayotumia. Nkasema nkimpa yy atanipa nn akasema chochote. Nkasema upo serious akasema ww sema ntakupa chochote nkajua tu apa kimeumana, Apo mm nna ukame first class sijasex kama 4 months ivi af nipo mkoa ambao sio nyumbani. From there akawa comfortable kuchat na mm so akawa ananitext tunachat at times sasa kwenye kuchat nikamuuliza kipi kinakupa nyege akajibu et weed. Sasa mpenz msomaji mm n mvutaj mzuri tu wa io kitu na haijawai kua obstacle kwenye Maisha yangu tokea nipo olevo had namaliza masters. So nikamwambia aje home tuvute na amekua akikomaa sana mda mrefu anataka aje aione io home ofici inayonificha sionekani ofisin, kifupi alifurahi sana.


Siku ikafika nikampa tarehe akaja, kwa kweli jinsi alivokua kavaa asee nkasema uyu leo lazma tupeane utamu. Kavaa tu gauni refu jepesi ila limemkaa na ule mshape wake umejichora ivi asee ( nadhani alijua au she planned).Kafika oh nyumba yako nzuri kwann huna dem how come unaishi vizuri iv hujaoa sijui hongera na mm nataka niwe kama ww me namchek. Nikaweka zangu pale Trace Mzki tukawa tunapiga story nikanyonga weed kama stick 3 ivi tukaanza kuchoma. Sasa baada ya kam 4o mins akaomba kwenda washroom akaenda aliporudi akawa amehama siti this time akawa karib na nilipo. Tumewasha blunt ya 4 nikasema nataka nikupe moshi kwa mdomo akacheka ( hata sijui nliwaza nn) af kimya nikamwambia fumba macho akatii, nikamsogelea nkamkiss akaanza toa ushirikiano. Then from there one thing leads to another nikamtia apo apo seblen cha kwanza tukachill chill nikapiga cha 2 mda ukawa umeenda nikamwitia bajaji akasepa. NIseme tu hawa wadada watu wazima watam sana af wana kitu tofauti sana na hawa under 20’s. Maana wanahamasisha sana tendo af n wasafi mnoooo. Lakin orgasm ukiwa high on weed, its one of a kind asee, ina feel poa saaaanaa hata yy alinambia (kama n amateur weed smoker I would recommend na mwenz wako). Baada ya apo ohhh hatojua mtu hii n siri yangu mm na ww ila sasa tukawa tukikutana kwenye korido za ofisi akawa full kunishobokea na kujionesha tupo karibu mara atake nichome chanjo ya home ya ini ili mradi tu shobo. After a while akaanza vizinga nkawa namtoa toa ila sasa nikapunguza ukaribu flan iv akawa anamind na ma insecurities kibao ndo ivo had leo. Anataka re-match namzingua tu kwa kumpa kalenda na kumwambia saiv weed nimestop ntamstua ila n vile nstaki mazoea nae nisije kunogewa maana n wale wadada flan kama yule Mwanaidi Suleiman anatangaza sports na kitenge E-fm and Wasafi ial yy sio Mwislam.

NB: Nlitumia kinga watu wa ukimwi msije na povu.

Nawasilisha
Nitarejea
 
Ila Mwaka 2020 stori zilikuwa tamu sana... kila siku hulali kabla ya Kusoma Uzi wa wananzengo... sahizi daaah!!!

Wanangu au masikhara yamepungua?
 
Nilijua tuu izi anuan za makazi zitaleta kizaa azaaa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sio tu anuani za makaazi, kuna hizi kampuni zinazokusanya takataka mitaani, kuna wadada huwa wanapita nyumba hadi nyuma kukusanya hela ya takataka, sasa kuna mmoja nimeanza kumfanyia upembuzi yakinifu. Sema hiyo haitakuwa kimasihara bali planned.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Polen na kazi

Mkoa nilipo tumebahatika kupata mvua siku ya jumanne jioni majira ya saa 12 adi saa mbili ivi usiku, japo yalikuwa manyunyu

Nikiwa natoka zangu shambani kuangalia mazao yangu,gafla naona mbele yangu kuna binti ana mwamvuli anaongea na simu.,,nikatembea haraka nik
Aisee, japokuwa sijawahi leta kimasihara humu lakini hii siielewi elewi, kweli wanawake wamekuwa wa rahisi mno , lakini sidhani kama unajishikia tu mkono kwenda kumla!!! Naona hii kahawa na kashata.
 
