KIMASIHARA
Siku ya jana walipita hawa watu wa kubandika namba kwenye kuta za nyumba zetu! Mwanadada aliyekuwa kashikilia kidaftari cha kutiki wabandikiwa huku mkono wake wa kulia akiwa kashikilia Samsung A20 alikuwa pamoja na wanaume wawili kwa ajili ya zoezi hilo!
Nyumba nzima walinikuta mimi tu, ndipo kuniomba maji ya kunywa, nikawapatia! Kisha yule mwanadada akaniuliza chai ipo tunywe? Nikamwambia kimebaki kikombe kimoja labda kama utakunywa wewe mwenyewe! Akanambia tufanye siku nyingine! Nikamwambia hata jioni unaweza rudi kama tu utamaliza majukumu yako! Akasema sawa! Nikamwambia aniachie namba yake ya simu na akaniahidi kwenye saa 12 angerejea! Nikamsubiri mpaka saa moja pasi na dalili yoyote! Ndipo kumpigia simu, akanambia "kumbe uko serious na hii issue?" Nikamwambia acha maneno mengi, mi nshakupikia na msosi njoo ule!
Akanambia "yalikuwa maeneo gani? Hata sikumbuki" nikampa direction, kweli mtoto akaja, lakini akaishia nje, akakataa kata kata kuingia ndani huku akisema labda siku nyingine! Nikamletea msosi pale nje akala! Baada ya hapo akaaga kuondoka, nikamuuliza "kwani bia hutumiagi? Akasema anatumia, nikamwambia ziko ndani kwenye friji, sema siwezi leta nje kwani majirani hawajui kama mimi huwa nakunywa pombe! Mtoto akajikuta anazama ghetoni baada ya kumlaghai kwa dakika kama tano hivi! Alivyofika ndani nikamwambia hakuna cha bia wala nini! Nilitaka tu upaone ndani kwangu! Binti akasema anachelewa, kuna mahali anaenda, nikamwambia usihofu, ntakupeleka na gari yangu! Kwenye meza huwa nina ufunguo uchwara wa gari, huwa nauweka pale kama pambo, huu ndo uliomdatisha! Akalegea! Ndipo kupapasa papasa huku nikizisumbua sumbua nywele zake, nikamshika shika mgongo, akajikuta analegea! Nikamtoa sketi na brauzi yake! Nikamchezea Qumer, nikamchakata! Ameondoka leo asubuhi!