LuisMkinga
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 3,365
- 6,478
Kwa namna hii wengine ni watakatifu dhambiniDuh kuna watu mna historia zenu..
Kwa namna hii wengine ni watakatifu dhambiniDuh kuna watu mna historia zenu..
Uliuza Mechi mkuu?Asubuhi kama mida ya Saa mbili Bado nimeshangaa shangaa chumbani guest house, nikasikia mlango unagongwa, kuuliza nani, najibiwa ni mhudumu wa usafi. Jana yake nilirudi mida mibovu nikiwa mitungi mingi, nilisahau kufunga mlango kwa funguo. Nikiwa ndani ya shuka, nilimkaribisha. Duuuh, kaingia binti anawaka, mrembo haswa. Akanisabahi na kuomba kufanya usafi, sikuwa na hiyana. Sasa bhana, huyu binti alijua anachofanya na anachotaka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]watakatifu dhambini!Kwa namna hii wengine ni watakatifu dhambini
Daaaa una maswali mazuri ww hatarMuwe na shukrani basi, wanawake wakitupa tusiwadharau maana wasipotupa pia tunalalamika.
Kwani wewe ulitakaje? Mwananke akiombwa akatae au akubali?
Ni kweliSaa ingine unabaki kushangaa Mkuu, Manake katika hali ya kawaida ni kwamba haiwezekani kumla mtu kwa dizain Hiyo.
Itakua alisoma humu....kuna mwamba alisema ni watamu balaa,jamaa alisema walikua na ratiba ya kuwala kila jioni,joto Lao ni balaaMlaji wa kimasihara akamatwa huko Iringa...View attachment 2012591
Bili kwake!au siyoo![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Rikboy popote ulipo kunywa K Vant kubwa
Maziwa fresh au mtindi? Supplement Vitamin D ndo nn hii mkuuuHii tiba ni week ngapi mkuu.....
Nimeanza na supplement ya vitamin D pia, maziwa na ndizi 3
Masihara babaMlaji wa kimasihara akamatwa huko Iringa...View attachment 2012591
Hii ya Asali na mdarasini mixer unga wa tangawizi kwa kifua pia sio salama kbsTafuna karanga mbichi, miogo ,Nazi.
Kula parachichi ,tango,tikitiki.
Au ukipata mbengu za maboga.
Nunua asali, changanya na unga wa mdarasin,na unga wa tangawizi....lamba vijiko viwil, asubuh--jion.
Fanya mazoez ya kuimarisha Misul yabl uume na pumzi.
Tangawizi na Asali ina athari gani kwa kifua.. Unaweza tujuza [emoji848][emoji848]Hii ya Asali na mdarasini mixer unga wa tangawizi kwa kifua pia sio salama kbs
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Mimi najua asali na tangawizi ndo dawa za kifuaTangawizi na Asali ina athari gani kwa kifua.. Unaweza tujuza [emoji848][emoji848]
Mdau hapo juu anasema sio salama kwa kifua...Na mimi ni mtumiaji mzuri Sana wa huo mchanganyiko kwa ajili ya kutibu kifua... Nashindwa kuelewaMimi najua asali na tangawizi ndo dawa za kifua
Dah...Mlaji wa kimasihara akamatwa huko Iringa...View attachment 2012591
Duh... Jamaa unaweza kuta ana mke ama Dem dadekii...Masihara babaView attachment 2012832
Nendeni kwenye majukwaa ya Afyaa bhanaaaMimi najua asali na tangawizi ndo dawa za kifua
Tatizo letu wanaume bana, kichwa cha chini kikiwa active, cha juu huwa kinakuwa hakifanyi kazi kabisaaa!!!now jamaa atakua anajuta baada ya kichwa cha juu kuwa active.Mlaji wa kimasihara akamatwa huko Iringa...View attachment 2012591