Nina kijirani changu tumepanga nae nyumba moja, mgeni hana muda toka kahamia hapa, ni mtu wa kwenda kazin akirudi anajifungia ndani hana time na mtu zaid ya salam na kuendelea na mambo yake.

Week kadhaa katika hali ya salamu tukabadilishana namba akidai kuwa muda mwingi nashinda nyumbani hivyo for emergency kuna jambo home iwe rahisi kunicheck.

Taratibu zikaanza chatting za salam,, kanichkua maelezo kutaka kujua nipoje na ni veep naendesha life langu, muda mwingi akitoka work ananikuta na mvinyo wa chupa zangu nasogeza siku. Mdogomdog,,, day moja katoka kachoka akadai nimsaidie kufata chakula mgahawani coz huwa hapiki, kwangu foods ipo full sikuona haja ya kutoka nilimpikia chakula alichotaka nikampatia.

Toka siku hiyo now ndo mpishi wangu,, sijawahi muuliza habari ya mahusiano yake wala kutaka kujua maisha yake, japokuwa huwa ananiuliza sana juu ya mahusiano yangu nakunieleza namna anavyoishi na mtu wake. Zangu namkwepa kama sielew kitu,,,,

After getting mpishi nilifocus kwenye mahemezi ya chakula bt nowdays akitoka kazin huanzia kwangu kbla ya kuingia kwake imefika hatua baadhi ya vitu vyake huviacha kwangu (nguo, saa, mikoba ya ofsin, viatu n.k). Nasubiri kuona hii movie itaishaje niko zangu buyu.
 
Nina kijirani changu tumepanga nae nyumba moja, mgeni hana muda toka kahamia hapa, ni mtu wa kwenda kazin akirudi anajifungia ndani hana time na mtu zaid ya salam na kuendelea na mambo yake.

Week kadhaa katika hali ya salamu tukabadilishana namba akidai kuwa muda mwingi nashinda nyumbani hivyo for emergency kuna jambo home iwe
Dah, ukijichelewesha umekwisha..utashindwa kumla.
 
Nina kijirani changu tumepanga nae nyumba moja, mgeni hana muda toka kahamia hapa, ni mtu wa kwenda kazin akirudi anajifungia ndani hana time na mtu zaid ya salam na kuendelea na mambo yake.

Week kadhaa katika hali ya salamu tukabadilishana namba akidai kuwa muda mwingi nashinda nyumbani hivyo for emergency kuna jambo home iwe rahisi kunicheck.

Taratibu zikaanza chatting za salam,, kanichkua maelezo kutaka kujua nipoje na ni veep naendesha life langu, muda mwingi akitoka work ananikuta na mvinyo wa chupa zangu nasogeza siku. Mdogomdog,,, day moja katoka kachoka akadai nimsaidie kufata chakula mgahawani coz huwa hapiki, kwangu foods ipo full sikuona haja ya kutoka nilimpikia chakula alichotaka nikampatia.

Toka siku hiyo now ndo mpishi wangu,, sijawahi muuliza habari ya mahusiano yake wala kutaka kujua maisha yake, japokuwa huwa ananiuliza sana juu ya mahusiano yangu nakunieleza namna anavyoishi na mtu wake. Zangu namkwepa kama sielew kitu,,,,

After getting mpishi nilifocus kwenye mahemezi ya chakula bt nowdays akitoka kazin huanzia kwangu kbla ya kuingia kwake imefika hatua baadhi ya vitu vyake huviacha kwangu (nguo, saa, mikoba ya ofsin, viatu n.k). Nasubiri kuona hii movie itaishaje niko zangu buyu.
Wahi ule mapema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom