Hardlife
JF-Expert Member
- Apr 11, 2021
- 2,760
- 6,332
Jana natoka Kibamba naenda Kimara na private nikiwa alone. Nafika Kibanda cha mkaa simu inaita kuangalia Boss wangu. Wakati naongea huku na drive nikasema sio poa nilivyofika kwa Msuguli nikapaki kushoto.
Namaliza kuongea kama dk 8 hivi nataka kuingia road naona mbele kuna pisi inakuja kwa mwendo wa kawaida tu but alikuwa mpita njia ila pisi kali kwakweli.
Ilivyotaka kunipita tu tena upande wa dereva nikashusha kioo nikamsalimu.
Kwakuwa kulikuwa na jua kali was around saa 9:30 nikamuomba aingie kwa gari kwakuwa ac ilikuwepo akakubali. Tukasaliamiana pale na kufahamiana juu juu tu. Nikaitania kwamba hapa uvumilivu sina vile ulivyo mrembo huku nashika mapaja. Nikamwambia nageuza gari tuende sehemu aisee. Akasema we mwanaume wa ajabu sana yaani ndio tunakutana unawaza ujinga. Basi kama sisikii nikasogeza gari hadi sehemu ya kugeuza nika turn mpaka lodge flani Mbezi kwa Yusufu. Basi kufika anagoma kushuka kwenye gari nikachezea pale kiana kama dakika 5 nikamuacha. Nikachukua room na ndom hapohapo then nikaja kumuita. Ingia room nikapiga moja kwanza. Nikaendelea na match ya Yanga na Namungo mpaka ikaisha. Ilivyoisha tu nikahamia tena kuongeza. Baada ya hapo tukarudi mpaka tulipokutana nami nikaendelea na zangu.
Ila jamani hawa watu wanatumalizia hela aisee.
Sasa nimeanza kusumbuliwa hatari. Ila gari ni uchawi sana.
Namaliza kuongea kama dk 8 hivi nataka kuingia road naona mbele kuna pisi inakuja kwa mwendo wa kawaida tu but alikuwa mpita njia ila pisi kali kwakweli.
Ilivyotaka kunipita tu tena upande wa dereva nikashusha kioo nikamsalimu.
Kwakuwa kulikuwa na jua kali was around saa 9:30 nikamuomba aingie kwa gari kwakuwa ac ilikuwepo akakubali. Tukasaliamiana pale na kufahamiana juu juu tu. Nikaitania kwamba hapa uvumilivu sina vile ulivyo mrembo huku nashika mapaja. Nikamwambia nageuza gari tuende sehemu aisee. Akasema we mwanaume wa ajabu sana yaani ndio tunakutana unawaza ujinga. Basi kama sisikii nikasogeza gari hadi sehemu ya kugeuza nika turn mpaka lodge flani Mbezi kwa Yusufu. Basi kufika anagoma kushuka kwenye gari nikachezea pale kiana kama dakika 5 nikamuacha. Nikachukua room na ndom hapohapo then nikaja kumuita. Ingia room nikapiga moja kwanza. Nikaendelea na match ya Yanga na Namungo mpaka ikaisha. Ilivyoisha tu nikahamia tena kuongeza. Baada ya hapo tukarudi mpaka tulipokutana nami nikaendelea na zangu.
Ila jamani hawa watu wanatumalizia hela aisee.
Sasa nimeanza kusumbuliwa hatari. Ila gari ni uchawi sana.